Wanaolilia legacy ya Hayati Magufuli someni alichoandika Bollen Ngetti

Wanaolilia legacy ya Hayati Magufuli someni alichoandika Bollen Ngetti

Hawaoni haya wanaopambania legacy ya Magufuli. Tangu ilipovuma kuwa anumwa nguvu kubwa ilitumika kuzuzima uvumi huo. Ilipotangazwa kafriki nguvu kubwa ilitumika kuzuia watu wasishangilie.

Wakati wa maombolezo nguvu kubwa imetumika kulazimisha watu kuomboleza. Na hata wakawekwa wasanii wa kuigiza kuzimia ili ionekane anapendw.

Sasa ujinga unendelea kulazimisha legacy.

Legacy'.... Legacy' my foot.
Kula 5 mkuu
 
Kunywa uji wa futar nakuja kulipa.

Hayat hakustahili kuzikwa kwa heshima kwa matendo yake mfu.
Hata sijaelewa mambo yale. Watu tukanyimwa sherehe na kulazimishwa kuomboleza.
 
Hawaoni haya wanaopambania legacy ya Magufuli. Tangu ilipovuma kuwa anumwa nguvu kubwa ilitumika kuzuzima uvumi huo. Ilipotangazwa kafriki nguvu kubwa ilitumika kuzuia watu wasishangilie.

Wakati wa maombolezo nguvu kubwa imetumika kulazimisha watu kuomboleza. Na hata wakawekwa wasanii wa kuigiza kuzimia ili ionekane anapendw.

Sasa ujinga unendelea kulazimisha legacy.

Legacy'.... Legacy' my foot.
Na wale kinamama walioweka kanga zao njiani lilipopita gari walikuwa ni wasanii.

Punguza akili za kitoto.
 
Naunga mkono hoja. Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha.

Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo COVID19.
Painful. Nilipoteza ndugu zangu 2 kwa Corona halafu mtu anasimama anakebehi Corona. Wakaibatiza Pneumonia. Nina hasira kali.
 
Naunga mkono hoja. Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha.

Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo COVID19.
Umemaliza mkuu!
 
Hawaoni haya wanaopambania legacy ya Magufuli. Tangu ilipovuma kuwa anumwa nguvu kubwa ilitumika kuzuzima uvumi huo. Ilipotangazwa kafriki nguvu kubwa ilitumika kuzuia watu wasishangilie.

Wakati wa maombolezo nguvu kubwa imetumika kulazimisha watu kuomboleza. Na hata wakawekwa wasanii wa kuigiza kuzimia ili ionekane anapendw.

Sasa ujinga unendelea kulazimisha legacy.

Legacy'.... Legacy' my foot.
Ha ha ha
 
Legacy ambayo hatutakaa tuisahau ni Udikteta, watu kupoteza na hatujui walipo, wengine wamebaki vilema, wafanyabiashars wakubwa baadhi kuteswa na kukimbia nchi ambapo biashara zao zilifilisiwa au kufa na kusababisha ajiraa nyingi kufa. Ni mengi mno ambayo Tanzania hatukuzoea. Hata muasisi wa Taifa hili ukipingana naye sana au ukifanya kosa kubwa ilikuwa unarudishwa kijijini unaishi huko na hupotei. Kumbukeni Marehemu Tumtemeke Sanga, Mzee Jumbe n.k.
Hivyo Tanzania tuliona nchi imebadilika kuwa Kosovo. Hiyo ndiyo Legacy. Haitasahaulika kamwe.
Very true
 
Labda hii ndiyo legacy kaacha huyo katili kwa kujenga hofu miongoni mwa wananchi na kufuta kabisa sifa yetu ya kisiwa cha amani. Kuna watu wanaongelea ukondoo wa Watanzania na kwa kweli inatia huruma. Hebu watazame hawa wasanii kwenye hii video...eti hawa ndio watunga sheria ambao wanatakiwa waisimamie serikali, upuuzi mtupu!

Mwaka 1985 waligonga meza hivi hivi kwa Mwinyi
Mwaka 1995 wakagonga meza hivi hivi kwa Mkapa
Mwaka 2005 waligonga meza hivi hivi kwa Kikwete
Mwaka 2015 wakagonga meza hivi hivi kwa Magufuli
Na sasa wanaendelea kugonga meza hivi hivi kwa Samia...

Kweli tutafika? Watu wale wale, akili zile zile, unafiki ule ule...anaweza, anaweza, anaweza na vigelegele...


