Wanaomaliza vyuo vikuu kipindi hiki cha awamu ya tano mpaka nawaonea huruma. Ajira zote zimezimwa kana kwamba nchi imesimama

Wanaomaliza vyuo vikuu kipindi hiki cha awamu ya tano mpaka nawaonea huruma. Ajira zote zimezimwa kana kwamba nchi imesimama

Karanga tra wanakufilisi kwa mikodi kibao. Kwa ujumla nchi imeharibika
Uliona wap😂😂, afu kulipa Kodi n wajibu, unalalamika hakuna ajira, we unatak ukiajiliwa afu wafanyabiashara wasilipe kod utalipwa nn?, Afu sisikii mo dewj na matajr wengine wakilalamika Kodi, ss watoa tukodi ndo makeleleee😂😪
 
Kujiajiri huo siyo ujanja mkuu. Hiyo ni failure of thinking Kama ulivyosema we ni engineer na Mara nyingi ma engineer hawanaga akiri ya kufiri cause and effect ya tatizo wao wanaona sawa tu hata wakikatwa shingo. Demand your rights of being employed by the government you voted for or which stole your votes
Kwa wenye dreams za kuwa workers it's fine, but kwa wenye dreams za kuwa millionaires ndo chance ya kwenda beyond dreams, afu ebu taja nchi dunian iliyoajir wasomi wote wenye vigezo na ujitaj wa kuajiriwa 😋
 
Uliona wap😂😂, afu kulipa Kodi n wajibu, unalalamika hakuna ajira, we unatak ukiajiliwa afu wafanyabiashara wasilipe kod utalipwa nn?, Afu sisikii mo dewj na matajr wengine wakilalamika Kodi, ss watoa tukodi ndo makeleleee😂

Kwa wenye dreams za kuwa workers it's fine, but kwa wenye dreams za kuwa millionaires ndo chance ya kwenda beyond dreams, afu ebu taja nchi dunian iliyoajir wasomi wote wenye vigezo na ujitaj wa kuajiriwa 😋
During the kikwete regime all doctors and teachers were employed all of them regardless of the colleges they graduated from. Mahitaji ya madaktari na walimu ni makubwa nchini. Jpm anafunika matatizo tu. Kikwete alikomba wote huu ni mfano tu kujibu swali lako
 
Kwa wenye dreams za kuwa workers it's fine, but kwa wenye dreams za kuwa millionaires ndo chance ya kwenda beyond dreams, afu ebu taja nchi dunian iliyoajir wasomi wote wenye vigezo na ujitaj wa kuajiriwa 😋
Halafu kwa Nini serikali hii ni bingwa wa kuiga Mambo mabaya ya nchi zingine na kujustify kwamba Kama wale wamefeli Basi na sisi ngoja tufeli tu. Lakini haiigi good things Kama demokrasia na kukuza uchumi na kukuza sector binafsi ila ni mabingwa wa kujustify failures tu.
 
History haifutiki. Hii inasaidia watu wenye akili kutorudia makosa.

Kama nchi hii itakuja kuruhusu mtu kama Magu kuwa tena Rais nchi hii, nchi itakufa kabisa.

CCM wako kimya ila naamini hata wao wamejifunza.
Ukiona wanaojiita wasomi wako mtaani wanalalamika na ajira na bado hawajui wafanye nini basi na huko ccm wapo wa aina hiyo tuu.
 
Ukitaka kwenda jeshi nafasi zilikuwa kibao?? Ndio maana nikakuambia wewe ni mjinga
Vijana walioenda JKT kwa lengo la kuajiriwa jeshini na polisi si walidhibitiwa? Tatizo mnasahau mapema Sana
Thread hiyo chini, hebu pitia
Washikaji zangu 6 niliokuwa nao mtaani walipata ajira jeshini mwaka 2008 na hii ni baada ya kumaliza form four na matokeo hayakuwa mazuri

Sasa leo hii Tanzania ya jiwe unaweza kupata ajira jeshini kirahisi Ivo!? Tena ukiwa form four failure
 
Au ndo zile wanatangaza wataajiri walimu 13,000 halafu wanaajiri walimu 1000 halafu wanajaza majina ya waliopo kwenye ajira tayari na kusema wameajiri 800. Ajira zilikuwepo kipindi Cha kikwete. Sasa hivi ni siasa tu kwenda mbele na uongo wa kufa mtu
Umesomea nini? Maana una stress Sana, nahitaj kukusaidiaa
 
