Wanaomiliki Toyota Starlet wanaonekana vituko wakiwa mjini na Vigari vyao

Ni kweki ni ka ajabu, lakini wewe usiye na gari na yeye kati yenu wawili nani anayepata shida?
Jamaa anawahi mishe zake, kama mvua hanyeshewi kituoni, kama shida ya usafiri bado anapeta.
Maisha ni kupanga mkuu. Ukikaa usubiri kumiliki V8 wakati huna uwezo nayo utapata tabu sana
 
Wa kulaumiwa ni wazazi wanao Fuga mijitu mizima majumbani mwao ambayo haiwazi hata kesho ikishavimbiwa basi ishasahau Kila kitu
 

Nikuelimishe tu kuwa;
Kazi ya msingi ya gari binafsi ni kukutoa point A hadi Point B kwa haraka na wakati unaouhitaji lakini pia kwa gharama inayoendana na kipato chako. Hiyo gari mahala unachajiwa boda shs 20,000 yeye ataweka mafuta ya shs 7000 aende tena kwa raha zake. Wewe endelea kupuyanga, kupanga ni kuchagua!
 
Nimegundua jambo kwa hii comment yako, huyajui magari ama ni mtoto wa mama sana huelewi chochote kuhusu maisha!!! Jifunze kwanza kuhusu magari ndipo utajua hoja uliyotoa ina utoto kiasi gani!!
 
Unatumia nguvu kubwa sana kutujaza iyo mitazamo yako ya kipuuzi tukuone uko correct,yaan huna hata baskel halafu unasema voltz sio gari? Ni Bora ungekaa kimya ufiche ujinga wako, learn how to respect other people's choice!
 

Wisdom can guide knowledge 😁😁😁

Knowledge without wisdom is uselessness..
 
Hivyo vigari bora viwe vigari vya delivery, hususan kwa vijana wafanya biashara nchini. Nafkiri wazo zuri kagari kakirembwa na kupendezeshwa kwa rangi, stickers, brandname ya biashara na contacts.

Vijana mfanye hivyo.
 
Hivyo vigari bora viwe vigari vya delivery, hususan kwa vijana wafanya biashara nchini. Nafkiri wazo zuri kagari kakirembwa na kupendezeshwa kwa rangi, stickers, brandname ya biashara na contacts.

Vijana mfanye hivyo.
Umeongea point sana. Hivi ni bora wavipake rangi za matangazo then wafanyie delivery kusafirishia bidhaa kutangaza biashara nk vinavafaa sana
 
Mshamba tu huyu boya! Tatizo la kuja mjini ukubwani! Kuna group moja linaitwa Toyota starlet in UK humo utakutana na watu wanapesa za bajeti ya nchi zetu za kiafrica na wanaendesha starlet! Kwaiyo anataka kusema yeye ana akili kuliko wao? This guy has to learn how to respect other person's choices
 
Mtoa mada punguza makasiriko!
Inaonekana upo kwa daladala na umeshikiria bomba halafu kuna foleni, ukitupa jicho pembeni unaona watu na vigari vyao wametulia😁 basi unasonya kwa hasira! Enjoy the life u have!😉
 
Starlet ni gari Kali ndo maana hadi Leo gharama yake ya kununua Kwa Japan ipo juu tofauti na gari ndogo zingine kama ractis,sienta,ist,runx,Alex,porte na funcargo,
Wajapan wanaelewa kama ni chuma kile ndo maana hawataki kushusha price na pia ukiona wanatumia muda mrefu Toyota kutoa new model ya gari husika ujue basi huwa hiyo gari ni reliable,hebu cheki Ile new model ya 2020 ya Toyota starlet,bongo hapa nimeiona mara moja tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…