Kula 5 mkuuHawaoni haya wanaopambania legacy ya Magufuli. Tangu ilipovuma kuwa anumwa nguvu kubwa ilitumika kuzuzima uvumi huo. Ilipotangazwa kafriki nguvu kubwa ilitumika kuzuia watu wasishangilie.
Wakati wa maombolezo nguvu kubwa imetumika kulazimisha watu kuomboleza. Na hata wakawekwa wasanii wa kuigiza kuzimia ili ionekane anapendw.
Sasa ujinga unendelea kulazimisha legacy.
Legacy'.... Legacy' my foot.
Hata sijaelewa mambo yale. Watu tukanyimwa sherehe na kulazimishwa kuomboleza.Kunywa uji wa futar nakuja kulipa.
Hayat hakustahili kuzikwa kwa heshima kwa matendo yake mfu.
Na wale kinamama walioweka kanga zao njiani lilipopita gari walikuwa ni wasanii.Hawaoni haya wanaopambania legacy ya Magufuli. Tangu ilipovuma kuwa anumwa nguvu kubwa ilitumika kuzuzima uvumi huo. Ilipotangazwa kafriki nguvu kubwa ilitumika kuzuia watu wasishangilie.
Wakati wa maombolezo nguvu kubwa imetumika kulazimisha watu kuomboleza. Na hata wakawekwa wasanii wa kuigiza kuzimia ili ionekane anapendw.
Sasa ujinga unendelea kulazimisha legacy.
Legacy'.... Legacy' my foot.
Painful. Nilipoteza ndugu zangu 2 kwa Corona halafu mtu anasimama anakebehi Corona. Wakaibatiza Pneumonia. Nina hasira kali.Naunga mkono hoja. Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha.
Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo COVID19.
Ilikuwa ndiyo cheap popolariry yake alijijengea. Eti wanyonge. My foot. Mtu akiniita mnyonge nampiga kadebra.Na wale kinamama walioweka kanga zao njiani lilipopita gari walikuwa ni wasanii.
Punguza akili za kitoto.
Umemaliza mkuu!Naunga mkono hoja. Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha.
Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo COVID19.
Ha ha haHawaoni haya wanaopambania legacy ya Magufuli. Tangu ilipovuma kuwa anumwa nguvu kubwa ilitumika kuzuzima uvumi huo. Ilipotangazwa kafriki nguvu kubwa ilitumika kuzuia watu wasishangilie.
Wakati wa maombolezo nguvu kubwa imetumika kulazimisha watu kuomboleza. Na hata wakawekwa wasanii wa kuigiza kuzimia ili ionekane anapendw.
Sasa ujinga unendelea kulazimisha legacy.
Legacy'.... Legacy' my foot.
Very trueLegacy ambayo hatutakaa tuisahau ni Udikteta, watu kupoteza na hatujui walipo, wengine wamebaki vilema, wafanyabiashars wakubwa baadhi kuteswa na kukimbia nchi ambapo biashara zao zilifilisiwa au kufa na kusababisha ajiraa nyingi kufa. Ni mengi mno ambayo Tanzania hatukuzoea. Hata muasisi wa Taifa hili ukipingana naye sana au ukifanya kosa kubwa ilikuwa unarudishwa kijijini unaishi huko na hupotei. Kumbukeni Marehemu Tumtemeke Sanga, Mzee Jumbe n.k.
Hivyo Tanzania tuliona nchi imebadilika kuwa Kosovo. Hiyo ndiyo Legacy. Haitasahaulika kamwe.
Mkuu,Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________
KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA
Na Bollen Ngetti
INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.
Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.
Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!
Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.
Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.
Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).
Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.
Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".
Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".
Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.
Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .
Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.
Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.
Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.
Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.
Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.
Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Kitu kinachonitisha Sana Ni kuona kuwa Watanzania wengi Sana bado Ni wajinga na hata wasomi wakubwa ,na wengi zaidi wanaukubali uongo na wamepotezwa na propaganda.Naunga mkono hoja. Mwendazake ameacha majeraha kwa Watanzania wengi baada ya kuwavurugia mipango yake ya maisha.
