Wanaosapoti Diamond kuendelea kuishi na Mzee badala ya kuchukua kijana wanapaswa kushangaliwa


kumbe siku hizi kusema ukweli nako umekuwa umbea. poor you
 
Mbona mama yako mzee lakini yupo tu na baba yako?
 
Hela inamfanya zari aonekane binti kuliko huyo. Mabeto wenu



Dai dini inaruhusu ukinogewa na mabeto oa usimwache zari kwa sabab za kishamba kama umri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayatuhusu. Kwanza Diamond mwenyewe alishasema Zari kwa muonekano wa ndani ni kijana kuliko wote ambao amewapitia. Yaani utafikiri hajazaa. Muonekano wa nje ndiyo kabisaa mashalaaah!!
 
Inasikitisha sana..

Na ni...

Dhambi kubwa sana, kushabikia mapenzi ya watu...

Kama hizo taarifa ni za kweli... Huyo jamaa hana akili na wala hana adabu...


Cc: mahondaw
 
Mimi anipe mamaake aone kama sinta mbokowa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…