Wanaomiliki Toyota Starlet wanaonekana vituko wakiwa mjini na Vigari vyao

Wanaomiliki Toyota Starlet wanaonekana vituko wakiwa mjini na Vigari vyao

Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.

Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.

Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.

Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879
Watu kama nyie ndo mnaosababishaga waafrika tuitwe nyani kutokana na mawazo yenu na mambo yenu ya kishamba ,hivi unaipata wapi nguvu ya kusema eti gari fulani haifai kutumika town na kama utaitumia eti utaonekana kituko,Yani unaongea utafikiri kama ni car expert kutoka Toyota kumbe hujui lolote Kwa taarifa Yako ukiona gari ya Toyota imeuzwa sana hadi ulaya basi hio ni gari,na Toyota starlet ni mojawapo ya gari za Toyota ambazo zimenunuliwa sana ulaya tofauti na hizo ist zilizojazana huko unapopaita town,halafu unaonekana bila shaka magari umeyaanza kuyajua juzi,si Kila umwonae anasukuma starlet ukadhani ni chokambaya aisee Yan ni big no ,mfano gari zipo za kutosha tu lakini starlet ni gari pendwa Yan tangu 2003 ni kama family legacy ndo maana tunakatunza.
 
Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.

Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.

Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.

Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879
Nijuavyo mimi;

1. Wengi wanaowasema wenye magari madogo (VITZ, IST, STARLET etc). Wao huwa hawana magari. Huwezi mkuta mtu ana V8 au range au benzi ya kisasa eti anamsema mwenye IST.

2. Wengi wasio na magari,ndo wanaongoza kuweka matuta mitaani au magogo ya minazi. Huwezi mkuta mtu na range yake, eti anaweka mnazi barabarani

3. Wasio na magari wengi wao ndo wenye kauli za YA MKOPO HIYO..!! Wenye magari tajwa hapo juu, hawana kauli kama hzi kwa wenye magari madogo

4. Wengi wa wasio na magari, ukiishiwa mafuta njiani, utawasikia, UZA GARI KANUNUE MAFUTA..!!

KIFUPI, WASIO NA MAGARI WANA WIVU MKUBWA SANA WAKIONA MTU ANAMILIKI GARI
 
Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.

Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.

Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.

Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879
Nakufananisha na dogo mmoja hivi...akiwa chuo alikuwa anapondea baadhi ya kazi na DIGRII yake....sasa hivi yupo zake kijijini mjini pamemshinda anatafuta dili yoyote tu
 
Mungu katuumba na fikra tofauti, mimi na wakati tunsona ni aibu staent kuna watu hawaoni hilo, ilimradi mambo yake yananyooka.
.
.Kuna mtu ninaejua anamiliki stanlet, huku akiwa anamiliki miradi inayompa kula mjini, ana daladala tatu, na ana nyumba za kupangisha, alafu ana mradi wa maeneo sehemu zilijengeka, anajenga nyumba ana piga bei.
.
.Ana nyumba yake ya kuishi mzuri kabisa, ila bahati mbaya kwake, anatembelea stanlet kukamilisha mishe zake.
 
Mungu katuumba na fikra tofauti, mimi na wakati tunsona ni aibu staent kuna watu hawaoni hilo, ilimradi mambo yake yananyooka.
.
.Kuna mtu ninaejua anamiliki stanlet, huku akiwa anamiliki miradi inayompa kula mjini, ana daladala tatu, na ana nyumba za kupangisha, alafu ana mradi wa maeneo sehemu zilijengeka, anajenga nyumba ana piga bei.
.
.Ana nyumba yake ya kuishi mzuri kabisa, ila bahati mbaya kwake, anatembelea stanlet kukamilisha mishe zake.
Gari inaweza ikawa ni hobby kwakweli ila kwa mwingine ikaone vituko
 
Ngoja aje Mpwayungu Village
7f0d5acbc5cf4300a2e2577a120af3ed.jpg
 
Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.

Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.

Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.

Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879
Bora utembee Kwa miguu?
 
Hii ni forum ya great thinkers kweli? Inafaa kuanza kuwachuja wanao jaza server na kumaliza oxygen kwa kuleta mada zisizo na maana.
 
Nijuavyo mimi;

1. Wengi wanaowasema wenye magari madogo (VITZ, IST, STARLET etc). Wao huwa hawana magari. Huwezi mkuta mtu ana V8 au range au benzi ya kisasa eti anamsema mwenye IST.

2. Wengi wasio na magari,ndo wanaongoza kuweka matuta mitaani au magogo ya minazi. Huwezi mkuta mtu na range yake, eti anaweka mnazi barabarani

3. Wasio na magari wengi wao ndo wenye kauli za YA MKOPO HIYO..!! Wenye magari tajwa hapo juu, hawana kauli kama hzi kwa wenye magari madogo

4. Wengi wa wasio na magari, ukiishiwa mafuta njiani, utawasikia, UZA GARI KANUNUE MAFUTA..!!

KIFUPI, WASIO NA MAGARI WANA WIVU MKUBWA SANA WAKIONA MTU ANAMILIKI GARI
Siwezi kumuonea wivu mtu anayemiliki starlet bali nitamuona kituko wanaendesha je gari la namna hile halafu mjini na unavimba kabisa[emoji23] Asa wewe unatofauti gani na bajaji
 
Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.

Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.

Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.

Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879
Tulia wewe kwanza umekula?
Watu wamegonga sana bata na hivyo vitorori utakua ulikua kwenu unagombea ukoko na watoto wa mjomba.
Endelea kusubiri vieiti,
Hako katoroli mwanza poa tu unafika kwa mafuta buku 20 tu.
 
Back
Top Bottom