Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
We wa daladala umseme wa starlet..!!! Ajabu.Siwezi kumuonea wivu mtu anayemiliki starlet bali nitamuona kituko wanaendesha je gari la namna hile halafu mjini na unavimba kabisa[emoji23] Asa wewe unatofauti gani na bajaji
Ni kweki ni ka ajabu, lakini wewe usiye na gari na yeye kati yenu wawili nani anayepata shida?Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.
Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.
Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.
Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879
Wa kulaumiwa ni wazazi wanao Fuga mijitu mizima majumbani mwao ambayo haiwazi hata kesho ikishavimbiwa basi ishasahau Kila kituMume WA mtu mtarajiwa huyo.... Anongea hizo shiiit kama wakike
Wakati naolewa nilimkuta mume wangu ana Corolla ya zamani....
8 yrs ago....mpaka Leo nakuona mwanaume maana kitu kilikua akina hata ac.....lakin alikua anapambana.....nilibadili mentality from there....chako ni chako.....at least sikupanda madaladala......na ilikua yetu .....period
Mjini wapi? Mji unanuka, mji umejaa kunguni, watu ngozi Zina ukurutu, watu hawali wakashiba, joto kama tanuru la motoHiki kinafaa huko maeneo ya bush na sio mjini. Hiki ukiwa nacho mjini utatia aibu tu[emoji23]
Kama nguo tu. Mavazi ya koffi Olomide, wewe huwezi vaa..!!Gari inaweza ikawa ni hobby kwakweli ila kwa mwingine ikaone vituko
Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.
Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.
Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.
Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879
Nimegundua jambo kwa hii comment yako, huyajui magari ama ni mtoto wa mama sana huelewi chochote kuhusu maisha!!! Jifunze kwanza kuhusu magari ndipo utajua hoja uliyotoa ina utoto kiasi gani!!Hivi hicho Kigari ukiwa nacho safarini na ile mikimiki ya kuovertake malori huwa mnajisikiaje. Unaweza kumuona malaika Israel huyu hapa.
Wala mimi sina mpango wa kumiliki V8 ntaendelea kupanda daladala maisha yangu yote mpaka pale nitakapoongeza bajeti yangu nivute angalau chuma cha mjerumani na sio kuharakisha kumiliki gari vya bei rahisi mwishowe nionekane kituko
Ndiyo tofauti niliyo ieleza kule juu, wewe unataka uendeshe gari kuwaonyesha watu una gari mzuri, mwingine.Gari inaweza kuwa ni hobby kwakweli ila kwa mwingine ikaone vituko
Unatumia nguvu kubwa sana kutujaza iyo mitazamo yako ya kipuuzi tukuone uko correct,yaan huna hata baskel halafu unasema voltz sio gari? Ni Bora ungekaa kimya ufiche ujinga wako, learn how to respect other people's choice!Voltz nayo ni gari?. Ukiendesha unatofauti na dereva wa bajaji, nyie ndio mnaotujazia foleni barabarani siziso na sababu maalum maana Vigari vyenu vimejaa sa road na kujipitisha barabarani.
Utanunuaje gari halafu kipato chako ni kidogo? Mnalazimisha kumiliki gari matokeo yake mnanunua vigari mkiiendesha mnaonekana vituko ni heri kupanda daladala huku mtachanganyikana na kila mtu mwenye kipato tofauti tofauti.
Mimi similiki gari lakini kuna Vigari ukivimiliki unaonekana kituko hasa huku maeneo ya mjini.
Sipo apa kuleta Kashfa ama kukejeli wanaomiliki aya magari ila inabidi niwaambie ukweli ukimiliki starlet unaonekana kituko.
Unakuta jitu lina mwili mkubwa linaendesha starlet halafu vioo kashusha maana hakina Ac, mwili wote unajaa kwenye gari yaani ni vituko halafu unakuta mtu kama huyu anajiamini kumiliki gari Aisee mimi bora niendelee kutembea kwa mguu lakini sio kumiliki hili gari la starlet na aina nyingine za baby Walker.
