Wanaotathimini Umaskini Mkoa wa Kagera waongo. Ukikusanya nyumba zote zilizojengwa mwaka 2015-2021 unapata mji wa Arusha

Wanaotathimini Umaskini Mkoa wa Kagera waongo. Ukikusanya nyumba zote zilizojengwa mwaka 2015-2021 unapata mji wa Arusha

Wewe una utani na Wahaya!

Wanakagera kumbukeni kwenu, hakuna cha maana, mkiwa miji ya wengine mnajitapa lakini fika wilaya za mkoa wa Kagera yaani utaona aibu
Chukua maji ya baridi unywe utapona hicho kinachokusumbua
 
Wewe una utani na Wahaya!

Wanakagera kumbukeni kwenu, hakuna cha maana, mkiwa miji ya wengine mnajitapa lakini fika wilaya za mkoa wa Kagera yaani utaona aibu
Humu jf kila mtu anapafahamu vzr kagera....
Yaan asilimia 90 wanaifahamu kagera [emoji23][emoji23]


Wew kwenu ni wap tuanzie hapa kwanza maana kila siku kagera wahaya kagera bukoba!!!

Wakati hata sisi tupo mikoa ya watu huku na tunayoyaona yanasikitisha sana.....Tena vijijini ndo mbaya zaidi
 
Sema na manispaa ya Bukoba imalizie stendi ya mabasi Kule kyakairabwa.. maana kila mtu akifika bukoba nakuiona ile stendi ya Sasa anaconclude kuwa kagera na bukoba yote ni pabaya kwa akili hiz za watanzania wengi ambao hawatumii ubongo vzr...
 
[emoji23][emoji23] sijui mkuu una stress!! Kwa hiyo wananchi ndo wanajenga majengo ya halmashauri???? Hiki nacho kituko cha kufunga mwaka. Kuna halmashauri mpya zimejengwa na serikali majengo mazuri lakini ni maskini. Tumia hata robo ya ubongo wako bas kufikiri
Kama hujui kwamba Halmashauri hufanya maendeleo kwa fedha za mapato kutoka kwa wananchi, basi, jichunguzeni; tatizo la umasikini Kagera linaanzia hapo.
 
Humu jf kila mtu anapafahamu vzr kagera....
Yaan asilimia 90 wanaifahamu kagera [emoji23][emoji23]


Wew kwenu ni wap tuanzie hapa kwanza maana kila siku kagera wahaya kagera bukoba!!!

Wakati hata sisi tupo mikoa ya watu huku na tunayoyaona yanasikitisha sana.....Tena vijijini ndo mbaya zaidi
Mnaringa mno ndiyo maana kila siku Kagera Wahaya Kagera Bukoba 😀
 
Kama hujui kwamba Halmashauri hufanya maendeleo kwa fedha za mapato kutoka kwa wananchi, basi, jichunguzeni; tatizo la umasikini Kagera linaanzia hapo.
Maendeleo gani hayo tofauti na huduma za kijamii au kwako jengo la halmashauri ndo utajiri?? Mwananchi anafaidikaje na ghorofa la mkurugenzi au mkuu wa wilaya??? Huekeweki point yako ni ipi
 
Maendeleo gani hayo tofauti na huduma za kijamii au kwako jengo la halmashauri ndo utajiri?? Mwananchi anafaidikaje na ghorofa la mkurugenzi au mkuu wa wilaya??? Huekeweki point yako ni ipi
Huwezi kuelewa kwa sababu uelewa finyu ulionao kuhusu maendeleo
 
Mpuuzi kwani Kagera yote wakaazi ni Wahaya tu?...Mshukuruni Nyerere mngekuwa Waganda sasa hivi...ingewafaa kuungana na ndugu zenu..msanii mkubwa anaitwa chameleon 😂😂😂😂😂
 
Mpuuzi kwani Kagera yote wakaazi ni Wahaya tu?...Mshukuruni Nyerere mngekuwa Waganda sasa hivi...ingewafaa kuungana na ndugu zenu..msanii mkubwa anaitwa chameleon [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Punguza hasira mkuu, vijiji vya Kagera vimejengwa na Wahaya na wanyambo
 
Mpuuzi kwani Kagera yote wakaazi ni Wahaya tu?...Mshukuruni Nyerere mngekuwa Waganda sasa hivi...ingewafaa kuungana na ndugu zenu..msanii mkubwa anaitwa chameleon 😂😂😂😂😂
Kwani kuna sehemu nimewataja au nimetaja Kagera
 