Legacy yake itakuwa ni Rais wa Tanzania aliyekuwa muuaji, mwizi, mwongo, mkandamizaji wa demokrasia ambaye alikataa uwapo wa COVID19 na akafa kwa hiyo hiyo COVID19.
Asante kwa ukweli huu!Nawasalimu wanabodi. Hili andiko ameandika Mwandishi Bollen Ngetti katika ukurasa wake wa Facebook. Nami nalisukuma kwenu nzima nzima bila ku-edit.
______________________
KULILIA LEGACY YA MAGUFULI NI UJINGA
Na Bollen Ngetti
INACHEFUA sana na kutia kinyaa kuona, kusoma au kusikia watu wazima ndani na nje ya Bunge wakipiga mayowe eti Watanzania wanapaswa kuenzi "legacy" ya Hayati John Magufuli. Inafedhehesha sana.
Baadhi ya hao wanaoigiza "kidali poo" mchezo wa watoto wanalalamika eti kuna watu wanasifia utawala mpya wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa shabaha ya kuzika na kufuta "legacy" ya Magufuli. Utopia.
Kinachotoa matumaini ni kwamba wengi wao ni kina Mulaga ambao kwao elimu Darasa la Saba ndio PhD katika kijiji kizima. Aibu ilioje!
Ndugu zangu, HAKUNA "legacy" YOYOTE aliyoacha John Magufuli, Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa, Alli Hassan Mwinyi na nina mashaka hata Samia Hassan asipojifunza kwa watangulizi wake naye hatoacha "legacy" yoyote. Naye atapita tu kama upepo pamoja na kwamba mimi ni miongoni mwa wanaomuunga mkono 100% kwa gia aliyoanza nayo.
Tusitumie vibaya neno "legacy" na kuichanganya na kumbukumbu "memory". Tunakosea.
Legacy haijengwi kwenye vitu na matendo (actions). Kujenga daraja la Mfugale na Busisi si "legacy". Hizo ni kumbukumbu tu. Legacy hujengwa katika mawazo (ideas).
Mbunge wa Temeke Masumbuko Lamwai alipojenga daraja la Manzese linalopita juu, Dar ilizizima kuona watu wanaweza kuvuka barabara kwa kupita juu!? Ulikuwa ni "Utalii". Lamwai hakuacha "legacy" bali "memory" maana Ubungo Interchange imeifuta. Kesho kutwa tutajenga barabara ya juu kutoka Ubungo hadi Kibaha. Hutolikumbuka Ubungo Interchange tena.
Magufuli kusimamia ujenzi wà SGR, Bwawa la Nyerere, Elimu "bure", ununuzi wa ndege nakadhalika. Yote hayo ni "memories".
Mwalimu Nyerere alipoanzisha siasa ya Ujamaa, Azimio la Arusha. Alijenga "idea" ndani ya vichwa vya Watanzania. Mwl ameacha "legacy" inayoishi. Wapo viongozi wengi duniani walioacha "legacy" kwa kuasisi "ideas" ambayo inaishi. Yesu na Mtume SAW waliacha "legacy" si "memory".
Tatizo la viongozi wetu (sitegemea SSH naye ataangukia humo) huongozwa kwa kauli mbiu zisizo na falsafa. Uwezo wao wa kuona na kufikiri ufikia ukomo na umbali wa miaka mitano hadi kumi. Ukisikia kiongozi anasema, "sitoi chakula cha bure utawala wangu subirini nitoke" huyo hana maono, hawezi kuacha legacy but memory.
Laiti tungezijengea falsafa kauli mbiu hizi kwa kuona Tanzania ya miaka 50, 100 hadi 200 tungepiga hatua kubwa. Labda Samia atakaribu lakini naye hatujui falsafa ya kauli mbiu "Kazii iendelee" .
