Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
- Thread starter
- #61
Hakuna anayekosoa hela ya nauli labda mtu mwenyewe apende kwenda sehemu flani kama huna nauli hujalazimishwa kutokaKuna kutembea Kwa miguu Kwa maana ya zoezi na kutembea Kwa miguu kukosa nauli au gari, hii ya kukosa gari au nauli sio zoezi Bali ni adhabu
Kwani anayekosa nauli na mwenye gari anayekosa mafuta wanatofauti gani