Wanaoomba kulipiwa mahari Al Hikma wafika 1,000, wapo wanawake, wanatakiwa 50 tu

Wanaoomba kulipiwa mahari Al Hikma wafika 1,000, wapo wanawake, wanatakiwa 50 tu

Mkaja wa bibi wanatoa?

Inawezekana wao wana watu wao wa kwenda kwa wazazi wa binti kubageini. Ktk hali ya kawaida itabidi wazazi/walezi wakubali maana watabigwa aya na khadithi mpaka mtu ataona aibu,atashusha 'bei'
Wewe usiwe mshamba bhana
 
Alitangaza 50 tu wamejitokeza zaidi, kama huyu sheikh ana imani ya Mungu anatakiwa awalipie mahari wote waliojitokeza. Usaili wa nini kwenye mambo ya imani?
Atoe kwa watu 1000 huo uwezo umejuaje anao. Mpaka wanataja watu 50 wanajua walichotangaza, na kuhusu usaili hiyo ni hela yao lazima wajue inaenda wapi. Sio vichaa wanafyatuka huko wanataka hela ya kuvutia bangi.

Kwanza kwa sheria zao dowry inaweza kuwa kidogo sana sasa sijui kwanini hao wakaombe kulipiwa. Kama huwezi toa pesa kidogo vipi mke akipata changamoto ya ghafla ya uzazi, michango tena
 
Hiki Ni Kipindi Cha Utakatishaji Fedha Chafu Kwa Namna Mbalimbali
Biashara Aina Zote, Kilimo Aina Zote Wananchi Wao Wanajua Juhudi Za Mtu Kumbe Pesa Chafu
 
Siku chache baada ya Taasisi ya Al Hikma kutangaza uamuzi wa kuwalipia mahari vijana 50 ili waoe, zaidi ya vijana 1,000 wametuma maombi wakiwamo wanawake watatu wanaowaombea wachumba zao.
Mkurugenzi wa taasisi hiyo

Shehe Nurdin Kishki amesema Dar es Salaam jana kuwa saa chache baada ya kutangazwa kwa ofa hivo taasisi hiyo ilianza kupokea maombi.

"Tulipotangaza tu siku ile ya Aprili 9 pale Uwanja wa Uhuru tulianza kupokea simu, kwenye kurasa zetu za kijami, barua pepe maombi ya vijana zaidi ya 1,000 wanaoomba kuozeshwa," alisema Shehe Kishki.

Alisema dirisha la kuchukua fomu za maombi limefunguliwa jana hadi Mei 5 mwaka huu na watakaochaguliwa baada ya kufungishwa ndoa pia watapatiwa semina ya ndoa ndipo watakabidhiwa wake zao.

"Hatutaki ndoa hizi ziishie baada ya fungate kwenye talaka. Ndio maana hatutaki vijana wa kukurupuka tu baada ya kusikia tangazo hili, tumelenga wale wenye nia na shida kweli ya mahari. Tunaamini talaka za vijana zikiongezeka ndio na mmomonyoko wa maadili unaongezeka," alisema Shehe Kishki.

Alisema baada ya taratibu zamaombi na mchujo kukamilika ndoa hizo zinatarajiwa kufanyika baada ya miezi mitatu hadi minne kuanzia sasa.

Ametangaza masharti manane kwa waombaji ili kupata sifa ya kulipiwa mahari na kuozeshwa ikiwemo waombaji kuwa tayari wa-metoa posa na kupangiwa mahari.

Alitaja masharti ya vijana wanaotaka kuingizwa kwenye programu hiyo kuwa ni lazima kijana mwombaji awe Muislamu kwa kuwa ndoa hizo zitafungwa na kusimamiwa na Shehe Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar Zuberi Bin Ally.

Aidha, alisema sharti lingine ni lazima kijana mwombaji asiwe na mke, awe amejaza fomu maalumu ya maombi, lazima afanyiwe usaili, awe tayari kufunga ndoa ya pamoja Dar es Salaam, awe Mtanzania na lazima athibitishwe na imamu wa eneo lake.