Kwa leo ngoja niishie apa, nitarudi pindi Mungu akinipa Kibari cha kumiliki gari.View attachment 2743879
Wisdom can guide knowledge 😁😁😁Mimi nina Toyota Voltz.
Mtu ambaye hamiliki hata baiskeli, anapata wapi ujasiri wa kuponda aina fulani ya gari?
Ulishawahi kumiliki Bajaj na Starlet hadi ukaona Bajaj ni bora kuliko Starlet? Illogical comparison.
Maliza shule kwanza. Ukishaanza ku hustle utaelewa tu kwamba kuna magari yanayolingana na kipato cha mtu.
Anayevimba kwenye Starlet aliyonunua kwa jasho lake si sawa na wewe uliye nyuma ya keyboard na kuipondea huku ukitoka hapo unagombea daladala tena kwa nafasi tu ya kushika bomba.
Maturity comes with wisdom
Umeongea point sana. Hivi ni bora wavipake rangi za matangazo then wafanyie delivery kusafirishia bidhaa kutangaza biashara nk vinavafaa sanaHivyo vigari bora viwe vigari vya delivery, hususan kwa vijana wafanya biashara nchini. Nafkiri wazo zuri kagari kakirembwa na kupendezeshwa kwa rangi, stickers, brandname ya biashara na contacts.
Vijana mfanye hivyo.
Mshamba tu huyu boya! Tatizo la kuja mjini ukubwani! Kuna group moja linaitwa Toyota starlet in UK humo utakutana na watu wanapesa za bajeti ya nchi zetu za kiafrica na wanaendesha starlet! Kwaiyo anataka kusema yeye ana akili kuliko wao? This guy has to learn how to respect other person's choicesWatu kama nyie ndo mnaosababishaga waafrika tuitwe nyani kutokana na mawazo yenu na mambo yenu ya kishamba ,hivi unaipata wapi nguvu ya kusema eti gari fulani haifai kutumika town na kama utaitumia eti utaonekana kituko,Yani unaongea utafikiri kama ni car expert kutoka Toyota kumbe hujui lolote Kwa taarifa Yako ukiona gari ya Toyota imeuzwa sana hadi ulaya basi hio ni gari,na Toyota starlet ni mojawapo ya gari za Toyota ambazo zimenunuliwa sana ulaya tofauti na hizo ist zilizojazana huko unapopaita town,halafu unaonekana bila shaka magari umeyaanza kuyajua juzi,si Kila umwonae anasukuma starlet ukadhani ni chokambaya aisee Yan ni big no ,mfano gari zipo za kutosha tu lakini starlet ni gari pendwa Yan tangu 2003 ni kama family legacy ndo maana tunakatunza.
SANA! kuna microfinance co. moja inaitwa OYA ipo Mikocheni.... gari zao Za kazi ni IST. Ziko branded kabisaUmeongea point sana. Hivi ni bora wavipake rangi za matangazo then wafanyie delivery kusafirishia bidhaa kutangaza biashara nk vinavafaa sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣We wa daladala umseme wa starlet..!!! Ajabu.
Starlet ni gari Kali ndo maana hadi Leo gharama yake ya kununua Kwa Japan ipo juu tofauti na gari ndogo zingine kama ractis,sienta,ist,runx,Alex,porte na funcargo,Mshamba tu huyu boya! Tatizo la kuja mjini ukubwani! Kuna group moja linaitwa Toyota starlet in UK humo utakutana na watu wanapesa za bajeti ya nchi zetu za kiafrica na wanaendesha starlet! Kwaiyo anataka kusema yeye ana akili kuliko wao? This guy has to learn how to respect other person's choices
Hizo ni toyota au ni zile za European cars?Ukipata ile Glanza gari zingine zote utaziona ni takataka,kamekaa kiunyama zaidi,na ni kinapimpika balaa
Nazionaga sana roadSANA! kuna microfinance co. moja inaitwa OYA ipo Mikocheni.... gari zao Za kazi ni IST. Ziko branded kabisa