Wanaolilia legacy ya Hayati Magufuli someni alichoandika Bollen Ngetti

Wanaolilia legacy ya Hayati Magufuli someni alichoandika Bollen Ngetti

Wewe fala hujiulizi kwa nini hatukuona hizi tantabelua wakati w

Kilaza wa vilaza katika ubora wako. Unatambua ni wasomi? Upeo wa msomi kuwa dharau nyepesi nyepesi mitandaoni? Alieleweka na hao wa chini kwa sababu hawaelewi wakielewacho na ndio maana wakawa wa huko chini. Walimwelewa mwenzao kwa uelewa mufilisi kama wao. Mitaa 2021 haipitiki 2025 mitaa isingekuwepo. Mwendazake alitengeneza wanyongwa wengi zaidi. Matajiri wote walinyongwa na kuwa wanyonge.

Wewe peke yako ndiye una akili sawa nao hao waliompenda. Usipoangalia utabaki peke yako. Gambo kaacha huo uzwazwa jana. Nnauye tangu juzi. Hao watu wako ni wa chini na ndivyo walivyo. Akili yao ni ya chini. Sisi tuliwazidi akili mashuleni na maishani wakabaki huko chini. Mnazidi kuwashikilia huko huko. Hakuna anayewainua. Mwazidi kuwadidimiza. Wanafurahia. Hawaelewi. Uelewa mdogo. Akili ya chini. Na wewe pamoja nao!

Sauti ya wengi sio sauti ya Mungu. Ni usemi maarufu usiokuwa sahihi. Kama ni sahihi Mnara wa Babeli ungesimama. Ile ilikuwa sauti ya dunia nzima. Sauti ya Mungu ilikuwa kinyume!
Wewe ndio zwazwa wa JF. Mamilioni ya watu waliomlilia hawawezi kuwa wajinga halafu wewe uliyejificha nyuma ya keyboard ndio ukawa na akili.

Dodoma iliwashinda waliomtangulia kwa miaka 42 yeye ndani ya miaka miwili kila kitu kipo huko na kazi zinaendelea kama kawaida.

Kifo ni wajibu wa kila mja, JPM alikuwa ni mtu na robo tatu, chuma imara.
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Hayo ni mawazo yako lakini kwa ujumla wengine na wengi wamesema ifuatavyo kumaanisha LEGACY:-

  1. something transmitted by or received from an ancestor or predecessor or from the past the legacy of the ancient philosophers The war left a legacy of pain and suffering.
  2. Legacy definition, a gift of property, especially personal property, as money, by will; a bequest.
  3. Something handed down from an ancestor or a predecessor or from the past.
  4. A legacy of religious freedom.
  5. The definition of legacy is something that is passed on to you from family, including reputation.
  6. An example of legacy is family property that has been handed down for generations.
  7. Legacy means an older style or system
  8. An example of legacy is the filing system of a previous secretary at your new job
  9. Money or property given to another by will
  10. Anything handed down from, or as from, an ancestor.

Hizi ni legacy za Obama
Today, very few people fully understand the extensive consequences of President Obama's two terms in office. Life as we know it in America will never be the same. In Revealed: Obama's Legacy, the details are presented.


  • Ran roughshod over the U.S. Constitution
  • Undermined America's Judicial System
  • World's number one promoter of lesbian, gay, bisexual, transgender (LGBT)
  • Celebrated Supreme Court decision on same-sex marriage with a rainbow imaged on the White House
  • Directed a destructive transformation of the U.S. military
  • Lectured God-fearing Christians on how to behave
  • A Muslim apologist and defender of Islam in America
  • Passionate about Middle East refugees coming to America
  • Expressed no emotion over Christians being persecuted for their faith
  • Endangered Israel and U.S. Middle East allies by destabilizing the region
  • U.S. Federal Debt will almost double to $20 trillion; Federal Reserve debt increased over $4 trillion; personal debt at record level
1619337431153.png

Mwandishi atakuwa na chuki zake tu
 
Huwezi kujenga legacy kama wewe siyo visionary leader, na kuwa visionary leader lazima una akili kubwa (great minds) ukilinganisha na watu wa kawaida (average persons), na hizi akili kubwa unazipata kwa watu kama akina J.K Nyerere, Nelson Mandela, Nkwame Nkurumah, John F. Kennedy, and the likes......kamwe hizi quality huwezi kuzikuta kwa watu ambao wanaendeshwa na tamaa za kujipatia utajiri ikulu na kujenga himaya binafsi kama akina meko.....
 
