Wanaotathimini Umaskini Mkoa wa Kagera waongo. Ukikusanya nyumba zote zilizojengwa mwaka 2015-2021 unapata mji wa Arusha

Wanaotathimini Umaskini Mkoa wa Kagera waongo. Ukikusanya nyumba zote zilizojengwa mwaka 2015-2021 unapata mji wa Arusha

Mgt software chukua rubisi hapo rwamishenye nakuja kulipa. Hiyo ndiyo Kagera na hao ndio wahaya, The great Empire.

Waambie na asiyetaka apasuke.
 
Ndio mkondo ndogo wa kagera. Mbona kibororoni haijabadiri jina, ukitafsiri vibaya imekula kwako
 
Nimeinywa Rock Pub Bukoba tours. Watu hawataki kusikia kabisa mkoa wa kagera umeendelea ,wao wanataka Moshi, mbeya, mwanza, ukitaja tu kagera matusi na mawivu kede kede hata ambaye hajawahi fika lazima aonyeshe wivu tu.
 
Na fact iko hivi, hivi taasisi yetu ya takwimu Tz iko chini ya CHUWA? Chuwa akaipandishe Kagera? Chuwa aipende Kagera?

Sie hatunaga shobo nao na Chuwa wao, ila tunamkaribisha aache chuki na Great Empire. Kila leo analeta data neg juu ya Kagera, why?

Kagera yetu tunaimudu wenyewe na wala hatuitaji kusaidiwa saidiwa na ndo maana kila kabila anayegusa Kagera hatamani tena kurudi kwao alikotoka. Na hilo hata Chuwa mwenyewe analijua japo anapublish fake data kuhusu mkoa wetu
 
Nimeenda 2019 mwezi wa 8. Kuna umasikini. Majengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Muleba yamejengwa kama madarasa ya primary
Sasa wananchi wanaishi halmashauri?

Hiv hujiulizi muleba kuwa na hospital kubwa nne Tena Wala sio za serikali!!

Hujawahi kujiuliza kwa Nini muleba ndo wilaya yenye shule nyingi nchini zaidi ya 290.



Tatizo la wabongo wanafikiri maendeleo ni mijini tu .. na vijijini panapaswa kuwa maskini.


Lakin kagera vijijini ndo Kuna neema zaidi
 
As the gardener so as the garden. Majengo ya Halmashauri yanaakisi kipato cha wananchi na uwezo wao wa kuchangia shughuli za maendeleo. Kwa hiyo uduni wa miundombinu ya Halmashauri ni Sawa na uduni wa kipato cha wananchi kwenye Halmashauri
Kweli wew unawazia sijui ubongo gani?...
Kweli watanzania tunasafari ndefu..


Kwa hiyo ubora wa majengo ya halmashauri mfano chato yakiwa mazuri inamaana watu wa chato wanamaisha mazuri[emoji23][emoji23][emoji23]


Kijana we huoni wivu kukuta majumba Kama haya vijijini huko muleba
FB_IMG_16344683325064043.jpg
 
Mto Ngono[emoji3] ubadilishwe jina
Wala neno ngono halina maana mbaya kwa kihaya... Sasa watu wabadilishe ili iweje.


Huo mto watu wengi wanalima mpunga na kupiga hela we Baki na umaskini wako
 
Umesema ukweli ila kuitaja Arusha hutashambuliwa na wamasai. utashambuliwa kama kwamba umeutaja mkoa wa hapo jirani na Arusha.
Kwanin huko arusha napo hamna vijijin? Nako si kuna majumba mazur pia! Huo mji wa jiran unaosema ni upi? Moshi? Hivi ushawah kutembelea vijiji vya kilimanjaro? embu panda huko machame kibosho, kirua, marangu nenda mpaka rombo mpakan! Ukitoka huko panda milima ya uparen nenda ugweno, usangi . Kisangara juu nenda mpaka kilomen! .toka hapo nenda same pandisha dido , nenda mbaga,chome gonja, mpaka mamba, hko kote kuna nyumba za kisasa mengine makasri wanaish popo! Yanafunguliwa mwez desemba tu! Pia most of hayo majumba wameajiriwa watu kama ww kuish tu humo na mshahara wanalipwa! Bill za maji,simu na umeme wanalipa wenye majengo! Hayo yanapatikana kilimanjaro tu! Bukoba yapo hayo?
 
Kweli wew unawazia sijui ubongo gani?...
Kweli watanzania tunasafari ndefu..


