mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
- Thread starter
- #21
Biashara hiyo siku hizi inafanywa na wote, wauza nyama wapo wengi hata wasanii wapo wauza nyamaMmasifa wabaya lakini dada zeny buguruni ndo wanasifika KWA ile biashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara hiyo siku hizi inafanywa na wote, wauza nyama wapo wengi hata wasanii wapo wauza nyamaMmasifa wabaya lakini dada zeny buguruni ndo wanasifika KWA ile biashara
C watamu ndio maana wana soko 😀😀😀Mmasifa wabaya lakini dada zeny buguruni ndo wanasifika KWA ile biashara
Tatizo mkiongelea maendeleo ya bukoba mnakimbilia kwenye ngono, njoo na takwimu za maendeleo. Kwani wanaoleta maendeleo ni wanaume au wakina mama, au hata wakina baba anauza?[emoji1][emoji1]Nshomile wanaojiuza.
Sasa wameongeza vingine, vanilla umewavusha sana. Lakini wewe bado umejikita kwenye ngono zembe kuliko maendeleo ya sehemu hiyo.Maendeleo sina hakika nahakika ya
miguu,senene,katerero na majivuni!!
Wahaya gan hawana maendeleo?Wahaya mna jambo lenu leo. Mnapenda misifa ndiyo maana hamna maendeleo
Watu wanazidi kutoa ushuhuda.Huoni kwamba wewe mhaya ndio unapiga sound tuu hapa.
Yaani nyumba za mkoa 1 zinatoshana na nyumba za Jiji Zima, kweli huko kimejaa mafukara aisee
Wahaya nyie ni sound tuu hamna kitu hapoWatu wanazidi kutoa ushuhuda.
Utakufa na stress mkuu ukichukia Kanda ya ziwa...
Narudia Tena .Nimetembea Tanzania sijawahi ona vijiji vyenye makazi Bora Kama kagera hasa uhayani
Nimefika Muleba; Pale mjini, Izigo, Nyakanazi, huko mpaka Mahakama ya Mwanzo kule Rushwa, na Kijiji chote cha Rushwa. Hali ni ngumu sana hukoWahaya gan hawana maendeleo?
Hiv ulishawahi fika vijijini huko kagera
Hiyo muleba Kuna vijiji vimefikiwa na lami kabisa Kama Rubya, buganguzi na kamachumu na Wala sio barabara kuuNimefika Muleba; Pale mjini, Izigo, Nyakanazi, huko mpaka Mahakama ya Mwanzo kule Rushwa, na Kijiji chote cha Rushwa. Hali ni ngumu sana huko
Wana Jf
Nimefanya ziara ya kiutafiti wa sehemu inayoweza kustawisha zao la kibiashara kwa ubora wa juu. Nilishangazwa kukutana na maendeleo yaliyopo mkoa wa kagera. Hususani nyumba za kifahari ambazo ukikusanya unaweza kupata mji wa Arusha. Nlijiuliza kwanini wahaya hawajengi mji. Kumbe wana jambo Lao.
Jibu, wahaya wanapenda sana kula chakula cha asili, mjini ni kwa ajiri ya wageni, hivyo wameamua kujenga kijijini ili waweze kupumzika bila bughuza. Wahaya wengi wanamiliki wafanyakazi katika mashamba yao, hawana haja ya kuinvest mjini kwani hawapatumii. Anaposhuka uwanjawa ndege au kwenye mabasi, uwahi nyimbani kuchinja majogoo na mbuzi, mjini anaweza fika kununua samaki tu. Kwa sasa walioamua kuwekeza kwenye kilimo cha parachichi, kahawa, vanilla,alizeti ,viazi mviringo na magimbi hawana haja ya kukaa mjini kila siku ni kutoa hela tu, bali wanapenda kukaa vijijini kuhudumia mifugo.
Usije sema hawapendi kwao wao sio kama makabila mengine wanoogopa kujenga vijijini kwa visingizio vya kulogwa au kufanyiwa vibaya ,Nendeni mkaone mijumba yakufa mtu alafu mrudi na hoja nyepesi kuwa awapendi kwai. Bukoba wamenyimwa stand na serikali lakini badowakapigana kujenga vijiji bora. Wamenyimwa uwanja mkubwa wa ndege wakaubadirishia Chato wakati wapanda ndege wengi ni wahaya na wakanda.
Kilichokuwa kinawakwamisha ni ukabila sasa makabila mengi yameingia bukoba kulima na kufanya biashara. Wapo masai kibao wanalinda, wapo wasukuma wanalima mpunga, wapo wachaga wamejenga mabaa kibao, wapo wanyairamba wameajiliwa na wachaga kwenye mabaa. Kila kabila lipo acheni uoga mjooni bukoba kumenoga. Mimi nimetoka njombe kuja kulima vanila karagwe
View attachment 1976449
Hapana. Usiliangalie kwa angle hiyo. Munatumia nguvu sana kutuaminisha u are the best wakati sivyo mbali na kwamba ni kweli mkoa wenu ulipaswa kuwa mbali sana kimaendeleoTatizo watu waliingiza chuki kutokana ujenzi wa chuki hizi kutoka kwa watangulize, chuki ilienezwa sana kiasi kwamba kabila hili hata lifanye nini litapingwa tu. Akifanya malinga, mchaga, masahi hapo poa.
Na hapo ndo naposhangaa. Yaan umeme wameona ni big deal tena juzi kati hapo. Sisi tunaonaga kawaida sana. Ndo maana hata majumba tunaonaga kama ushamba kuyapost. Ya nn.Wahaya wana mambo maendeleo hayana siri sasa kujieleza kwa nini. Ukienda upareni na uchagani watu wamejenga vijijini lakini hakuna show off. Tatizo ni kupenda masifa halafu huna cha kuonyesha
Watu wanaongelea vijiji wew unaongelea miji .Wahaya misifa tu lakini maendeleo wanazidiwa na mji mdogo kama Tarime kwa wakurya vitha ni vitha muraa, tarime kumechangamka hatari sana
Nishakwambia wahaya hawana habari ya kujenga miji, wao huwa wanakuja kupumzika kwa kuwa hawataki kelele za mijini wala stress, angalau mke akikukasirisha inamtafuta mfugo mmoja unaupa kibano hasira zinaishia hapo. Njoo njini ukipiga tu kelele watu mia washazingira.Wahaya misifa tu lakini maendeleo wanazidiwa na mji mdogo kama Tarime kwa wakurya vitha ni vitha muraa, tarime kumechangamka hatari sana
Usilinganishe kichuguu na mlima weweWahaya wana mambo maendeleo hayana siri sasa kujieleza kwa nini. Ukienda upareni na uchagani watu wamejenga vijijini lakini hakuna show off. Tatizo ni kupenda masifa halafu huna cha kuonyesha