Wewe ndio zwazwa wa JF. Mamilioni ya watu waliomlilia hawawezi kuwa wajinga halafu wewe uliyejificha nyuma ya keyboard ndio ukawa na akili.

Dodoma iliwashinda waliomtangulia kwa miaka 42 yeye ndani ya miaka miwili kila kitu kipo huko na kazi zinaendelea kama kawaida.

Kifo ni wajibu wa kila mja, JPM alikuwa ni mtu na robo tatu, chuma imara.
Duuuh hii ni hatari na robo tatu. Ungekuwa mkweli ungezikwa naye. Kuna watu walikuwa wanazikwa wazima na machifu tu wa vikabila tena vidogo. Iweje wewe utudanganye kwa hayo mahaba kwa mfalme wa makabila takriban 130 ubaki na porojo zako hizo? Tafakari. Chukua hatua!
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Sour grapes?
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Utekelezaji wa jambo lolote lile, huanza kwanza na idea, halafu inakuja mipango kisha ndo unakuja utekelezaji, na baadae Matokeo.

Hapa Kazi Tu !!! Ni falsafa inayoishi, inayotoa hamasa, iliyobadili mtindo wa maisha wa mtanzania hasa katika kujenga nchi.

Hapa Kazi Tu !!! Ni idea inayolenga kuweka mfumo mpya wa uendeshaji wa Serikali kutoka kwenye kufanyakazi kwa mazoea kwenda kwenye uwajibaki.

Matokeo ya falsafa/idea hii ndo imeleta mapinduzi katika ukusanyaji wa mapato ya Serikali, nidhamu kazini, uwajibikaji kwa viongozi na watumishi wa umma.

Matokeo ya haya yote, ndo tumeona miundombinu mikubwa ikijengwa ikiwemo madaraja n.k , uimarishaji wa ATCL, Bwawa la mwl. Nyerere, SGR na nchi kuingia uchumi wa kati. Vyote hivi vimetekelezwa kwa muda mfupi sana wa miaka 5 tu kuliko ilivyotarajiwa.

Kama idea hii iliweza kuleta matokeo chanya, kwanini watu waulaumiwe au kudhihakiwa wanaposema JPM ameacha legacy.

Kwani hii Legacy ikilindwa ili viongozi wengine hata kama watakuja na ya kwao, lakini wakifuata njia ambayo tayari imeonyeshwa kunakua na ubaya gani?

Mimi nadhani ifike mahali tusiendeshwe na chuki katika kufanya analysis ya mambo. Hata kama hatukua tunakubaliana na sera za mtu, lakini kama kuna jambo jema ameliacha, basi tulitukuze na kulienzi.

Kwa kumalizia niseme, JPM hakuacha tu Legacy bali ameacha TUNU ya taifa inayopaswa kulindwa kwa nguvu zote.
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Ngetti ni moja ya vijana wa ccm wanaojitambua sana huwa namkubali sana huyu jamaa japo siku za magufuli alikuwa kapigwa pin sana kutokana na aina yake ya ukosoaji wenye kubeba dhana nzito. Happy to see you are back!!!!
 
Tutaendelea kuumia na kumsema kama akina hitler, bokasa, mussolini, idd amin, mobutu, nguema na mashetani yote menzake yaliyoweza kuvamia viti vitakatifu ikulu na kuvinyea kwa mauaji na manyanyaso kwa waliowavamia. Magu? afe mara 100000000 zaidi
Haya poa kazana
 
Ukichagua maumivu kuwa legacy sawa, lkn Magufuli kaacha legacy.
Tumeshaifuta legacy yake kabla ya hata ya arobaini yake kutimia. Mateso yake yalifuta mazuri yote aliyofanya. After all ni kodi zetu na kila Rais alifanya kwa kodi zetu.
 
