Hilo eneo lilikua ni la serikali au wananchi?Kwani saizi Serikali inawatoa Ili ifanyaje Sasa.
Tzn ni kubwa unakaa Mabondeni harafu useme Serikali imeshindwa wajibu wake? Hapo pote ni catchment area.
Kwanza wanatakiwa kufurushwa wote ni huruma tuu Samia anafanya.
Au wakae mafuriko yakija wakae nayo kikao yawalipe fidia.Lile eneo ni hatarishi, sidhani kama ni ruhusa kujenga pale, Serikali imefanya uzembe kwa miaka mingi kuwaacha na wao wakajihalalishia kwamba Wana haki, sasa kama wanafurushwa wapokee Tu hizo 4m wakaanze maisha kwa kupanga, Ila kama wanavibali halali vya umiliki kutoka Ardhi, hilo ni suala lingine, wakomae walipwe zaidi.
Sioni ulazima wa kuondolewa kwa nguvu. Asiyetaka aachwe tu. Unless serikali ina mpango na hilo eneo ila kama ni hatari ya mafuriko na elimu ishatolewa tuachwe tu sisi ni watu wazima tutaogelea.Hilo eneo lilikua ni la serikali au wananchi?
Ikiwa ni la wananchi , mwananchi atakaekataa kupokea pesa akataka abaki eneo hilo serikali itamuondoa kwa lazima?
Kuna binadamu kwa asili ni wabishi, madhara yakizidi watasema Serikali haiwasaidii.Au wakae mafuriko yakija wakae nayo kikao yawalipe fidia.
Watu na roho zenu za wivuHuu ndio wakati wa mwenyekiti wetu wa chama kikuu cha upinzani kuonesha huruma yake kwa watanzania.
I mean kwa vile miaka yote tumekaririshwa kuwa mwenyekiti wetu ni tajiri toka enzi za mababu zake, na amejitolea kuutumia utajiri wake kuwakomboa watanzania. Basi angejitokeza wakati huu kuwasaidia watanzania hao, kwa kuwajengea kila mmoja chumba na baraza ili kutufanya sisi tusioamini kile tulichokaririshwa, tuamini kuwa kweli mwenyekiti amejitolea kuwasaidia watanzania.
Huwezi kutuambia kuwa mwenyekiti wetu wa chama ni tajiri na amejitolea kuwakomboa watanzania huku akikusanya mamilioni ya michango ya watanzania masikini kumalizia nyumba yake iliyokuwa imekwama kwa kukosa ruzuku ya chama.
Dunia ya leo watu wanaaminiwa kwa vitendo, na sio kwa maneno kupitia chawa wa kupandikiza mitandaoni.
Ajitokeze kuwasaidia wanyonge hao ili kujitengenezea mtaji wa kura katika uchaguzi mkuu.
Ni aibu kuona kiongozi wa chama anaesifiwa kuwa ni tajiri anashindwa kuwasaidia watu wenye uhitaji, alaf anakuja katibu mwenezi asiekuwa na kitu anawasaidia watu hao, kisha wakipigia kura chama cha katibu mwenezi kutokana na kuona huruma yake kwao, yule tajiri uchwara anajitokeza kudai wameibiwa kura.
Hapo ndo tunapokosea. Wakati wenzetu kina bashite wanajitolea kuwasaidia masikini kwa ajili ya kuvuna kura katika chama chao, sisi viongozi wetu wa upinzani wanakwapua kile kidogo wachokuwa nacho masikini kupitia michango isiyoeleweka na kwenda kugawana mbele ya safari bila kutoa maelezo ya matumizi ya michango husika. Je kwa aina hii ya uendeshaji chama kuna mtu atatuamini kweli kama tuna nia ya kuwakomboa?