Mwaka 1985 walimwimbia hivi hivi Mwinyi
Mwaka 1995 walimwimbia hivi hvivi Mkapa
Mwaka 2005 wakamwimbia hivi hivi Kikwete
Mwaka 2105 wakamwimbia hivi hivi Magufuli
Na sasa wanamwimbia Samia

Je tutafika? Wimbo ule ule, watu wale wale, akili zile zile, unafiki ule ule, ujinga ule ule...tuna imani, tuna imani. tuna imani na vigelegele!

Legacy, my foot! Labda ya watu wasiojulikana wanaoteka, kutesa na kuwapoteza wananchi wenzetu!
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Mkuu,

Huyo Bollen Ngetti asikupotezee muda kana kwamba unafikiria kwa kutumia ubongo wake, he is such a typical coward and failure in everything he attempts to engage supporting influence. He never dared utter such blah blah he is lashing out now during the late's regime, so he is just spewing his personal hatred to relieve his psychosis disorder.

In short Memories generate from Legacy, in the absence of the latter the former automatically is obsolete.

Let's look and examine the following definitions of LEGACY and the context of MEMORIES

A legacy is something that is handed down from one period of time to another period of time. Often it means something handed down from an ancestor or predecessor. Metaphorically, leaving a legacy is planting seeds in a garden you never get to see (Ideas or philosophy, courageous and dares doing something thought impossible, implementing mega projects of infrastructures such as the hydro power generation dam-Stigler’s Gorge, SGR electric rolling stock, building state house mansions local generated financial funds and human capital resources, Tax collection improvement, government & public servants discipline, practical self-reliance conduct, maritime vessel transport improvement, national sovereignty wealth retention-minerals & gas to name a few. You could make a real difference to someone's life by leaving them a generous legacy that stir memories to recall the good deeds with diversity effects to a number of beneficiaries.

A legacy is a gift by money or property which someone leaves to you when they die

A legacy of an event or period of history is something which is a direct result of it, and which continues to exist after it is over. Historical people, situations or things extended in the past and are considered to be a part of history. If you look at an event within a historical context, you look at what was happening at that time and what had previously happened in order to judge the event and its importance.

Difference between legacy and memories

A legacy
of an event or period of history is something which is a direct result of it and which continues to exist after it is over. Therefore, a legacy is usually something tangible and transferable,

Memory refers to the processes that are used to acquire, store, retain, and later retrieve information. There are three major processes involved in memory: encoding, storage, and retrieval. A memory is personal to whoever remembers and when 9retrieved from the past and used at the present whether for recognizing or challenging its authenticity the you acknowledge legacy existence. Human memory involves the ability to both preserve and recover information that has ever learned or experienced.

Maalim Seif Sharif Hamad left a good legacy as being a benchmark on PATIENCE and RECONCILIATIVE figure to recall

Benjamin Mkapa left a lot of good legacy starting from being CONFIDENT, KNOWLEDGEABLE and several other constructive reforms

Julius Kambarage Nyerere Burito left his legacy that speaks of itsself to date

Rashid Mfaume Kawawa (Simba wa Vita) left a very good legacy pillared on patience, submissive/obedient and reconciliative figure of his time

Dr.Omar Ally Juma left a very unprecedented benchmark as a polite, confident, knowledgeable and leader centered figure to harmonize potential clashes in the community

Edward Moringe Sokine left a benchmark legacy stanrdas towards fighting against the corruption, embezzlement, laxity and encouragement to peasants ambitions

Horace Kolimba left legacy for being confident and transparent

And many more have diffent legacies defining their contributions to excel what they believed would relieve the citizens from the hardships they encounter in their day to day income generation to subsist the living standards and subsequent personal development achieved.

So, tell Bollen Ngetti he has missed the point , he needs to be intutioned afresh to flourish according to the status quo.
 
Naunga mkono hoja. Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha.

Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo COVID19.
Kitu kinachonitisha Sana Ni kuona kuwa Watanzania wengi Sana bado Ni wajinga na hata wasomi wakubwa ,na wengi zaidi wanaukubali uongo na wamepotezwa na propaganda.
Ujinga wao Ni kwamba kwa Magufuli kujenga Madaraja,barabara,viwanja vya ndege,kununua ndege na majengo wanona hiyo ndiyo Legacy.

Hivi huwa najiuliza Maraisi waliopita hawakujenga?

Tangu Zama za Mwalimu kulikua na Wizara ya Ujenzi,je Wizara ya Ujenzi kazi yake Ni Nini?
Nchi karibu zote Zina Wizara za Ujenzi ama Wizara zinazoshughulikia Mambo ya ujenzi.

