Wanaolilia legacy ya Hayati Magufuli someni alichoandika Bollen Ngetti

Wanaolilia legacy ya Hayati Magufuli someni alichoandika Bollen Ngetti

Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Naunga mkono hoja
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!

Nyani kaparamia mti mwingine hahataki kukubali propoganda zake zimsfikwa na umauti.

Uzuri wenyewe hata Mh Rais SSH kagundua hamumsaidii bali mnamchimbia shimo ili aishie kudumbukia mzima mzima.

JPM anaishi kwenye Nyoyo na Akili za Watanzania wanaojielewa. Hatakiwi na chuki za mijizi na mafisadi wa Taifa hili tu. Ulimwengu huu uliondelea katika Sanyansi na Teknologia hamuwezi kuzima legacy yake kama mlivyo fanikiwa kuficha baadhi ya hotuba za Mwl JK Nyerere enzi hizo.
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Legacy ya Magufuli haiwezi kufutika hata iweje.
 
Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump.

" THE ART OF THE DEAL" naambiwa kiliandikwa na Donald Trump!!!
 
Ilikuwa ndiyo cheap popolariry yake alijijengea. Eti wanyonge. My foot. Mtu akiniita mnyonge nampiga kadebra.
Tatizo la wasomi ni hizi dharau nyepesi nyepesi za mitandaoni ndio huwa mwishoni wa upeo wenu.

Marehemu alieleweka kwa watu wa hali ya chini. Nguvu zake alizielekeza kwao watu wa aina hiyo.

Wewe ni mimi hatuwezi kuwa na akili kuwazidi mamilioni ya watu walioonyesha upendo wao kwake.
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Sijui kama Boring Ngoti anajua anachotaka kueleza zaidi ya kulalia upande mmoja akajiridhisha kuwa ametenda haki kiakili wakati siyo,
 
Mkuu,

Huyo Bollen Ngetti asikupotezee muda kana kwamba unafikiria kwa kutumia ubongo wake, he is such a typical coward and failure in everything he attempts to engage supporting influence. He never dared utter such blah blah he is lashing out now during the late's regime, so he is just spewing his personal hatred to relieve his psychosis disorder.

In short Memories generate from Legacy, in the absence of the latter the former automatically is obsolete.

Let's look and examine the following definitions of LEGACY and the context of MEMORIES

A legacy is something that is handed down from one period of time to another period of time. Often it means something handed down from an ancestor or predecessor. Metaphorically, leaving a legacy is planting seeds in a garden you never get to see (Ideas or philosophy, courageous and dares doing something thought impossible, implementing mega projects of infrastructures such as the hydro power generation dam-Stigler’s Gorge, SGR electric rolling stock, building state house mansions local generated financial funds and human capital resources, Tax collection improvement, government & public servants discipline, practical self-reliance conduct, maritime vessel transport improvement, national sovereignty wealth retention-minerals & gas to name a few. You could make a real difference to someone's life by leaving them a generous legacy that stir memories to recall the good deeds with diversity effects to a number of beneficiaries.

A legacy is a gift by money or property which someone leaves to you when they die

A legacy of an event or period of history is something which is a direct result of it, and which continues to exist after it is over. Historical people, situations or things extended in the past and are considered to be a part of history. If you look at an event within a historical context, you look at what was happening at that time and what had previously happened in order to judge the event and its importance.

Difference between legacy and memories

A legacy
of an event or period of history is something which is a direct result of it and which continues to exist after it is over. Therefore, a legacy is usually something tangible and transferable,

Memory refers to the processes that are used to acquire, store, retain, and later retrieve information. There are three major processes involved in memory: encoding, storage, and retrieval. A memory is personal to whoever remembers and when 9retrieved from the past and used at the present whether for recognizing or challenging its authenticity the you acknowledge legacy existence. Human memory involves the ability to both preserve and recover information that has ever learned or experienced.

Maalim Seif Sharif Hamad left a good legacy as being a benchmark on PATIENCE and RECONCILIATIVE figure to recall

Benjamin Mkapa left a lot of good legacy starting from being CONFIDENT, KNOWLEDGEABLE and several other constructive reforms

Julius Kambarage Nyerere Burito left his legacy that speaks of itsself to date

Rashid Mfaume Kawawa (Simba wa Vita) left a very good legacy pillared on patience, submissive/obedient and reconciliative figure of his time

Dr.Omar Ally Juma left a very unprecedented benchmark as a polite, confident, knowledgeable and leader centered figure to harmonize potential clashes in the community

Edward Moringe Sokine left a benchmark legacy stanrdas towards fighting against the corruption, embezzlement, laxity and encouragement to peasants ambitions

Horace Kolimba left legacy for being confident and transparent

And many more have diffent legacies defining their contributions to excel what they believed would relieve the citizens from the hardships they encounter in their day to day income generation to subsist the living standards and subsequent personal development achieved.

So, tell Bollen Ngetti he has missed the point , he needs to be intutioned afresh to flourish according to the status quo.
Mjomba umeandika kitu ndefuu halafu na viingereza vingi wengine hatuelewi kitu.

Sisi Watanzania tumeshakubaliana kuwa hakuna kitu aliyoacha huyo mwendazake zaidi ya maumivu kwetu.