Kujiajiri huo siyo ujanja mkuu. Hiyo ni failure of thinking Kama ulivyosema we ni engineer na Mara nyingi ma engineer hawanaga akiri ya kufiri cause and effect ya tatizo wao wanaona sawa tu hata wakikatwa shingo. Demand your rights of being employed by the government you voted for or which stole your votes
Si Bora kajiajiri kuliko wewe unalialia humu
 
Umesomea nini? Maana una stress Sana, nahitaj kukusaidiaa
We mwenyewe hapo ulipo ni ubishi tu. Huna ajira au Kama una ajiri rafiki zako au ndugu zako wanateseka ila hutaki kukiri uozo wa serikali kwa sababu ama una ajiri ndogo au unatetea chama Chalo kinachokosa mvuto kila kukicha kinabaki kinategemea jeshi na polisi kubaki madarakani Kama bashiru alivyosema
 
Serikali kama imeshindwa kuwa ajiri watu isiwasomeshe, kumsomesha mtu usimuajiri,moja ni wastage of precious time,and second mtu huyu uliyemsomesha kama hatakua productive kwenye uchumi wetu kwa kutompa ajira, hii inaongeza economic burden katika familia na nchi yetu kwa ujumla
 
Nchi sasa hivi inajiendesha Kama haina Rais. Wafanyakazi sekta zote wengine wanastaafu na wengine wanakufa kila siku lakini jamaa hataki kabisa Wala kusikia kuhusu ajira. Yuko radhi wote mfe ilimradi barabara zijengwe.

Elimu sasa hivi haina value tena Kama kipindi cha JK ambapo kuna vipaumbele vya ajira mpaka wazazi walikuwa wanajivunia kuwasomesha watoto maana ukimaliza tu ajira ipo mkono lakini sasa hivi ukimaliza msisitizo unaotolewa na JPM na viongozi wengine ni kujiajiri hawatwambii kama nchi imeahafilisika haiwezi kuajiri tena.

Kila kitu kimekuwa kugumu hata ukijaribu kuanza kufungua genge TRA wanamwagika unafirisiwa within no time. Uliamua kwenda kulima mazo ya biashara hakuna soko yote serikali imeyavuruga kwa uongozi huuvmbovu kuwahi kutokea.

Vijana salini Sana ndo kilichobakia ili mungu ampende zaidi.
Acha Uongo....unasema wakati wa awamu iliyooita ajira zilikuwa nje nje???sema kazi za kujiajiri zilikuwepo walau kuliko sasa....Wakti ule walau mzunguko wa hela za bure bure na mission Town zilikuwepo,,sasa hv hakuna hela za burebure
 
Nilikuwa nimeandaa bonge la tusi, Ila nakustahi.
Ikawaje mkawa mnashangilia huyo jk kuondoka na kumtukana matusi yote ikiwa kafanya hayo mazuri?
Tafuta comment yako humu ukimtukana ulinganishe na leo unavyomsifia, alafu sema "Mimi ni mjinga"
Acha upumbavu ww kwann unanisemea maneno mdomon, hapo kwny huo uzi umeona comment yangu ata moja ya kumtukana jk??
 
Halafu kwa Nini serikali hii ni bingwa wa kuiga Mambo mabaya ya nchi zingine na kujustify kwamba Kama wale wamefeli Basi na sisi ngoja tufeli tu. Lakini haiigi good things Kama demokrasia na kukuza uchumi na kukuza sector binafsi ila ni mabingwa wa kujustify failures tu.
About democracy, kila nchi ina democracy yake, kwa sababu tuna utamaduni tofaut, assume bint ako mwenye 15yrs old aje na boyfriend kumtambulisha kwako, Kama unaona it's okay bas democracy yetu inabid ifanane na ya whites, Kama unaona haifai bas ndo na ss Africa tuna limitations zetu kwenye democracy
 
About democracy, kila nchi ina democracy yake, kwa sababu tuna utamaduni tofaut, assume bint ako mwenye 15yrs old aje na boyfriend kumtambulisha kwako, Kama unaona it's okay bas democracy yetu inabid ifanane na ya whites, Kama unaona haifai bas ndo na ss Africa tuna limitations zetu kwenye democracy
Demokrasia gani ya kuchapana risasi hadharani na kuiba kura mchana kweupe na kuzima internet ili iwe rahisi kuiba
 
Back
Top Bottom