Lakini Wizara ya Ujenzi peke yake hawezi kufanya Chochote lazima kuwe na pesa kwa ajili ya Ujenzi,pesa zinatoka wapi?
Sehemu kubwa zinatokana na Kodi ambazo sisi raia wenyewe ndio tunalipa.

Sasa Magufuli au rais yoyote katika Mambo mengine lazima ajenge miundombinu.
Hata mwanangu wa miaka 12 akiwa rais Leo lazima miundombinu itajengwa,
Marekani Hadi leo wanajenga ,Urusi,China,Japan na wengine wanajenga.

Sasa sioni kwa Nini Magufuli asifiwe kwa kujenga miundombinu wakati kujenga Ni kazi ya aseeikali yoyote.

Ningemuona Ni Rais Mahili Kama angeendelea kuwaunganisha Watanzania na kuwafanya kitu kimoja,lakini kwake imekua Ni kinyume,kaleta utengano Mkubwa Sana wasukuma na wachaga wanasimangana,CHATO Ni sehemu ya Tanzania lakini watu wanaisema vibaya Haijawahi Kutokea nchini mji mmoja kusemwa Kama inavyosemwa CHATO.
Vyama vya Siasa na viongozi wao wamekua wakimbizi katika nchi yao na baadhi kukimbia nchi.
Viongozi wa Dini kukubali kumsujudia binadamu na waliokataa kusujudu waliambiwa sio raia.

Legacy gani itaachwa hapa?
Labda kwa vile mie Lugha ya Malkia haipandi vizuri labda Legacy ina maana ya kuacha kumbukumbu ya Mambo mazuri au mabaya.
Kama Ni Legacy ya Mambo mabaya Mwamba kaacha.

Kama Ni ujenzi hakuna kitu.

Sasa kafa tuone Kama miundombinu haitajengwa Tena.
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Asante kwa ukweli huu!
Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
 
Hata wazazi wanajenga nyumba za familia na kuleta huduma kama maji na umeme kwenye nyumba sasa mtu Kama Raisi kujenga ni jukumu lake na huduma kwa wananchi, Kikwete angekamilisha katiba mpya pamoja na jinsi alivyokuwa ameachia demokirasia angeacha legacy.
 
Legacy ambayo hatutakaa tuisahau ni Udikteta, watu kupoteza na hatujui walipo, wengine wamebaki vilema, wafanyabiashars wakubwa baadhi kuteswa na kukimbia nchi ambapo biashara zao zilifilisiwa au kufa na kusababisha ajiraa nyingi kufa. Ni mengi mno ambayo Tanzania hatukuzoea. Hata muasisi wa Taifa hili ukipingana naye sana au ukifanya kosa kubwa ilikuwa unarudishwa kijijini unaishi huko na hupotei. Kumbukeni Marehemu Tumtemeke Sanga, Mzee Jumbe n.k.
Hivyo Tanzania tuliona nchi imebadilika kuwa Kosovo. Hiyo ndiyo Legacy. Haitasahaulika kamwe.
Umenena vyema hata Kasangatumbo aliyeanzisha Chama cha DP kupingana na TANU mwaka 1964, alimfanya aishi Tabora tu. Ila akitaka kwenda nje ya Tabora alitakiwa kuomba ruksa kwa RC. Hakuna mtu alikufa kwa kupishana kauli.

Mwendazake alikuwa ni LAANA
 
Umenena vyema hata Kasangatumbo aliyeanzisha Chama cha DP kupingana na TANU mwaka 1964, alimfanya aishi Tabora tu. Ila akitaka kwenda nje ya Tabora alitakiwa kuomba ruksa kwa RC. Hakuna mtu alikufa kwa kupishana kauli.

Mwendazake alikuwa ni LAANA
Na Tanzania tumebarikiwa. LAANA haitakiwi. Na tukiomba huwa tunasikilizwa na Mungu. Ona hata Kimbunga Jobo tumesimama kuna watu waomba serious ikiwemo mimi. Kadri masaa yanasogea tunasikia habari njema kama zile za Mwezi wa Jana. Chini ya code.
 
Na wale kinamama walioweka kanga zao njiani lilipopita gari walikuwa ni wasanii.

Punguza akili za kitoto.
Hao akina mama waliotandika khanga ni MAPUMBAFU na wala hayakustahili kuzaliwa. Kweli angekuwa mkeo katandika khanga wakati mzoga wa DIKTETA muuaji unapita ungejisiakiaje??
Wale Ni MAHAYAWANI, iko siku wakikumbuka UPIMBI huo watajilaumu Sana.