Kwa hiyo ubora wa majengo ya halmashauri mfano chato yakiwa mazuri inamaana watu wa chato wanamaisha mazuri[emoji23][emoji23][emoji23]


Kijana we huoni wivu kukuta majumba Kama haya vijijini huko mulebaView attachment 1977385
Hapo hakuna nyumba kuna migomba na mboga mboga
 
Fanyeni utalii wa ndani, tembeeni

Arusha majumba ya Kisasa yanateremshwa Moshono, Sakina, kwa Mrefu, Kiserian, Burka, na Chekereni ambapo Leo Rais Samia anaenda leo
Kiseriani round about Nyama ya mbuzi safisana
 
Kwanin huko arusha napo hamna vijijin? Nako si kuna majumba mazur pia! Huo mji wa jiran unaosema ni upi? Moshi? Hivi ushawah kutembelea vijiji vya kilimanjaro? embu panda huko machame kibosho, kirua, marangu nenda mpaka rombo mpakan! Ukitoka huko panda milima ya uparen nenda ugweno, usangi . Kisangara juu nenda mpaka kilomen! .toka hapo nenda same pandisha dido , nenda mbaga,chome gonja, mpaka mamba, hko kote kuna nyumba za kisasa mengine makasri wanaish popo! Yanafunguliwa mwez desemba tu! Pia most of hayo majumba wameajiriwa watu kama ww kuish tu humo na mshahara wanalipwa! Bill za maji,simu na umeme wanalipa wenye majengo! Hayo yanapatikana kilimanjaro tu! Bukoba yapo hayo?
Nilimaanisha mkoa wa Manyara ila kama umejaa na Kilimanjaro saidieni wilaya ya Rombo waache ulevi.
 
Na fact iko hivi, hivi taasisi yetu ya takwimu Tz iko chini ya CHUWA? Chuwa akaipandishe Kagera? Chuwa aipende Kagera?

Sie hatunaga shobo nao na Chuwa wao, ila tunamkaribisha aache chuki na Great Empire. Kila leo analeta data neg juu ya Kagera, why?

Kagera yetu tunaimudu wenyewe na wala hatuitaji kusaidiwa saidiwa na ndo maana kila kabila anayegusa Kagera hatamani tena kurudi kwao alikotoka. Na hilo hata Chuwa mwenyewe analijua japo anapublish fake data kuhusu mkoa wetu
Kuanzia kyamirwa, izimbya, mpaka kyaka wasukuma wapo kibao wanalima mchele, sikuwahi kujua kagera kunastawi kila kitu aisee. Yahani Great Empire isipofanyiwa wivu mpaka miaka mitano ijayo wahaya watakuwa mbali sana. Vijana kwa sasa halali. Kila fursa wanaiona. Ukienda gulio kutana maajabu ya mbona mboga zilivyojazana hadi wanazimwaga kwa kukosa soko. Wasipohujumiwa kwenye vanila huu mkoa utaenda mbali sana. Ila nimegundua wafanyabiashara wanapanga bei na mkuu wa mkoa anawaangalia tu. Ikiwezekana kila mkoa mkuu wa mkoa awe anatoka maeneo husika hayo ndiyo maendeleo, sasa unachukua mkuu wa mkoa toka lindi atapapenda vipi huko. Wataendeleza mawivu tu kudidimiza mkoa
 
Kweli wew unawazia sijui ubongo gani?...
Kweli watanzania tunasafari ndefu..


Kwa hiyo ubora wa majengo ya halmashauri mfano chato yakiwa mazuri inamaana watu wa chato wanamaisha mazuri[emoji23][emoji23][emoji23]


Kijana we huoni wivu kukuta majumba Kama haya vijijini huko mulebaView attachment 1977385
Muleba ipi nisiyoijua?
 
Sasa wananchi wanaishi halmashauri?

Hiv hujiulizi muleba kuwa na hospital kubwa nne Tena Wala sio za serikali!!

Hujawahi kujiuliza kwa Nini muleba ndo wilaya yenye shule nyingi nchini zaidi ya 290.



Tatizo la wabongo wanafikiri maendeleo ni mijini tu .. na vijijini panapaswa kuwa maskini.


Lakin kagera vijijini ndo Kuna neema zaidi
Muleba nimetembea pale mjini na vijijini. Changamoto ni nyingi.
 
Muleba nimetembea pale mjini na vijijini. Changamoto ni nyingi.
Inawezekana wewe ndiye DED au Mkuu wa mkoa waliojaa na roho ya kwanini upendi kusikia maendeleo ya watu hawa. Huwezi kutoka kusini ukasema ukweli, utaongozwa na mawivu tuu.
Kipindi cha waamiaji haramu mkoa huu ulipata hasara ya mifugo. Kwa sasa angalau maana ilifikia ukisikia harufu ya maziwa shida. Maana walalo (rwandan) walijaza mifugo mingi, waganda walikuwa wananua kagawa kwa bei ya juu. Lakini roho mbaya ya sirikale ikaondoa watu wa maendeleo kichuki chuki, mifugo mingi iliharibiwa watu waliitegemea kwa mboga na mbolea. Hii ndio nasema roho mbaya ya ubaguzi, ukienda lindi wanyasa kibao ambao hawaingizi chochote, ukienda mtwala, wamakonde kibao hawaingizi chochote, ukienda mara, wakurwa kibao, ukienda arusha masai wa kenya wapo hasara tupu njoo sasa bukoba, vibarua wa kinyarwanda na kirundi waliondolewa. Kwa sasa angalau vibarua wakisukuma wanasaidia
 
Back
Top Bottom