Wanaolilia legacy ya Hayati Magufuli someni alichoandika Bollen Ngetti

Wanaolilia legacy ya Hayati Magufuli someni alichoandika Bollen Ngetti

Hao akina mama waliotandika khanga ni MAPUMBAFU na wala hayakustahili kuzaliwa. Kweli angekuwa mkeo katandika khanga wakati mzoga wa DIKTETA muuaji unapita ungejisiakiaje??
Wale Ni MAHAYAWANI, iko siku wakikumbuka UPIMBI huo watajilaumu Sana.

Mimi mke wangu hata kuangalia TBC1 wakati wa msiba nilimpiga MARUFUKU
Jua tu kuwa una mke aliyelelewa ktk mazingira yasiyo/ jamii isiyo sahihi. Je kama mkeo angekuwa madam president wa JMT ungemkataza asiangalie TBC?
 
Hapa umeandika upuuzi mtupu. Ulivyo mjanja baada ya kujua Watanzania hawajui English ukaona upitie humohumo tu,lakini ungeliyaandika haya kwa Kiswahili nadhani hata Layman wa Kindergarten angelikuona kilaza TU.

Unasema Kujenga Bwawa la Nyerere nayo ni Legacy? Kwamaana hiyo kama ni hiyo basi kila rais wa Marekani kaacha Legacy make kila rais alijenga Miundombinu mikubwa kuliko hiyo unayosema. Hivi siku akija mwingine rais akajenga bwawa kubwa kama lile la INGA DAMS la Congo DR la 40,000MW si hako ka Bwawa ka JPM ka 2115MW kataonekana Utopolo?

Legacy Ni Ideas na Philosophy inayoachwa na Mtu kwa vizazi vingi vijavyo. Nyerere hakumbukwi kwa kujenga viwanda vikubwa zaidi ya 400 kila Mkoa,Mkoa wa Tanga pekee ulikuwa na Viwanda zaidi ya 150 leo hii ni Magofu tu,watoto watakaozaliwa mwaka 2100 hawatayaona hayo Magofu ndio wamkumbuke Nyerere. Nyerere aliacha Legacy ya Mawazo ambayo mpaka leo yanaishi,kila Kiongozi awe wa Upinzani au CCM akitaka Popularity hutumia baadhi ya Misemo ya Nyerere ambayo baba wa Taifa aliitamka kipindi cha uhai wake. Amka Jomba.
Maneno ya Magufuli unayoweza kutumia ni acha Mavi yako nyumbani, Katerero (Sijui kama inaandikwa hivyo), Huko nyuma mnataka kuingizwa, wanawake weupe watamu na upuuzi mwingine kama huo. Jamaa alikuwa simple minded sana, Hotuba zake zilikuwa nyepesi, akaamua kujificha kwenye kivuli cha ukali na vitisho. Fkc him
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
sifikiri kama kuna mtu mwenye akili timamu atakaye kuwa na matumaini na CCM. CCM ni janga la TAIFA. CCM ni laana ya TAIFA
 
Na wale kinamama walioweka kanga zao njiani lilipopita gari walikuwa ni wasanii.

Punguza akili za kitoto.
Sio kwa ubaya, lakini uelewa wetu ni wa Watanzania ni hafifu. Ukihoji mmoja mmoja uulize nini kinachomliza, ndio utaona maana ya hoja ya Ngeti.

Kazi ya Rais haiwezi kuwa kuruhusu machinga wajazane stendi ya mabasi. Sikumbuki Mkapa na Kikwete wakishuka kwenye level za chini hivi kufanya kazi za mgambo. Nani atafikiri kuhusu Tanzania ya 2070 na 2120 kama Rais anafikiri kuhusu machinga?
 
Boleni Ngeti huyu anayedunda mkewe kila wakati hivi kituo cha polisi alishatoka? Yeye ana legacy gani nyumbani kwake?
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
images (54).jpeg
 
Hivi mtu mwenyewe alishakufa mbona bado watu wanaumia
Tutaendelea kuumia na kumsema kama akina hitler, bokasa, mussolini, idd amin, mobutu, nguema na mashetani yote menzake yaliyoweza kuvamia viti vitakatifu ikulu na kuvinyea kwa mauaji na manyanyaso kwa waliowavamia. Magu? afe mara 100000000 zaidi
 
Na wale kinamama walioweka kanga zao njiani lilipopita gari walikuwa ni wasanii.