Hata usitumie nguvu nyingi maana kikao tulishamaliza na makubaliano ndio hayo tuliyofikia, huwezi kutushawishi vinginevyo.
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Hili ni andiko zito kwa wenye uelewa, na shule kwa wenye akili lakini wakanyimwa maarifa.

Asante sana.
 
Mkuu,

Huyo Bollen Ngetti asikupotezee muda kana kwamba unafikiria kwa kutumia ubongo wake, he is such a typical coward and failure in everything he attempts to engage supporting influence. He never dared utter such blah blah he is lashing out now during the late's regime, so he is just spewing his personal hatred to relieve his psychosis disorder.

In short Memories generate from Legacy, in the absence of the latter the former automatically is obsolete.

Let's look and examine the following definitions of LEGACY and the context of MEMORIES

A legacy is something that is handed down from one period of time to another period of time. Often it means something handed down from an ancestor or predecessor. Metaphorically, leaving a legacy is planting seeds in a garden you never get to see (Ideas or philosophy, courageous and dares doing something thought impossible, implementing mega projects of infrastructures such as the hydro power generation dam-Stigler’s Gorge, SGR electric rolling stock, building state house mansions local generated financial funds and human capital resources, Tax collection improvement, government & public servants discipline, practical self-reliance conduct, maritime vessel transport improvement, national sovereignty wealth retention-minerals & gas to name a few. You could make a real difference to someone's life by leaving them a generous legacy that stir memories to recall the good deeds with diversity effects to a number of beneficiaries.

A legacy is a gift by money or property which someone leaves to you when they die

A legacy of an event or period of history is something which is a direct result of it, and which continues to exist after it is over. Historical people, situations or things extended in the past and are considered to be a part of history. If you look at an event within a historical context, you look at what was happening at that time and what had previously happened in order to judge the event and its importance.

Difference between legacy and memories

A legacy
of an event or period of history is something which is a direct result of it and which continues to exist after it is over. Therefore, a legacy is usually something tangible and transferable,

Memory refers to the processes that are used to acquire, store, retain, and later retrieve information. There are three major processes involved in memory: encoding, storage, and retrieval. A memory is personal to whoever remembers and when 9retrieved from the past and used at the present whether for recognizing or challenging its authenticity the you acknowledge legacy existence. Human memory involves the ability to both preserve and recover information that has ever learned or experienced.

Maalim Seif Sharif Hamad left a good legacy as being a benchmark on PATIENCE and RECONCILIATIVE figure to recall

Benjamin Mkapa left a lot of good legacy starting from being CONFIDENT, KNOWLEDGEABLE and several other constructive reforms

Julius Kambarage Nyerere Burito left his legacy that speaks of itsself to date

Rashid Mfaume Kawawa (Simba wa Vita) left a very good legacy pillared on patience, submissive/obedient and reconciliative figure of his time

Dr.Omar Ally Juma left a very unprecedented benchmark as a polite, confident, knowledgeable and leader centered figure to harmonize potential clashes in the community

Edward Moringe Sokine left a benchmark legacy stanrdas towards fighting against the corruption, embezzlement, laxity and encouragement to peasants ambitions

Horace Kolimba left legacy for being confident and transparent

And many more have diffent legacies defining their contributions to excel what they believed would relieve the citizens from the hardships they encounter in their day to day income generation to subsist the living standards and subsequent personal development achieved.

So, tell Bollen Ngetti he has missed the point , he needs to be intutioned afresh to flourish according to the status quo.
Hapa umeandika upuuzi mtupu. Ulivyo mjanja baada ya kujua Watanzania hawajui English ukaona upitie humohumo tu,lakini ungeliyaandika haya kwa Kiswahili nadhani hata Layman wa Kindergarten angelikuona kilaza TU.

Unasema Kujenga Bwawa la Nyerere nayo ni Legacy? Kwamaana hiyo kama ni hiyo basi kila rais wa Marekani kaacha Legacy make kila rais alijenga Miundombinu mikubwa kuliko hiyo unayosema. Hivi siku akija mwingine rais akajenga bwawa kubwa kama lile la INGA DAMS la Congo DR la 40,000MW si hako ka Bwawa ka JPM ka 2115MW kataonekana Utopolo?

Legacy Ni Ideas na Philosophy inayoachwa na Mtu kwa vizazi vingi vijavyo. Nyerere hakumbukwi kwa kujenga viwanda vikubwa zaidi ya 400 kila Mkoa,Mkoa wa Tanga pekee ulikuwa na Viwanda zaidi ya 150 leo hii ni Magofu tu,watoto watakaozaliwa mwaka 2100 hawatayaona hayo Magofu ndio wamkumbuke Nyerere. Nyerere aliacha Legacy ya Mawazo ambayo mpaka leo yanaishi,kila Kiongozi awe wa Upinzani au CCM akitaka Popularity hutumia baadhi ya Misemo ya Nyerere ambayo baba wa Taifa aliitamka kipindi cha uhai wake. Amka Jomba.
 
ni ushoga kulazimisha ifutike kwa nguvu zote.

kwani yeye hana kazi za kufanya!!!
 
Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________

KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA

Na Bollen Ngetti

INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.

Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.

Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!

Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.

Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.

Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).

Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.

Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".

Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".

Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.

Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .

Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.

Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.

Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.

Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.

Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.

Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Je kiongozi atakaye kuja na kujenga daraja toka Dar es salaam mpaka Unguja itakuwaje? sababu inawezekana
 
Back
Top Bottom