Uchaguzi 2020 Wanaotaka ubunge 2020 tukutane hapa

Uchaguzi 2020 Wanaotaka ubunge 2020 tukutane hapa

Ameandika Steve Nyerere Muda Mfupi kuhusu kugombea Ubunge Iringa__'Nimekuwa Niki ( 640 X 640 ).jpg
 
Kwakwel Jenista Mhagama ajiandae jimbo la peramiho lipo mikononi mwangu tayar watu wa mpitimbi namihoro maposen lundusi parango litapwasi magagura mhalule lipaya mgazini mhukuru namatuhi litisha nakahegwa liganga lipokela matomondo namatanda huko kote nimeandaa ngome zangu

Kuhusu chama sina shka nacho

# TUKUTANE MJENGONI 2020 ZAMU YETU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujipange ndugu
Huyu mwanamama nguvu anazo
Na amekuwa waziri nenda rudi ..madaraka ya kulenya hatoki kirahisi pale
Kwakwel Jenista Mhagama ajiandae jimbo la peramiho lipo mikononi mwangu tayar watu wa mpitimbi namihoro maposen lundusi parango litapwasi magagura mhalule lipaya mgazini mhukuru namatuhi litisha nakahegwa liganga lipokela matomondo namatanda huko kote nimeandaa ngome zangu

Kuhusu chama sina shka nacho

# TUKUTANE MJENGONI 2020 ZAMU YETU

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema unataka kugombea jimbo gani na chama gani ili upate ushauri na Watu wa kukuunga Mkono....

Mimi nagombea Mtera-Dodoma.
Chama-Chadema
2020-2025

Naomba kama naweza kupata ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app

Ushauri wa kwanza lazima ujiue kutukana sana,maana mgombea wa chama tawala ni darasa la saba B hana hoja ya maana.Mara nyingi anajificha katika matusi na misemo ya dharau,ni wajibu wako kuwaelimisha wapiga kura umuhimu wa kujikita katika maendeleo na si matusi.

Jimbo la ni moja ya majimbo yanayoongozwa na mbunge mwenye elimu ndogo sana mwingine ni msukuma.Katika karne ya 21 ni aibu kubwa na fedhea ya kiwango cha SGR kama mbunge wako ni Std 7.Nadhani hii yaweza kuwa silaha yako ya mwanzo kabisa.

Mwisho ni lazima ujiepushe na siasa ya mitandao ya jamii na siasa za Dar....Mara nyingi utakuta mgombea anaishi Dar maisha yake yote anakwenda Kijijini siku za misiba na labda mwisho wa mwaka.Ikiwa bado unaishi Dar kwa maana ya shughuli za kiuchumi ni vyema ukaanza mipango ya kwenda Mtera mapema ukavijuwe viunga vyote na kutengeneza team ya kampeni yenye kubeba wajumbe wa kada zote yaani vijana,wazee,waganga wa kienyeji,wasomi na wapiga debe wasiochoka na wasioweza kurubuniwa kirahisi.

Nakutakia safari njema na ushindi mnono ila ukishinda usisahau kunirushia fedha ya kifurushi kiduchu.

Wasalama
Ngongo kwasasa White house Dodoma bado tunawasubiri Lt Col Kinana na Lt Makamba lazima tuwasulubu na wasulubike.
 
Back
Top Bottom