Chief, lile eneo watu wamevamia sio makazi ya watu, na hii ni Tabia yetu Watanzania, tunavamia maeneo kwavile tunaachwa tunakaa kwa muda mwisho tunaona kama ni Haki yetu.Eneo hatarishi kwa mantiki ipi? yaani serikali kushindwa wajibu wake kujenga kingo za mto kuuthibiti usifurike kwenye makazi ya watu lawama unakuja kuwatupia wananchi? Hizo kodi wanazokusanya ni kwa ajili ya kufisadi tu na kujinunulia ma viieite.
Nini kifanyike? Kwa ambao hawajakubali kuondoka hapo bonde la msimbazi.!?Watu wa jangwani waliwahi pewa viwanja kule mabwepande, waliviuza na wakarudi jagwani.
Hapo hata uwape milioni mia hawaondoki.
Mtaishia kutishiana uchawi tu.
Mwananchi unakaa Mabondeni kufanya nini? Ni eneo halituhusiwi Kwa makaziHilo eneo lilikua ni la serikali au wananchi?
Ikiwa ni la wananchi , mwananchi atakaekataa kupokea pesa akataka abaki eneo hilo serikali itamuondoa kwa lazima?
Wapi huko unaweza kutaja majina ya hayo maeneoPembezoni mwa Dar kuna viwanja vya kuanzia bei ya laki 1
Vikindu (laki 5), Kisarawe pale Mzenga Centre laki 8.Wapi huko unaweza kutaja majina ya hayo maeneo
Hakuna Mahala walitaja neno fidia ni Kifuta jashoWanaopewa fidia ya milioni 6 ili wahame bonde la Msimbazi- Dar itawatosha kununua kiwanja na kujenga?
Maana milioni 6 naona Kama ni ndogo, kwanini wasingepewa nyumba (apartment za pale Magomeni)?
NOTE: FIDIA NI HURUMA YA RAIS TU
Kinadharia hata wasingepewa kwa mujibu ya watoa hela.
Vipi ukikataa kuondoka maana ardhi ni yako watakuondoa? Kwa lazima? Milioni 6 ni ndogo Sana lakini.
Namnukuu Benjamin Netanyahu katika moja ya comment yake humu JF
"Kiwanja Dar ni shs ngapi? Yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununua kiwanja Dar? wakati hao wananchi wananunua na kujenga Serikali ya CCM ilikuwa wapi? Ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi"
by Benjamin Netanyahu
Sawa lakini huko sio Dar ni mkoa wa PwaniVikindu (laki 5), Kisarawe pale Mzenga Centre laki 8.
Kisarawe shamba laki 2-4 kwa eka.
Kibaha milion na nusu kiwanja/shamba.
Chalinze shamba laki na nusu hadi laki 8.
Mlandizi, Bagamoyo n. k
MkuuWanaopewa fidia ya milioni 6 ili wahame bonde la Msimbazi- Dar itawatosha kununua kiwanja na kujenga?
Maana milioni 6 naona Kama ni ndogo, kwanini wasingepewa nyumba (apartment za pale Magomeni)?
NOTE: FIDIA NI HURUMA YA RAIS TU
Kinadharia hata wasingepewa kwa mujibu ya watoa hela.
Vipi ukikataa kuondoka maana ardhi ni yako watakuondoa? Kwa lazima? Milioni 6 ni ndogo Sana lakini.
Namnukuu Benjamin Netanyahu katika moja ya comment yake humu JF
"Kiwanja Dar ni shs ngapi? Yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununua kiwanja Dar? wakati hao wananchi wananunua na kujenga Serikali ya CCM ilikuwa wapi? Ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi"
by Benjamin Netanyahu
Kwamba hawaruhusiwi kwenda huko?Sawa lakini huko sio Dar ni mkoa wa Pwani
Sawa ila tumekubaliana kuwa hayo maeneo ni mkoa wa PwaniKwamba hawaruhusiwi kwenda huko?
Kwa taarifa yako Dar imejaa. Ukitaka kiwanja dar uwe na hela kuanzia milioni kumi. Na hapo unapata kuanzia Mbezi Malamba Mawili kuelekea Kibamba.
Kwani hao toka wanaishi hapo ni milioni ngapi zimepita mikononi mwao?