"Hivi ninavyoongea tayari tumeshapokea maombi kutoka nje ya nchi wakiomba kuozeshwa akiwemo kijana Mtanzania anayeishi Misri. Lakini sisi tumewalenga vijana wa hapa nchini na lazima wakidhi vigezo hapo ili fedha isitumike kwa watu wasio na uhitaji," alisema Shehe Kishki na kuongeza:

"Tutalipa mahari, ukumbi, chakula, vifaa vidogo vidogo vya hapa nchini na lazima wakidhi vigezo hapo ili fedha isitumike kwa watu wasio na uhitaji," alisema Shehe Kishki na kuongeza:

"Tutalipa mahari, ukumbi, chakula, vifaa vidogo vidogo vya chumbani na bwana harusi atapewa kadi 20,10 kutoka upande wake na 10 upande wa mkewe kuja kushuhudia ndoa yake hiyo.
Amlipaye mpiga zumari ndie mchagua wimbo.

Kimantiki hapo iko hivi huyo alielipia ndio mmiliki wa haswa wa hiyo mali bali wewe ni mlinzi, so hapo mke ni wa yule alietoa pesa yake mfukoni.

Kama huwezi tafuta mahali ya kuolea je, utaweza kumtumza huyo mke ama unawaolea wahuni?

Kama kijana huwezi pata mahali ya kumlipia mkeo basi wewe ndo umeolewa.

Kijana wa kiume ni kujidhalilisha kushindwa kupata mahali, pambana pata hata robo ya mahali lakini sio kupewa mke bure.

Baada yankupewa mke bure kumbuka:
1. Kumlisha
2. Kumvisha
3.Malazi
3. Huduma za kiafya
5.Huduma za watoto, nk

Ushuri wangu mwambie huyo Kishki awapatie vijana mitaji mfanye biashara mkue kiuchumi mjitafutie mahali muoe wanawake wa ndoto zenu kwa oesa yenu.

Usiwape samaki bali Wape nyavu wakavue samaki kwa akili zao
 
Siku chache baada ya Taasisi ya Al Hikma kutangaza uamuzi wa kuwalipia mahari vijana 50 ili waoe, zaidi ya vijana 1,000 wametuma maombi wakiwamo wanawake watatu wanaowaombea wachumba zao.
Mkurugenzi wa taasisi hiyo

Shehe Nurdin Kishki amesema Dar es Salaam jana kuwa saa chache baada ya kutangazwa kwa ofa hivo taasisi hiyo ilianza kupokea maombi.

"Tulipotangaza tu siku ile ya Aprili 9 pale Uwanja wa Uhuru tulianza kupokea simu, kwenye kurasa zetu za kijami, barua pepe maombi ya vijana zaidi ya 1,000 wanaoomba kuozeshwa," alisema Shehe Kishki.

Alisema dirisha la kuchukua fomu za maombi limefunguliwa jana hadi Mei 5 mwaka huu na watakaochaguliwa baada ya kufungishwa ndoa pia watapatiwa semina ya ndoa ndipo watakabidhiwa wake zao.

"Hatutaki ndoa hizi ziishie baada ya fungate kwenye talaka. Ndio maana hatutaki vijana wa kukurupuka tu baada ya kusikia tangazo hili, tumelenga wale wenye nia na shida kweli ya mahari. Tunaamini talaka za vijana zikiongezeka ndio na mmomonyoko wa maadili unaongezeka," alisema Shehe Kishki.

Alisema baada ya taratibu zamaombi na mchujo kukamilika ndoa hizo zinatarajiwa kufanyika baada ya miezi mitatu hadi minne kuanzia sasa.

Ametangaza masharti manane kwa waombaji ili kupata sifa ya kulipiwa mahari na kuozeshwa ikiwemo waombaji kuwa tayari wa-metoa posa na kupangiwa mahari.

Alitaja masharti ya vijana wanaotaka kuingizwa kwenye programu hiyo kuwa ni lazima kijana mwombaji awe Muislamu kwa kuwa ndoa hizo zitafungwa na kusimamiwa na Shehe Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar Zuberi Bin Ally.

Aidha, alisema sharti lingine ni lazima kijana mwombaji asiwe na mke, awe amejaza fomu maalumu ya maombi, lazima afanyiwe usaili, awe tayari kufunga ndoa ya pamoja Dar es Salaam, awe Mtanzania na lazima athibitishwe na imamu wa eneo lake.