Hivi mtu mwenyewe alishakufa mbona bado watu wanaumia
Hivi unadhania kwa matendo mabaya aliyowafanyia watu watamuacha tu, hivi hivi?kuna watu waliathirika na awamu ya kwanza, hadi leo wanamsema nyerere, sembuse huyuuu!!mbona bado sanaa, na kibaya zaidi wanaozidi kumchongea ni hao MATAGA!!mala afanywe mtakatifu, hapo unategemea watu wafanye nini?!!
Kwani ali asisi siasa za kipekee(za chuki) nchini ambazo hatukuwahi kuwa nazo!!na kuona mwana ccm, ndio mtu mwenye haki ya kila kitu nchi hii!!!MUNGU FUNDI
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Ahahahahahahah! Nasikia huyu Bollen Ngetti ndiye aliyeasisi ile kauli mbiu ya Bernard Membe ya " Nazi na Bata". Wakati wa kampeni za urais, akamshauri "mgombea" wake aje na kauli ya "Kushambulia na kufunga dakika ya 89"! Bollen Ngetti huyu! Ahahahahahahah!!!
 
Legacy ya Magufuli siyo lazima kila mmoja aifuate au aienzi wengi wetu tutaenzi legacy yake ambayo itaishi mioyoni na akilini mwetu.
1.Ujasiri was Hali ya juu kukabiliana na matatizo makubwa bila kuomba omba misaada mahala pengine Wala kuiga kila kitu kwenye upande wa kutatua matatizo e.g jinsi alivyokabiliana na ugonjwa was virus za corona19
2.Kutobembelezana katika masuala ya msingi moja ya eneo lililomzolea maadui wengi ambao wanateseka Hadi hivi Sasa.
3.Uthubutu na kujiamini katika uwezo wake binafsi na nchi kwa UJUMLA.e.g kutenda mambo mengine ambayo baadhi ya watu mambo hayohayo waliogopa au walisita kuyafanya kwamfano kuhamia dodoma,stigglers kujenga reli za umeme na miradi mingi mikubwa.
4.Kukubali na kujivunia utu wake Kama musfrika.hapa viongozi wengi kwa mifano yao mibovu wamekuwa wakibeza uafrika wao kwamaneno na vitendo lakin Jpm tutamkumbuka kwakuwa MWAFRIKA halisi aliyejivunia kwa maneno na vitendo kuanzia lugha(viongozi 99%wanatumia lugha ambazo si za kiafrika hapa Wajinga wakasema hajui kiingereza [emoji23] mavazi n.k
 
Legacy in urithi uliotukuka! Legacy aliyotuachia Rais Magufuli ni imani kuwa Tanzania siyo maskinina tunaweza kutekeleza mipango yetu kwa kutumia fedha zetu za ndani! Mfano ni uchaguzi mkuu wa 2020 kwa mara ya kwanza tumeufanya kwa kutumia pesa zetu za ndani bila kutegemea ufadhili was nje
 
Tumeshaifuta legacy yake kabla ya hata ya arobaini yake kutimia. Mateso yake yalifuta mazuri yote aliyofanya. After all ni kodi zetu na kila Rais alifanya kwa kodi zetu.
Roho mbaya tu, kodi zenu sawa rais angeamua kwenda kubembea LA ungemkataza?
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
mataga watabisha na kukuona wewe ni libeberu
 
Pengine wakati wanazika kiheshima mtu ashawekwa kuzimu huko anachomeka. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Bollen Ngetti.
Umenifurahisha sana. Sijui kama wamekuelewa hasa ma-CCM na Wabunge wao Class-7 wasiojua maana wala kutamka Neno "LEGACY".
Mtu kama Kibajaj au Msukuma anasimama Bungeni na kuongea kwa mapovu na mimate ikimtoka ati anatetea "RIGASI" ya mwenda zake....!! Shame on them Utopian members of Parliament from CCM!
 
Back
Top Bottom