financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
-
- #561
Unanifariji mkuu japo mimi huwa naenda vice-versa sijui, huwezi amini C1 na B5 nilizifaulu single seat ila B1 niliirudia 2 times 😒😪 na B1 kaka ake ni C3 inaniogopesha piaKama ni hayo yaliyobaki, ushafaulu, somo gumu huwa ni C1, ni gumu kuliko hata B5.
Kila la Heri.
Niku uzie akili yangu 😆Hello Great thinkers, kwa wote mtakaofanya mitihani ya May 2024, nawatakia maandalizi mema ya mitihani, tunaomba Mungu atufikishe salama na tumalize salama🙏.
Ila shikamoo C3 nasoma sielewi, ubongo mzitoo😀
Ntakushukuru sana mimi nishazeeka ubongo mzito😀Niku uzie akili yangu 😆
Haya Nita kumegea part ya ubongo 😂Ntakushukuru sana mimi nishazeeka ubongo mzito😀
Imerahishishwa kivipiCPA imejarahisishwa sana
sijui nianzie wapi kukuelezeaImerahishishwa kivipi
sijui nianzie wapi kukuelezea
ACCA ni kitonga sana hata mimi nampango nianze na ACCA nimalize na CPA. Nilitaka kaunza na CPA lakini kuna jamaa angu ni mhasibu wa PWC akanishauri hivi 🙌🏿CPA haijarahisishwa. Ipo vile vile.
Watu wanapata wengi sababu Kampuni kubwa za ukaguzi wa hesabu zimebadili mbinu na njia za staff wao kupata cpa.
Sababu wana pesa wao Wanapitia route ya ACCA katika kupata CPA.
Nowdays graduate ukipata kazi PwC ujue na CPA utaipata bila msoto wala mateso. Maana utapitishwa njia ya ACCA kupata CPA bila msoto
Masomo yanayosumbua na kufelisha watu wengi kwenye CPA wewe huyafanyii mitihani ya nbaa kama ukipita njia ya ACCA kwanza
Ni kweli, ACCA ni elimu bora sana na pia ni rahisi kufaulu, ila mpaka ufikie level ya kufauli, maana yake vitu unajua mnoACCA ni kitonga sana hata mimi nampango nianze na ACCA nimalize na CPA. Nilitaka kaunza na CPA lakini kuna jamaa angu ni mhasibu wa PWC akanishauri hivi 🙌🏿
Foundationnaomba kuulza kama mm nasoma tumaini university corse bachelor of business administration (in accounting) cpa naanza foundation u intermediate
lakini nimesoma account kabisa n bba in accountingFoundation
Au zile kozi alosoma ofsa uchwara Mpwayungu VillageHapana, nimesoma mambo mengine tu ya kishenzi! Nnachofanya sasa na taaluma yangu ni East na West.
Ndio zipi?Au zile kozi alosoma ofsa uchwara Mpwayungu Village
That's ma boyHahahahaha....!!
La saba mjanja mjanja mwenye uzoefu wa muda mrefu, kipi kitamshinda mkuu?
Shkran san kaka apo tumelew mujarabIli kufikia level ya kuwa Certified Public Accountant (CPA) kuna ngazi tano.
1.ATEC One (4 subjects)
2. ATEC Two (4 subjects)
3.Foundation (6 subjects)
4.Intermediate (6 subjects)
5.Final (4 subjects)
*Waliochukua degree za Accountacy wanaanzia Intermediate
*Non-Accountancy degree anaanzia Foundation. Masomo sita.
Form 6 leaver's
1. Waliochukua ECA wanaanza ATEC two
2. Waliochukua combi nyingine wa naanza ATEC one.
*Seatings za mitihani ni Mara mbili kwa mwaka. May na November
Ada zake zikoje kak..Aisee ahsante sana kwa kushare na sisi hili, CPA si mchezo mimi nimeanzia foundation balaa lake + kazini +majukumu mengine🤔