ukawa dona
JF-Expert Member
- Feb 8, 2023
- 516
- 887
ngija waje hapaKwanini UWT mmefurahia sn Mbowe kugombea?
Huyu jamaa nafikiri ndiye Nchimbi mwenyewe.wanajua biashara tayari
Mbona hamjawahi kumpigwa risasi 40 huyo mwamba wenu feki.Mwaka huu chadema waliandaa maandamano Dar el salaam. Ni Mbowe na binti yake tu ndio waliandamana.
Hakuna cha Lissu, Mwabukusi, Heche wala Pambalu. Hao wanaojitutumua kwamba wanapenda mabadiliko mbona hatukuwaona? Mmejaa humu MNATUNA lakini saiti hamuonekani.
Hawa ndio tukabidhi chama?
Sawangija waje hapa
YapHuyu jamaa nafikiri ndiye Nchimbi mwenyewe.
Mbowe alivuja mguu wakati amekunywa konyagi...walisikika machawa WA kijaniLissu alifumaniwa na mke wa mtu
Kama hicho ndio kigezo basi mdude apewe chama chote kiwe chakeMwaka huu chadema waliandaa maandamano Dar el salaam. Ni Mbowe na binti yake tu ndio waliandamana.
Hakuna cha Lissu, Mwabukusi, Heche wala Pambalu. Hao wanaojitutumua kwamba wanapenda mabadiliko mbona hatukuwaona? Mmejaa humu MNATUNA lakini saiti hamuonekani.
Hawa ndio tukabidhi chama?