Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Ndo ligi hilo sioWa namna hiyo hawajajua matumizi ya pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ligi hilo sioWa namna hiyo hawajajua matumizi ya pesa
Sio kila sehemu brand inafanya kazi. Wewe ni mwenyeji wa DSM, famous hapo kariakoo, umeenda tegeta bahati mbaya umegonga kibanda cha mtu, raia hao wapo wamekuweka mtu kati, unaambiwa baba gharama ni laki mbili we lipa ondoka zako, utaanza yoo mm brand kariakoo? Mwenye saving anavuta kwenye simu, analipa na utaona pesa ilivyo na nguvu kuliko brand.Na wengi wanaojua matumizi ya pesa, wanakuwa wametengeneza 'brand', vitatizo vidogo vidogo brand yake inamaliza.
Huyu hajatembea na pesa. Kuna tofauti ya kutokutembea na pesa na kutokuwa na pesa.
Vyote kwangu ni muhimu, siwezi kutumia pesa yote kwa account kiasi cha kubakiwa na 20k au 10k, lakini pia siwezi kukaa na pesa kwa account bila kuizungusha.Utunze pesa au utumie pesa
Kutokuwa na cash si sifa boss.Hukubaliani na alichokiandika mwandishi?