Mimi mke wangu hata kuangalia TBC1 wakati wa msiba nilimpiga MARUFUKU
 
Hawaoni haya wanaopambania legacy ya Magufuli. Tangu ilipovuma kuwa anumwa nguvu kubwa ilitumika kuuzima uvumi huo. Ilipotangazwa kafriki nguvu kubwa ilitumika kuzuia watu wasishangilie.

Wakati wa maombolezo nguvu kubwa imetumika kulazimisha watu kuomboleza. Na hata wakawekwa wasanii wa kuigiza kuzimia ili ionekane anapendw.

Sasa ujinga unendelea kulazimisha legacy.

Legacy'.... Legacy' my foot.
Unaweza kuwataja hao Kwa majina yao mkuu!!
 
Kitu kinachonitisha Sana Ni kuona kuwa Watanzania wengi Sana bado Ni wajinga na hata wasomi wakubwa ,na wengi zaidi wanaukubali uongo na wamepotezwa na propaganda.
Ujinga wao Ni kwamba kwa Magufuli kujenga Madaraja,barabara,viwanja vya ndege,kununua ndege na majengo wanona hiyo ndiyo Legacy.

Hivi huwa najiuliza Maraisi waliopita hawakujenga?

Tangu Zama za Mwalimu kulikua na Wizara ya Ujenzi,je Wizara ya Ujenzi kazi yake Ni Nini?
Nchi karibu zote Zina Wizara za Ujenzi ama Wizara zinazoshughulikia Mambo ya ujenzi.

Lakini Wizara ya Ujenzi peke yake hawezi kufanya Chochote lazima kuwe na pesa kwa ajili ya Ujenzi,pesa zinatoka wapi?
Sehemu kubwa zinatokana na Kodi ambazo sisi raia wenyewe ndio tunalipa.

Sasa Magufuli au rais yoyote katika Mambo mengine lazima ajenge miundombinu.
Hata mwanangu wa miaka 12 akiwa rais Leo lazima miundombinu itajengwa,
Marekani Hadi leo wanajenga ,Urusi,China,Japan na wengine wanajenga.

Sasa sioni kwa Nini Magufuli asifiwe kwa kujenga miundombinu wakati kujenga Ni kazi ya aseeikali yoyote.

Ningemuona Ni Rais Mahili Kama angeendelea kuwaunganisha Watanzania na kuwafanya kitu kimoja,lakini kwake imekua Ni kinyume,kaleta utengano Mkubwa Sana wasukuma na wachaga wanasimangana,CHATO Ni sehemu ya Tanzania lakini watu wanaisema vibaya Haijawahi Kutokea nchini mji mmoja kusemwa Kama inavyosemwa CHATO.
Vyama vya Siasa na viongozi wao wamekua wakimbizi katika nchi yao na baadhi kukimbia nchi.
Viongozi wa Dini kukubali kumsujudia binadamu na waliokataa kusujudu waliambiwa sio raia.

Legacy gani itaachwa hapa?
Labda kwa vile mie Lugha ya Malkia haipandi vizuri labda Legacy ina maana ya kuacha kumbukumbu ya Mambo mazuri au mabaya.
Kama Ni Legacy ya Mambo mabaya Mwamba kaacha.

Kama Ni ujenzi hakuna kitu.

Sasa kafa tuone Kama miundombinu haitajengwa Tena.
Kuna Watanzania wengi wapumbavu ambao walikuwa wanategemea kupata taarifa za upande mmoja wa vyombo vya habari VILIVYO DHIBITIWA ndiyo hao wanadhani amejenga sana miundombinu. Na kuna kuna wale WASUKUMA ambao hakuwabomolea nyumba kama alivyobomoa Kimara halafu kuna wale aliowapa vyeo.

Ila tuachieni sisi ambao ametuvurugia biashara ya korosho, sisi aliotunyang'anya Dolla na sisi ambao amewaweka ndugu zetu rumande kwa kesi za kubandikiza TUSHEREHEKEE kufa kwa DIKTETA
 
Kuna Watanzania wengi wapumbavu ambao walikuwa wanategemea kupata taarifa za upande mmoja wa vyombo vya habari VILIVYO DHIBITIWA ndiyo hao wanadhani amejenga sana miundombinu. Na kuna kuna wale WASUKUMA ambao hakuwabomolea nyumba kama alivyobomoa Kimara halafu kuna wale aliowapa vyeo.

Ila tuachieni sisi ambao ametuvurugia biashara ya korosho, sisi aliotunyang'anya Dolla na sisi ambao amewaweka ndugu zetu rumande kwa kesi za kubandikiza TUSHEREHEKEE kufa kwa DIKTETA
Kaumiza wengi? Mapaka watu wakaanza kumteta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom