Teh!sisi ma non-mathematicians umetuacha joomoon
Dogo janja anawekwa mjini na mladee hapo ngarenaro yenyewe hajamjengea mamake nyumba hana pesa ana jinaKwani dogo hana hela
Bora utamani kuolewa na Mimi!Kutoka moyoni mi wala sitamani kuolewa na dogo janja japo sijamzidi kivile
Ila yote kwa yote hongera yao lazima wapewe...ndoa ni jambo la heri
Nahisi hata wewe team janjaroBora utamani kuolewa na Mimi!
Nimecheka sana. Haya bana.Nahisi hata wewe team janjaro
na ana dudyu uyo usipimeHahahahh nakaona kadogo nikajua nimekazidi asee!
Usinambie ushaionana ana dudyu uyo usipime
Unataka kumpindua uwoya baada ya kusikia ana dudyu kubwa?Usinambie ushaiona
Siko interested,habari za dyudyu umezileta wewe uliyelionaUnataka kumpindua uwoya baada ya kusikia ana dudyu kubwa?
Umemzidi dogo janja?Kutoka moyoni mi wala sitamani kuolewa na dogo janja japo sijamzidi kivile
Ila yote kwa yote hongera yao lazima wapewe...ndoa ni jambo la heri
Mbona xjaona halipokuw miaka 20??Amekuwa kweli. Mpaka mrembo kanasa si mchezo [emoji23]
HapanaUmemzidi dogo janja?