"Hivi ninavyoongea tayari tumeshapokea maombi kutoka nje ya nchi wakiomba kuozeshwa akiwemo kijana Mtanzania anayeishi Misri. Lakini sisi tumewalenga vijana wa hapa nchini na lazima wakidhi vigezo hapo ili fedha isitumike kwa watu wasio na uhitaji," alisema Shehe Kishki na kuongeza:

"Tutalipa mahari, ukumbi, chakula, vifaa vidogo vidogo vya hapa nchini na lazima wakidhi vigezo hapo ili fedha isitumike kwa watu wasio na uhitaji," alisema Shehe Kishki na kuongeza:

"Tutalipa mahari, ukumbi, chakula, vifaa vidogo vidogo vya chumbani na bwana harusi atapewa kadi 20,10 kutoka upande wake na 10 upande wa mkewe kuja kushuhudia ndoa yake hiyo.
Laah!
 
Wanatafutiana majanga tu

Wakishafunga ndoa,kwenye maisha
Wakuzinguana....mwanamke anambwambia mwanaume,we nini kwanza mahari yenyewe ulilipiwa!

Ova
 
Mahari ni razima unataka ubebe mtoto wa watu bure kwani umemzaa weye.
Una huyu naye,kwani mwnaume alijizaa!? Mahali ni utamaduni wa kipuuzi inabidi upingwe na kila mpenda haki,ndo maana nasaport watu wanaokataa kuoa
 
Siku chache baada ya Taasisi ya Al Hikma kutangaza uamuzi wa kuwalipia mahari vijana 50 ili waoe, zaidi ya vijana 1,000 wametuma maombi wakiwamo wanawake watatu wanaowaombea wachumba zao.
Mkurugenzi wa taasisi hiyo

Shehe Nurdin Kishki amesema Dar es Salaam jana kuwa saa chache baada ya kutangazwa kwa ofa hivo taasisi hiyo ilianza kupokea maombi.

"Tulipotangaza tu siku ile ya Aprili 9 pale Uwanja wa Uhuru tulianza kupokea simu, kwenye kurasa zetu za kijami, barua pepe maombi ya vijana zaidi ya 1,000 wanaoomba kuozeshwa," alisema Shehe Kishki.

Alisema dirisha la kuchukua fomu za maombi limefunguliwa jana hadi Mei 5 mwaka huu na watakaochaguliwa baada ya kufungishwa ndoa pia watapatiwa semina ya ndoa ndipo watakabidhiwa wake zao.

"Hatutaki ndoa hizi ziishie baada ya fungate kwenye talaka. Ndio maana hatutaki vijana wa kukurupuka tu baada ya kusikia tangazo hili, tumelenga wale wenye nia na shida kweli ya mahari. Tunaamini talaka za vijana zikiongezeka ndio na mmomonyoko wa maadili unaongezeka," alisema Shehe Kishki.

Alisema baada ya taratibu zamaombi na mchujo kukamilika ndoa hizo zinatarajiwa kufanyika baada ya miezi mitatu hadi minne kuanzia sasa.

Ametangaza masharti manane kwa waombaji ili kupata sifa ya kulipiwa mahari na kuozeshwa ikiwemo waombaji kuwa tayari wa-metoa posa na kupangiwa mahari.

Alitaja masharti ya vijana wanaotaka kuingizwa kwenye programu hiyo kuwa ni lazima kijana mwombaji awe Muislamu kwa kuwa ndoa hizo zitafungwa na kusimamiwa na Shehe Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar Zuberi Bin Ally.

Aidha, alisema sharti lingine ni lazima kijana mwombaji asiwe na mke, awe amejaza fomu maalumu ya maombi, lazima afanyiwe usaili, awe tayari kufunga ndoa ya pamoja Dar es Salaam, awe Mtanzania na lazima athibitishwe na imamu wa eneo lake.

"Hivi ninavyoongea tayari tumeshapokea maombi kutoka nje ya nchi wakiomba kuozeshwa akiwemo kijana Mtanzania anayeishi Misri. Lakini sisi tumewalenga vijana wa hapa nchini na lazima wakidhi vigezo hapo ili fedha isitumike kwa watu wasio na uhitaji," alisema Shehe Kishki na kuongeza:

"Tutalipa mahari, ukumbi, chakula, vifaa vidogo vidogo vya hapa nchini na lazima wakidhi vigezo hapo ili fedha isitumike kwa watu wasio na uhitaji," alisema Shehe Kishki na kuongeza:

"Tutalipa mahari, ukumbi, chakula, vifaa vidogo vidogo vya chumbani na bwana harusi atapewa kadi 20,10 kutoka upande wake na 10 upande wa mkewe kuja kushuhudia ndoa yake hiyo.
 
Back
Top Bottom