Wanaotathimini Umaskini Mkoa wa Kagera waongo. Ukikusanya nyumba zote zilizojengwa mwaka 2015-2021 unapata mji wa Arusha

Wanaotathimini Umaskini Mkoa wa Kagera waongo. Ukikusanya nyumba zote zilizojengwa mwaka 2015-2021 unapata mji wa Arusha

Usilinganishe kichuguu na mlima wewe
Hivi na nyinyi wapare mmeanza sifa kama ndugu zenu? Yaani wapare wamejijenga wakati picha yenu ni mwanga na same! Sikuhizi mataahira wanaongezeka! Yaani mwanga ukifika utafikiri kijiji gani sijui!
 
Fanyeni utalii wa ndani, tembeeni

Arusha majumba ya Kisasa yanateremshwa Moshono, Sakina, kwa Mrefu, Kiserian, Burka, na Chekereni ambapo Leo Rais Samia anaenda leo
 
Wahaya mna jambo lenu leo. Mnapenda misifa ndiyo maana hamna maendeleo
Kule Kagera ilikuwa zamani kwa kweli siku hizi wako hoi, na kwa kuwa watu wa kule hawapendi muingiliano wa watu wa kabila zingine kwenda kuwafungua macho, na kutokana kasumba ya wao kujiona' nshomile' basi umaskini huko umezidi kuendelea kutamalaki aisee.... .... kaazi kwelikweli.
 
Kule Kagera ilikuwa zamani kwa kweli siku hizi wako hoi, na kwa kuwa watu wa kule hawapendi muingiliano wa watu wa kabila zingine kwenda kuwafungua macho, na kutokana kasumba ya wao kujiona' nshomile' basi umaskini huko umezidi kuendelea kutamalaki aisee.... .... kaazi kwelikweli.
Watu huwa mnashangaza Sana...


Kwa hiyo kagera inarudi nyuma Wala sio mbele[emoji23][emoji23]


Siku hiz Tena kagera Inapiga hatua kwa Kasi kuliko hata zamani
 
Wahaya wana mambo maendeleo hayana siri sasa kujieleza kwa nini. Ukienda upareni na uchagani watu wamejenga vijijini lakini hakuna show off. Tatizo ni kupenda masifa halafu huna cha kuonyesha
Achana na mbege njoo Bukoba ulime vanilla utajirike
 
Kule Kagera ilikuwa zamani kwa kweli siku hizi wako hoi, na kwa kuwa watu wa kule hawapendi muingiliano wa watu wa kabila zingine kwenda kuwafungua macho, na kutokana kasumba ya wao kujiona' nshomile' basi umaskini huko umezidi kuendelea kutamalaki aisee.... .... kaazi kwelikweli.
Sijui unaongea nini, hivi kuna watu wana fitina kama huko Kilimanjaro??
Sura ya Wahaya haipo mjini ipo vijijini njoo ulime vanilla utajirike acha porojo
 
Nimefika Muleba; Pale mjini, Izigo, Nyakanazi, huko mpaka Mahakama ya Mwanzo kule Rushwa, na Kijiji chote cha Rushwa. Hali ni ngumu sana huko
Umeenda mwaka gani? Maendeleo ya ghafla yamechomoza kipindi hiki cha miaka 10.
 
Nilimpeleka dogo juzi chuo cha science kagemu nilipita shule moja inaitwa rugambwa girls aise inamajengo Mazuri sana mie nilidhani University
Sasa ukifika Ihungo ndio balaa. Alafu wanafunzi wanaosoma kule wanarudi wamejazia maana misosi ya haja. Ukienda shule nyingine watoto wanaomba kuhama maana wamekondeana wamebaki kichwa tu.
 
Kagera mkoa wa kimaskini

Sisi njombe tunawakimbiza mbaya sana[emoji1787]
 
Umeenda mwaka gani? Maendeleo ya ghafla yamechomoza kipindi hiki cha miaka 10.
Nimeenda 2019 mwezi wa 8. Kuna umasikini. Majengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Muleba yamejengwa kama madarasa ya primary
 
Much know
Kule Kagera ilikuwa zamani kwa kweli siku hizi wako hoi, na kwa kuwa watu wa kule hawapendi muingiliano wa watu wa kabila zingine kwenda kuwafungua macho, na kutokana kasumba ya wao kujiona' nshomile' basi umaskini huko umezidi kuendelea kutamalaki aisee.... .... kaazi kwelikweli.
 
Nimeenda 2019 mwezi wa 8. Kuna umasikini. Majengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Muleba yamejengwa kama madarasa ya primary
Sasa majengo ya serikali na umaskini wa watu vina huusiano? Serikali iliisusa kagera miaka kufuatia wivu tu. Watu wameamka wanajenga maisha yao wenyewe. Nenda hospitali ya rubya na kagondo uje ulinganishe na mwananyamala au temeke. Nenda ndorage. Wivu wa viongozi umekwamisha miundo mbinu. Kagera hawanywi maji na mifugo kama Arusha. Mito ni mingi na haiko mbali sana. Viwanda vya juice vipo, vya maji vipo kwa sasa kuna tajiri anaprocess kahawa na kuisaga na kupack anapiga mihela hatari. Sasa usisumbuke na majengo ya serikali sumbuka na majengo ya watu na mashamba
 
Sasa majengo ya serikali na umaskini wa watu vina huusiano? Serikali iliisusa kagera miaka kufuatia wivu tu. Watu wameamka wanajenga maisha yao wenyewe. Nenda hospitali ya rubya na kagondo uje ulinganishe na mwananyamala au temeke. Nenda ndorage. Wivu wa viongozi umekwamisha miundo mbinu. Kagera hawanywi maji na mifugo kama Arusha. Mito ni mingi na haiko mbali sana. Viwanda vya juice vipo, vya maji vipo kwa sasa kuna tajiri anaprocess kahawa na kuisaga na kupack anapiga mihela hatari. Sasa usisumbuke na majengo ya serikali sumbuka na majengo ya watu na mashamba
Acheni maneno fanyeni kazi
 
Nimeenda 2019 mwezi wa 8. Kuna umasikini. Majengo ya Halmashauri ya Wilaya ya Muleba yamejengwa kama madarasa ya primary
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo ulitaka wananchi waache kujenga nyumba zao wajenge halmashauri
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo ulitaka wananchi waache kujenga nyumba zao wajenge halmashauri
As the gardener so as the garden. Majengo ya Halmashauri yanaakisi kipato cha wananchi na uwezo wao wa kuchangia shughuli za maendeleo. Kwa hiyo uduni wa miundombinu ya Halmashauri ni Sawa na uduni wa kipato cha wananchi kwenye Halmashauri
 
Back
Top Bottom