Punguza akili za kitoto.
Wewe fala hujiulizi kwa nini hatukuona hizi tantabelua wakati wa mazishi ya baba wa taifa!
Tatizo la wasomi ni hizi dharau nyepesi nyepesi za mitandaoni ndio huwa mwishoni wa upeo wenu.

Marehemu alieleweka kwa watu wa hali ya chini. Nguvu zake alizielekeza kwao watu wa aina hiyo.

Wewe ni mimi hatuwezi kuwa na akili kuwazidi mamilioni ya watu walioonyesha upendo wao kwake.
Kilaza wa vilaza katika ubora wako. Unatambua ni wasomi? Upeo wa msomi kuwa dharau nyepesi nyepesi mitandaoni? Alieleweka na hao wa chini kwa sababu hawaelewi wakielewacho na ndio maana wakawa wa huko chini. Walimwelewa mwenzao kwa uelewa mufilisi kama wao. Mitaa 2021 haipitiki 2025 mitaa isingekuwepo. Mwendazake alitengeneza wanyongwa wengi zaidi. Matajiri wote walinyongwa na kuwa wanyonge.

Wewe peke yako ndiye una akili sawa nao hao waliompenda. Usipoangalia utabaki peke yako. Gambo kaacha huo uzwazwa jana. Nnauye tangu juzi. Hao watu wako ni wa chini na ndivyo walivyo. Akili yao ni ya chini. Sisi tuliwazidi akili mashuleni na maishani wakabaki huko chini. Mnazidi kuwashikilia huko huko. Hakuna anayewainua. Mwazidi kuwadidimiza. Wanafurahia. Hawaelewi. Uelewa mdogo. Akili ya chini. Na wewe pamoja nao!

Sauti ya wengi sio sauti ya Mungu. Ni usemi maarufu usiokuwa sahihi. Kama ni sahihi Mnara wa Babeli ungesimama. Ile ilikuwa sauti ya dunia nzima. Sauti ya Mungu ilikuwa kinyume!
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Kwa namna ulivyodefine legacy basi JPM kaacha legacy. Ni katika utawala wa JPM watanzania tumeweza kujiamini kwamba hatuna mjomba wala shangazi huko nje. Tusipoijenga nchi yetu kwa maono yetu wenyewe, kwa mikono yetu wenyewe na kwa mali zetu wenyewe tutabaki mafukara hivi hivi hadi Yesu anarudi. Hata msimamo wa Tanzania (na tabia zetu) kuhusu corona baada ya JPM kuondoka inaonesha laivu huyu mtu ameacha legacy na ni kupitia legacy hiyo tunapima kila kinachoendelea ulimwenguni kwa mizania yetu wenyewe, si kulishwalishwa mambo kama vile tu marobot. Na ukitaka kujua kuwa JPM ameacha legacy embu waliopo wajaribu kuirudisha nchi yetu kuwa shamba la bibi kama ilivyokuwa enzi za JK ndio utajua kuwa Magufuli anaweza kuwa kafa (kama ambavyo watu wote hufa) lakini spirit yake haijafa. Kafa JPM mmoja lakini kuna viJPM kibao vipo kwenye pipeline. Vipo kwenye sekta zote na havitaruhusu nchi yetu irudi kwenye takataka za huko nyuma.
 
Sio kwa ubaya, lakini uelewa wetu ni wa Watanzania ni hafifu. Ukihoji mmoja mmoja uulize nini kinachomliza, ndio utaona maana ya hoja ya Ngeti.

Kazi ya Rais haiwezi kuwa kuruhusu machinga wajazane stendi ya mabasi. Sikumbuki Mkapa na Kikwete wakishuka kwenye level za chini hivi kufanya kazi za mgambo. Nani atafikiri kuhusu Tanzania ya 2070 na 2120 kama Rais anafikiri kuhusu machinga?
Ni rahisi sana kuongea kwa mbwembwe jamiiforum kuliko kupewa ofisi ya urais na kikafanyika chochote cha maana.
 
Back
Top Bottom