Kingmabelee
New Member
- Nov 14, 2018
- 3
- 5
Jamani si kila anayenyoosha mkono darasani mwalimu anapouliza swali basi anajua jibu mwingine ni msindikizaji tu so interview Wanayotaka kuifanya ni kwa ajili ya kupata wale waelewa na wenye msingi bora wa dini ambao watakalishwa chini na kufundishwa namna ya kuwa na uadilifu pindi atakapoozeshwa. Tusiwakatishe tamaa huenda baina yao wakapatikana waongofu watakao saidia kutupatia vizazi bora vya baadaye