Jakaya alikuja na Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya pamoja na Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Hakuna maono, hipita kama upepo.
Mkapa "uwazi na ukweli" ikageuka "uficho na uongo". Mwinyi "ruksa na fagio la chuma" ikawa fagio la pamba. Ni kana kwamba wanashindana kuwafukarisha wananchi wenzao.
Tunapolinganishwa na baadhi ya nchi tuliokuwa nao pamoja miaka ya 60 na leo wamepiga hatua utakuta walikuwa na visheni kali iliyojengwa na falsafa.
Kwa Marekani mfano: huwezi kuwa Raia bila kwanza kuandika kitabu au makala kadhaa kuonesha watu nini falsafa yako kasoro Donald Trump. Sisi tunaandika vitabu baada ya kustaafu isiyotusaidia kitu.
Nimeomba kuonana na Raia Samia nimuulize nini falsafa yake inisaidie kuandika kitabu ninachoandika juu yake nimefukuzwa getini na "mitulinga". Nchi ya ajabu sana.
Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Nihitimishe kwa kusema Magufuli alizaliwa Chato, akaishi, akatuongoza, akafariki, akazikwa Chato, finito! Hana "legacy' yoyote. Chapeni kazi. No Legacy any more! Karibuni!
Umenena vyema hata Kasangatumbo aliyeanzisha Chama cha DP kupingana na TANU mwaka 1964, alimfanya aishi Tabora tu. Ila akitaka kwenda nje ya Tabora alitakiwa kuomba ruksa kwa RC. Hakuna mtu alikufa kwa kupishana kauli.Legacy ambayo hatutakaa tuisahau ni Udikteta, watu kupoteza na hatujui walipo, wengine wamebaki vilema, wafanyabiashars wakubwa baadhi kuteswa na kukimbia nchi ambapo biashara zao zilifilisiwa au kufa na kusababisha ajiraa nyingi kufa. Ni mengi mno ambayo Tanzania hatukuzoea. Hata muasisi wa Taifa hili ukipingana naye sana au ukifanya kosa kubwa ilikuwa unarudishwa kijijini unaishi huko na hupotei. Kumbukeni Marehemu Tumtemeke Sanga, Mzee Jumbe n.k.
Hivyo Tanzania tuliona nchi imebadilika kuwa Kosovo. Hiyo ndiyo Legacy. Haitasahaulika kamwe.
Na Tanzania tumebarikiwa. LAANA haitakiwi. Na tukiomba huwa tunasikilizwa na Mungu. Ona hata Kimbunga Jobo tumesimama kuna watu waomba serious ikiwemo mimi. Kadri masaa yanasogea tunasikia habari njema kama zile za Mwezi wa Jana. Chini ya code.Umenena vyema hata Kasangatumbo aliyeanzisha Chama cha DP kupingana na TANU mwaka 1964, alimfanya aishi Tabora tu. Ila akitaka kwenda nje ya Tabora alitakiwa kuomba ruksa kwa RC. Hakuna mtu alikufa kwa kupishana kauli.
Mwendazake alikuwa ni LAANA
Hao akina mama waliotandika khanga ni MAPUMBAFU na wala hayakustahili kuzaliwa. Kweli angekuwa mkeo katandika khanga wakati mzoga wa DIKTETA muuaji unapita ungejisiakiaje??Na wale kinamama walioweka kanga zao njiani lilipopita gari walikuwa ni wasanii.
Punguza akili za kitoto.
Unaweza kuwataja hao Kwa majina yao mkuu!!Hawaoni haya wanaopambania legacy ya Magufuli. Tangu ilipovuma kuwa anumwa nguvu kubwa ilitumika kuuzima uvumi huo. Ilipotangazwa kafriki nguvu kubwa ilitumika kuzuia watu wasishangilie.
