Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
makaveli10 vipi nawe umetuma mzee mwenzangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamwita dume suruali, hata mahari ilikushinda,Wanatafutiana majanga tu
Wakishafunga ndoa,kwenye maisha
Wakuzinguana....mwanamke anambwambia mwanaume,we nini kwanza mahari yenyewe ulilipiwa!
Ova
Baada ya ndoa kufungwa, na baada ya miezi sita kupita, katika ndoa 50 zitakazo kuwa salama ni ndoa 10 pekee, nazo baada ya miaka miwili kutakuwa hakuna ndoa,
Why:
Nafsi ya muoaji ya dhati na upendo wa dhati huwa haifungwi na mahari.
Strong logical point!kijana mwenye akili timamu hataenda kutafuta aibu ya kujitakia kulipiwa mahari
Elf 20 nimezinyaka za chinichiniHiyo mahar sh ngapi
Huoni wametangaza na vitu vingine kwenye habari kama semina ya ndoa au umekurupikia mada ?Kwahiyo kuoa ni mahari tu..
Huna akili , kuna watu wanalipiwa ufadhili wa masomo na watu au serikali vyuoni mtu anaomba kwenye pesa ya mkopo alipiwe angalau ada ili aweze kusoma .kijana mwenye akili timamu hataenda kutafuta aibu ya kujitakia kulipiwa mahari
Kuna watu hawana akili wana mentality za kuombea watu mabaya na kupenda wanzao wafeli tu ,kama una moyo safi na hauna maradhi kama hayo basi una kitu kikubwa sana moyoni kwako.Haitakuwa hivyo, tuwaombee mema.Amiin🙏
Mtu ambaye akili zake muda wote zinawaza betting kama wewe lazima awe wa hovyo kama ulivyo .Hawa wazinzi bana
Nikusahihishe mahari haihusiani na wazazi , Ni ya binti anayeolewa.Mahari ni razima unataka ubebe mtoto wa watu bure kwani umemzaa weye.
Na ikawe kheri kwao...Haitakuwa hivyo, tuwaombee mema.Amiin🙏
Inshallah..Mpaka kujiweka hadharani hivi, hawa watakuwa na nia ya dhati, tuwatakie yaliyo Kheri na wadumu, changamoto hazikosekani!
Kindness na ukarimu, issue zinazofanana na wito wa ndani na upenzi wa dhati wa jambo husika, mfano, ualimu, uwe na utashi kwanza ndipo uusomee!, semina kwa mtu ambaye hana utashi ispokuwa tu wakati umemlazimu kufanya ndoa, patakuwa na shida.Huoni wametangaza na vitu vingine kwenye habari kama semina ya ndoa au umekurupikia mada ?
Huna akili na itakuwa ajabu kichwa kama chako kuwa na familia inayokutegemea,anza na serikali kwa nini inatoa mkopo vyuoni na kwa vijana wachache ikiwa waombaji ni wengi kwa nini wasitoe kwa wote ?Alitangaza 50 tu wamejitokeza zaidi, kama huyu sheikh ana imani ya Mungu anatakiwa awalipie mahari wote waliojitokeza. Usaili wa nini kwenye mambo ya imani?
Wewe ulitakaje ?Kindness na ukarimu, issue zinazofanana na wito wa ndani na upenzi wa dhati wa jambo husika, mfano, ualimu, uwe na utashi kwanza ndipo uusomee!, semina kwa mtu ambaye hana utashi ispokuwa tu wakati umemlazimu kufanya ndoa, patakuwa na shida.
😍😍😍wakiwamo wanawake watatu wanaowaombea wachumba zao
Kwenye uislamu hakuna mkaja wa bibi wala babu, ni binti anaulizwa anahitaji mahari yake iwe nini atakayotaja mwanaume unatakiwa ulete. Apatiwe binti mahari yake sio ya wazazi wala walezi.Mkaja wa bibi wanatoa?
Inawezekana wao wana watu wao wa kwenda kwa wazazi wa binti kubageini. Ktk hali ya kawaida itabidi wazazi/walezi wakubali maana watabigwa aya na khadithi mpaka mtu ataona aibu,atashusha 'bei'
Elimu kwa wazazi itolewe wasiwe vikwazo kwa vijana wao wanapopata wenza, endapo mahari itatakiwa kuwa laki 2,basi kijana atakapokuwa hata japo na kianzio cha hamsini, ndoa ifungwe bila shida.Wewe ulitakaje ?