Mabrungutu
Member
- Feb 17, 2017
- 87
- 48
Naomba Kuuliza NBAA Mwanza Iko Sehemu Gani?Jana ilikua graduation ya waliomaliza CPA[emoji310], hongereni sana kama kuna waliopo humu, wengine tuendelee kupambana hadi kieleweke[emoji123]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba Kuuliza NBAA Mwanza Iko Sehemu Gani?Jana ilikua graduation ya waliomaliza CPA[emoji310], hongereni sana kama kuna waliopo humu, wengine tuendelee kupambana hadi kieleweke[emoji123]
-wakaombe kazi za tgs EJana ilikua graduation ya waliomaliza CPA🎓, hongereni sana kama kuna waliopo humu, wengine tuendelee kupambana hadi kieleweke💪
Hi! Naomba nisaidie notice za foundation kama unazoMungu ni mwema, Kituo kinachofuata ni November 'FULL SUIT'View attachment 2276372
Dada financial services Kwanza niseme nakupenda. Nakuona humu ndani ni muda sasa.
Napenda tu the way ulivyo.
Tukirudi kwenye mada CPA (T) naweza kusema kwasasa ina soko. Sasa hivi huwezi kuwa muhasibi kama hauna CPA.
Hata kama una Degree ya uhasibu bado huwezi kuwa muhasibu,ukiajiliwa serikalini utatambulika kama afisa hesabu sio muhasibu.
Mimi nilianza kuisotea tangu 2016 bahati mbaya bado sijaipata ila nipo hatua za mwishoni kuhitimu.
Session huwa mbili kwa mwaka, Ni May na November. Pia kuna mid session ukitaka March na August Ada za Mid Session zimechangamka Pepa moja unalipia hadi laki 3. Kama upo Dar ni vizuri mm nimesoma CPA kwa muda wote huo nikiwa mkoa wa Rukwa. Mitihani nilikuwa nafanyia Mbeya Pale Sokomatola Mkapa Hall.
Nilishawishika kusoma hii kitu baada ya boss wangu aliyenipokea mwanzo alikuwa Muhasibu Mkuu now baada ya waraka ni Afisa hesabu.
Faida za kuwa na CPA ni nyingi sana, Mosi ukiwa nayo mshahara wa kuanzia kazi TGS F then unakuwa certified in Public Muajiri ansearch jina NBAA anapata data zako kiusahihi no longolongo.
Wahasibu ni kama wanasheria now huwezi kuwa mwanasheria bila kupitia Law School.
Mungu anisaidie nipate na ACCA
Me nipo navuta pumzi hapa nikasome MSc financial engineering.
Una uhakika?Hakuna kitu km hcho mkuu
Ninazo, nakupatiaje?Hi! Naomba nisaidie notice za foundation kama unazo
Ahsante Mkuu, Mi nishachukua changu mapema.Hi wakuu mnaoendelea na maandalizi ya mitihani itakayoanza tar 01 November,we wish you the best, msisahau kwenda na NBAA I'ds na kama hujachukua zimeanza kutolewa jana 25 kwa waliopo Dar at NBAA Mhasibu House library, mikoani mtazipata tar 31 at your examinations centers, as per attached more details. All the best to you all. Mr Confidential
Safii na maandalizi mema, tukutane BunjuAhsante Mkuu, Mi nishachukua changu mapema.
Kwako piaSafii na maandalizi mema, tukutane Bunju
Hi wakuu mnaoendelea na maandalizi ya mitihani itakayoanza tar 01 November,we wish you the best, msisahau kwenda na NBAA I'ds na kama hujachukua zimeanza kutolewa jana 25 kwa waliopo Dar at NBAA Mhasibu House library, mikoani mtazipata tar 31 at your examinations centers, as per attached more details. All the best to you all. Mr Confidential
Asante kwa information, best wishes to you[emoji110]️Hi wakuu mnaoendelea na maandalizi ya mitihani itakayoanza tar 01 November,we wish you the best, msisahau kwenda na NBAA I'ds na kama hujachukua zimeanza kutolewa jana 25 kwa waliopo Dar at NBAA Mhasibu House library, mikoani mtazipata tar 31 at your examinations centers, as per attached more details. All the best to you all. Mr Confidential
Umepotea sana mkuu au ndiyo full suit inakunyoosha😂Asante kwa information, best wishes to you[emoji110]️
Asee, Mungu anipe nguvu na ustahimilivu. Mambo ni mengi si mchezo ,yaan unashika B2 unagundua B1 huja cover vizuri. Unagusa B1 unakumbuka kuna mnyama B5🥲, Hapo B4, B3, B6 zinakusubiri.Umepotea sana mkuu au ndiyo full suit inakunyoosha[emoji23]