Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Tanzania ina matatizo mengi, na Samia anastahili lawama kwa baadhi ya matatizo yanayoikabiki Tanzania kwa sasa kama hili la mgao wa umeme n.k
Lakini kama wewe unaamini kama mimi kuwa maendeleo ya watu yanapaswa kuendana na uhuru, umoja na mshikamano wa taifa yafaa tukumbuke tulikotoka na ku appreciate machache Samia aliyoyafanya, na sio kumdhihaki kila siku kwa vigezo vya asili yake, jinsia au kutweza heshima yake
Ama tutakuja kumkumbuka sana siku amestaafu na Mwigulu Nchemba (Savimbi) ama Daudi Albert Badhite ndio rais wa nchi hii
Eddo Kumwembe ni kati ya watu wachache ambao genuinely wana appreciate machache aliyoyafanya Samia ambayo hatuna uhakika kama tutaendelea kuwa nayo siku akiondoka madarakani
Lakini kama wewe unaamini kama mimi kuwa maendeleo ya watu yanapaswa kuendana na uhuru, umoja na mshikamano wa taifa yafaa tukumbuke tulikotoka na ku appreciate machache Samia aliyoyafanya, na sio kumdhihaki kila siku kwa vigezo vya asili yake, jinsia au kutweza heshima yake
Ama tutakuja kumkumbuka sana siku amestaafu na Mwigulu Nchemba (Savimbi) ama Daudi Albert Badhite ndio rais wa nchi hii
Eddo Kumwembe ni kati ya watu wachache ambao genuinely wana appreciate machache aliyoyafanya Samia ambayo hatuna uhakika kama tutaendelea kuwa nayo siku akiondoka madarakani