Wakati wa maombolezo nguvu kubwa imetumika kulazimisha watu kuomboleza. Na hata wakawekwa wasanii wa kuigiza kuzimia ili ionekane anapendw.
Sasa ujinga unendelea kulazimisha legacy.
Legacy'.... Legacy' my foot.
Kuna Watanzania wengi wapumbavu ambao walikuwa wanategemea kupata taarifa za upande mmoja wa vyombo vya habari VILIVYO DHIBITIWA ndiyo hao wanadhani amejenga sana miundombinu. Na kuna kuna wale WASUKUMA ambao hakuwabomolea nyumba kama alivyobomoa Kimara halafu kuna wale aliowapa vyeo.Kitu kinachonitisha Sana Ni kuona kuwa Watanzania wengi Sana bado Ni wajinga na hata wasomi wakubwa ,na wengi zaidi wanaukubali uongo na wamepotezwa na propaganda.
Ujinga wao Ni kwamba kwa Magufuli kujenga Madaraja,barabara,viwanja vya ndege,kununua ndege na majengo wanona hiyo ndiyo Legacy.
Hivi huwa najiuliza Maraisi waliopita hawakujenga?
Tangu Zama za Mwalimu kulikua na Wizara ya Ujenzi,je Wizara ya Ujenzi kazi yake Ni Nini?
Nchi karibu zote Zina Wizara za Ujenzi ama Wizara zinazoshughulikia Mambo ya ujenzi.
Lakini Wizara ya Ujenzi peke yake hawezi kufanya Chochote lazima kuwe na pesa kwa ajili ya Ujenzi,pesa zinatoka wapi?
Sehemu kubwa zinatokana na Kodi ambazo sisi raia wenyewe ndio tunalipa.
Sasa Magufuli au rais yoyote katika Mambo mengine lazima ajenge miundombinu.
Hata mwanangu wa miaka 12 akiwa rais Leo lazima miundombinu itajengwa,
Marekani Hadi leo wanajenga ,Urusi,China,Japan na wengine wanajenga.
Sasa sioni kwa Nini Magufuli asifiwe kwa kujenga miundombinu wakati kujenga Ni kazi ya aseeikali yoyote.
Ningemuona Ni Rais Mahili Kama angeendelea kuwaunganisha Watanzania na kuwafanya kitu kimoja,lakini kwake imekua Ni kinyume,kaleta utengano Mkubwa Sana wasukuma na wachaga wanasimangana,CHATO Ni sehemu ya Tanzania lakini watu wanaisema vibaya Haijawahi Kutokea nchini mji mmoja kusemwa Kama inavyosemwa CHATO.
Vyama vya Siasa na viongozi wao wamekua wakimbizi katika nchi yao na baadhi kukimbia nchi.
Viongozi wa Dini kukubali kumsujudia binadamu na waliokataa kusujudu waliambiwa sio raia.
Legacy gani itaachwa hapa?
Labda kwa vile mie Lugha ya Malkia haipandi vizuri labda Legacy ina maana ya kuacha kumbukumbu ya Mambo mazuri au mabaya.
Kama Ni Legacy ya Mambo mabaya Mwamba kaacha.
Kama Ni ujenzi hakuna kitu.
Sasa kafa tuone Kama miundombinu haitajengwa Tena.
Kaumiza wengi? Mapaka watu wakaanza kumtetaKuna Watanzania wengi wapumbavu ambao walikuwa wanategemea kupata taarifa za upande mmoja wa vyombo vya habari VILIVYO DHIBITIWA ndiyo hao wanadhani amejenga sana miundombinu. Na kuna kuna wale WASUKUMA ambao hakuwabomolea nyumba kama alivyobomoa Kimara halafu kuna wale aliowapa vyeo.
Ila tuachieni sisi ambao ametuvurugia biashara ya korosho, sisi aliotunyang'anya Dolla na sisi ambao amewaweka ndugu zetu rumande kwa kesi za kubandikiza TUSHEREHEKEE kufa kwa DIKTETA