Wanaopinga ndoa wana matatizo au wamekulia kwenye familia zenye mgogoro

Silazimishi mtu kuoa au kuolewa, lakini jambo hili ni jema sana na la kheri
 
Hawa wanaopingaga ndoa ukiangalia Historia zao zina shida sana
 
Umepita mulemule😀
 
ukishakuwa na watoto kusema kweli hakuna haja ya ndoa, unakomaa na kutafuta hela , kulea watoto wako vizuri na kuenjoy maisha
Well said, lakini kuishi na watoto pamoja ni vizuri zaidi. Imagine umemzalisha dada halafu humuoi hapo itabidi umchukue mtoto uishi nae, kama hutamchukua ataenda kulelewa na baba wa kambo au utampeleka kwa ndugu zako akalelewe huko. Huoni kama hilo ni tatizo mtoto kulelewa na mzazi mmoja?
 
Ndoa ni upumbav fulani hivi wa maisha... Sijui mnakimbilia wapi kuoa vijana... 90% ya watu walio ktk ndoa wanaish kwa stress na majuto... Stay single ukishindwa vuta mwanamke/mwanaume wako utakaye ishi naye temporary, zaa nae ikitokea akili zenu zimeendana endeleeni kuishi, ikitokea akili haziendani piganeni chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…