Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Kwani mkuu CPA inataka mtu awe na elimu gani? I mean kwa mujibu wa NBAA.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Ndugu yangu,binafsi lakini. Si kwamba najua,hapana. Nahisi inafaa sana kwa mtu mwenye basics za Accountancy. Na hizi nchi zetu zinazoajiri makaratasi, sidhani kama mtu akionekana ana CPA,pamoja na kutambulika kimfumo,background yake pia inaangaliwa. Naona ni sawa na jeshini urushwe cheo kutoka Sergent upewe Major. Linawezekana,utaheshimika kwa cheo,lakini mbinu,maarifa na uzoefu,sifuri. Sasa, muajiri wa kusubiri mfanyakazi wake aundiwe ripoti na watu wengine, sioni kwa kweli. Kwanza huyu asiyejua Accountancy,kuna terms za kihasibu atakuwa haelewi. Hata kufundishwa,ni ngumu si kama shule ya msingi
 
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako mzuri!
 
Hivi nimeacha kupiga paper za cpa nikiwa intermediate level kama 5 years ago.... Vp now nikitaka niliamzishe tena inakuaje taratibu
 
Hivi nimeacha kupiga paper za cpa nikiwa intermediate level kama 5 years ago.... Vp now nikitaka niliamzishe tena inakuaje taratibu
Mkuu uliacha tu mwenyewe ama uli postpone kwa kuwanotify Bodi ulikua na sababu labda ugonjwa nk? Ikipita miaka mitatu tunaita seats 6 , either hukufanya mitihani ama hukufaulu mitihani yote ya hiyo level wanakufutia unaanza upya hiyo level, Ila unaweza fika ofisini kwao kwa maelekezo zaidi. Kuna vitu vimebadilika. Watakupa na procedures.
 
Kwa mnaojiandaa na mitihani, nawatakia maandalizi mema na Mungu atujalie afya njema, tukutane Bunju tena🙏

Hadi kieleweke, hamna kukata tamaa💪
 
B3 auditing 🤔 sijagusa kivile , nimejawa na hofu , na nipo mkoa ambao hakuna center, ni najisomea tu na kazi za ofisini kama zote so mda unakua mdogo
 
B3 auditing 🤔 sijagusa kivile , nimejawa na hofu , na nipo mkoa ambao hakuna center, ni najisomea tu na kazi za ofisini kama zote so mda unakua mdogo
Wala usiogope mkuu, muda ni huu tujitahidi hata mimi ofisini kumenibana hasa ila hamna jinsi, pia kuna online problem solving ambazo mnasolve technical questions ili upate confidence ya kujibu kwenye mitihani, if it's ok watafute Covenant wako vizuri.
Note: utalipia lkn.

Unafanya masomo mangapi?
 
Nafanya matatu B3, B4 na B6
 
Niliacha bila notification mkuu.. na nilinzaga foundation level nikamaliza then intermediate nikabakish kama pepa moj hivi maisha yakajichanganya kabisa nikawa pembeni ya system
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…