Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nahisi hii unayoisema, ananunua coin labda kwa 2000 anaweza nunua hata za million 10, then anaziuza Kwa 2020, Kila coin Moja anaitafutia faida ya 20, Sasa anakua anashinda kwenye computer kuangalia soko linaendaje, kanambia soko ni uhakika maana watu was forex woote wananunua coin sijui.Au wana daytrade crypto. Inawezekana ila ngumu sana, markets za crypto zipo volatile mno
Hii inawezekana ila kwa manati
Vipi Ina Hela lakini? Nadhani ndio hii inaitwaje?Kuna website moja hivi, unanunu coin, kisha unauza nchi tofauti tofauti,, sema niliingia tamaa nikawazulumu kama laki 9 hivi.. Nikapigwa ban ya milele 😑😑.
Sio lazima kwani wewe kuanza kutumia simu ulienda shule.Kwanza una uhakika hawana background yoyote ya mambo ya ICT?
Maana huko huwezi ukaenda ukiwa mweupe tu Mzee , lazima uwe na ABC za IT.
Na uwe umeiva kweli, maana kama freelancer utapewa task ufanye halafu utabaki unatonoa tu macho.
Sijakuelewa mkuuAu wewe umeandika chai ili uilete mada kijanja kuliko kuuliza moja kwa moja hutopata replies
Sio lazima kwani wewe kuanza kutumia simu ulienda shule.
Nani kakwambia wabongo ni watundu kwenye mitandao sisi tupo nyuma kila kitu.Ingekuwa ni simple kihivyo basi vijana wote wangekuwa huko wanapiga pesa online..
Yaani upate tu kazi ya Ufreelancer na ukichwa mbuzi wako utoboe kirahisi?
Vipi Ina Hela lakini? Nadhani ndio hii inaitwaje?
Mkuu ningependa zaidi ukanipa nondo sijui nafanyaje, hapo nadepossit vipi inakuaje, nanunua wapi na kuuza wapi?View attachment 2951913
Iko poa, sema niliingiza tamaaa 😋😋, mimi ndo nilikuwa natumia hii...
Nani kakwambia wabongo ni watundu kwenye mitandao sisi tupo nyuma kila kitu.
Ukiwa na nia unatimiza ndoto yako
Vijana wengi wa IT wanaomaliza chuo ukimpa kazi ya kutengeneza App anakimbiaMimi narudia kusema:-
IT Knowledge haihitaji vigezo vya kufaulu Maths na Physics, inahitaji PASSION na iwe ni Hobby au Interest ya Mtu basi ataperform kila kitu
Yaani ni kitu ambacho ukikipenda utakiweza tu
Kuna watu wamesoma Computer Science hapo UDSM ila Computer ikisumbua tu hata kuwaka (Booting problems) hawajui cha kufanya mpaka awatafute hao madogo wa mtaani
Software engineering hiyo, Wanaishiaga kujisifia kuwa wamesoma mara UDSM, IFM au IAA Arusha ila ukija katika suala la kusolve matatizo katika PC, Printer na Device zingine utachekaVijana wengi wa IT wanaomaliza chuo ukimpa kazi ya kutengeneza App anakimbia