Nimekupata Chief! Swali la nyongeza kama nikiishia foundation au intermediate, nitatakiwa kulipia ada ya uanachama kila mwaka kama wenye CPA?Ukiishia foundation,
1. Hutakua mhasibu (NBAA hawatakusajili)
2. Foundation level ni beginner level, vyuma au CPA yenyewe ni Intermediate na Final level
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa si kasome tu ngazi ya cheti Cha msingi itakuwa imekupa hizo dondoo.Nimekupata Chief! Swali la nyongeza kama nikiishia foundation au intermediate, nitatakiwa kulipia ada ya uanachama kila mwaka kama wenye CPA?
Suala la kusajiriwa kwangu sio lazima, nahitaji skills za kihasibu zinisaidie kwenye uwekezaji.
Cheti cha msingi ndio ATEC au cheti kipi mkuu?Sasa si kasome tu ngazi ya cheti Cha msingi itakuwa imekupa hizo dondoo.
Kuna aina mbili ya ada ya uanachama.Nimekupata Chief! Swali la nyongeza kama nikiishia foundation au intermediate, nitatakiwa kulipia ada ya uanachama kila mwaka kama wenye CPA?
Suala la kusajiriwa kwangu sio lazima, nahitaji skills za kihasibu zinisaidie kwenye uwekezaji.
Ndio ni ATEC (Accounting technician) au anaitwa Assistant AccountantCheti cha msingi ndio ATEC au cheti kipi mkuu?
Kuna aina mbili ya ada ya uanachama.
1. subscription fee ya CPA candidates
2.subscription fee ya CPA graduates.
Kwasababu hujamaliza, utakua unalipa kama mwanafunzi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Basic certificate of accountancyCheti cha msingi ndio ATEC au cheti kipi mkuu?
HayafungukiMatokeo tayari uko jamani
Pole rafiki utatoboa tu.Hongereni kwa mliotoboa kwenye matokeo , safari hii haikua nzuri upande wangu[emoji25][emoji25] ila haina kukata tamaa tukutane May 2023 kurudia. Inauma unafungua matokeo unakutana na red fail[emoji849]
PoleHongereni kwa mliotoboa kwenye matokeo , safari hii haikua nzuri upande wangu😪😪 ila haina kukata tamaa tukutane May 2023 kurudia. Inauma unafungua matokeo unakutana na red fail🙄
Hiyo ni ya intermediate?Hongereni kwa mliotoboa kwenye matokeo , safari hii haikua nzuri upande wangu[emoji25][emoji25] ila haina kukata tamaa tukutane May 2023 kurudia. Inauma unafungua matokeo unakutana na red fail[emoji849]
Anuity calculation zilikutoa mchezoniHongereni kwa mliotoboa kwenye matokeo , safari hii haikua nzuri upande wangu😪😪 ila haina kukata tamaa tukutane May 2023 kurudia. Inauma unafungua matokeo unakutana na red fail🙄
Najua utatoboa nakuamini dogo uko vzr Mungu akupambanie kipenziHongereni kwa mliotoboa kwenye matokeo , safari hii haikua nzuri upande wangu[emoji25][emoji25] ila haina kukata tamaa tukutane May 2023 kurudia. Inauma unafungua matokeo unakutana na red fail[emoji849]
Thank you dear, ngoja tuzidi kupambanaNajua utatoboa nakuamini dogo uko vzr Mungu akupambanue kipenzi
Sina hamu kabisa na hizo mamboAnuity calculation zilikutoa mchezoni
Thank you mkuu
Yes ni intermediate code B zote ni intermediate na C ni final and A ni foundationHiyo ni ya intermediate?
Ahsante mkuuPole