Hapana. Usiliangalie kwa angle hiyo. Munatumia nguvu sana kutuaminisha u are the best wakati sivyo mbali na kwamba ni kweli mkoa wenu ulipaswa kuwa mbali sana kimaendeleo

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Walibanwa kwa makusudi hili warudi nyuma kimaendeleo vinginevyo wangekuwa mbali ndio maana safu zote za uongozi walikuwa/wanaendelea kuchagua wanazi wapadidimize. Ndio maana data za kusema ni mkoa maskini sana zinakataliwa. Kwa sasa hakuna nyumba za tembe. Na wameihimalisha kwa chakula na kingine kinasafirishwa kwenda nje, najua hutaki lakini ndio ukweli yaani
 
duh bwashe hata kuwe
Wana Jf

Nimefanya ziara ya kiutafiti wa sehemu inayoweza kustawisha zao la kibiashara kwa ubora wa juu. Nilishangazwa kukutana na maendeleo yaliyopo mkoa wa kagera. Hususani nyumba za kifahari ambazo ukikusanya unaweza kupata mji wa Arusha. Nlijiuliza kwanini wahaya hawajengi mji. Kumbe wana jambo Lao.

Jibu, wahaya wanapenda sana kula chakula cha asili, mjini ni kwa ajiri ya wageni, hivyo wameamua kujenga kijijini ili waweze kupumzika bila bughuza. Wahaya wengi wanamiliki wafanyakazi katika mashamba yao, hawana haja ya kuinvest mjini kwani hawapatumii. Anaposhuka uwanjawa ndege au kwenye mabasi, uwahi nyimbani kuchinja majogoo na mbuzi, mjini anaweza fika kununua samaki tu. Kwa sasa walioamua kuwekeza kwenye kilimo cha parachichi, kahawa, vanilla,alizeti ,viazi mviringo na magimbi hawana haja ya kukaa mjini kila siku ni kutoa hela tu, bali wanapenda kukaa vijijini kuhudumia mifugo.

Usije sema hawapendi kwao wao sio kama makabila mengine wanoogopa kujenga vijijini kwa visingizio vya kulogwa au kufanyiwa vibaya ,Nendeni mkaone mijumba yakufa mtu alafu mrudi na hoja nyepesi kuwa awapendi kwai. Bukoba wamenyimwa stand na serikali lakini badowakapigana kujenga vijiji bora. Wamenyimwa uwanja mkubwa wa ndege wakaubadirishia Chato wakati wapanda ndege wengi ni wahaya na wakanda.
Kilichokuwa kinawakwamisha ni ukabila sasa makabila mengi yameingia bukoba kulima na kufanya biashara. Wapo masai kibao wanalinda, wapo wasukuma wanalima mpunga, wapo wachaga wamejenga mabaa kibao, wapo wanyairamba wameajiliwa na wachaga kwenye mabaa. Kila kabila lipo acheni uoga mjooni bukoba kumenoga. Mimi nimetoka njombe kuja kulima vanila karagwe

duhh bwashe hatuangalii majumba makubwa na kifahari bali contribution margin in national economy kama ingekuwa ni majumba ni hakika mngeonekana mko juu.ruvuma haina mahekalu lkn mchango wake ktk pato la taifa uko vzr na kwa kigezo hicho pamoja na kuwa na majumba mazuri yet umaskini umetamalaki.
 
shida ya
Walibanwa kwa makusudi hili warudi nyuma kimaendeleo vinginevyo wangekuwa mbali ndio maana safu zote za uongozi walikuwa/wanaendelea kuchagua wanazi wapadidimize. Ndio maana data za kusema ni mkoa maskini sana zinakataliwa. Kwa sasa hakuna nyumba za tembe. Na wameihimalisha kwa chakula na kingine kinasafirishwa kwenda nje, najua hutaki lakini ndio ukweli yaani
bukoba wananchi wake wako ughaibuni na mikoani na wanachokifanya ni kuja kujenga majumba tu huku kijijini lakini yako matupu ukiuliza hili jumba la nani utaambiwa mwenyewe yuko nje sasa utapima uchumi kwa kujenga magofu yanayokaliwa na popo tu wakati shughuri za kiuchumu almost is dull.
 
Dah! Kama alivochukiwa Yesu ndivyo wahaya tunavyochukiwa. Uzuri popote sie tupo na hatubabaiki na korosho zenu. Kinachofurahisha zaidi ni kuona hadi wazaramo eti wanaijua sana kagera, absurd!
 
Back
Top Bottom