The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,773
- 1,660
Chukua maji ya baridi unywe utapona hicho kinachokusumbuaWewe una utani na Wahaya!
Wanakagera kumbukeni kwenu, hakuna cha maana, mkiwa miji ya wengine mnajitapa lakini fika wilaya za mkoa wa Kagera yaani utaona aibu
Humu jf kila mtu anapafahamu vzr kagera....Wewe una utani na Wahaya!
Wanakagera kumbukeni kwenu, hakuna cha maana, mkiwa miji ya wengine mnajitapa lakini fika wilaya za mkoa wa Kagera yaani utaona aibu
Kama hujui kwamba Halmashauri hufanya maendeleo kwa fedha za mapato kutoka kwa wananchi, basi, jichunguzeni; tatizo la umasikini Kagera linaanzia hapo.[emoji23][emoji23] sijui mkuu una stress!! Kwa hiyo wananchi ndo wanajenga majengo ya halmashauri???? Hiki nacho kituko cha kufunga mwaka. Kuna halmashauri mpya zimejengwa na serikali majengo mazuri lakini ni maskini. Tumia hata robo ya ubongo wako bas kufikiri
Mnaringa mno ndiyo maana kila siku Kagera Wahaya Kagera Bukoba πHumu jf kila mtu anapafahamu vzr kagera....
Yaan asilimia 90 wanaifahamu kagera [emoji23][emoji23]
Wew kwenu ni wap tuanzie hapa kwanza maana kila siku kagera wahaya kagera bukoba!!!
Wakati hata sisi tupo mikoa ya watu huku na tunayoyaona yanasikitisha sana.....Tena vijijini ndo mbaya zaidi
Huwezi force watu wafanane Tabia .. wew ishi na watu kwa kuangalia mazingira..Mnaringa mno ndiyo maana kila siku Kagera Wahaya Kagera Bukoba [emoji3]
Kwamba Halmashauri za Mkoa wa Kagera zipo chini ya Serikali Kuu tofauti na ya Tanzania au?Huwezi force watu wafanane Tabia .. wew ishi na watu kwa kuangalia mazingira..
Maendeleo gani hayo tofauti na huduma za kijamii au kwako jengo la halmashauri ndo utajiri?? Mwananchi anafaidikaje na ghorofa la mkurugenzi au mkuu wa wilaya??? Huekeweki point yako ni ipiKama hujui kwamba Halmashauri hufanya maendeleo kwa fedha za mapato kutoka kwa wananchi, basi, jichunguzeni; tatizo la umasikini Kagera linaanzia hapo.
Huwezi kuelewa kwa sababu uelewa finyu ulionao kuhusu maendeleoMaendeleo gani hayo tofauti na huduma za kijamii au kwako jengo la halmashauri ndo utajiri?? Mwananchi anafaidikaje na ghorofa la mkurugenzi au mkuu wa wilaya??? Huekeweki point yako ni ipi
Inaonekana kichwa chako kimevurugwa hujui lolote ndo maana unasema maendeleo ni majengo ya halmashauriHuwezi kuelewa kwa sababu uelewa finyu ulionao kuhusu maendeleo
Punguza hasira mkuu, vijiji vya Kagera vimejengwa na Wahaya na wanyamboMpuuzi kwani Kagera yote wakaazi ni Wahaya tu?...Mshukuruni Nyerere mngekuwa Waganda sasa hivi...ingewafaa kuungana na ndugu zenu..msanii mkubwa anaitwa chameleon [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani kuna sehemu nimewataja au nimetaja KageraMpuuzi kwani Kagera yote wakaazi ni Wahaya tu?...Mshukuruni Nyerere mngekuwa Waganda sasa hivi...ingewafaa kuungana na ndugu zenu..msanii mkubwa anaitwa chameleon πππππ
Walibanwa kwa makusudi hili warudi nyuma kimaendeleo vinginevyo wangekuwa mbali ndio maana safu zote za uongozi walikuwa/wanaendelea kuchagua wanazi wapadidimize. Ndio maana data za kusema ni mkoa maskini sana zinakataliwa. Kwa sasa hakuna nyumba za tembe. Na wameihimalisha kwa chakula na kingine kinasafirishwa kwenda nje, najua hutaki lakini ndio ukweli yaaniHapana. Usiliangalie kwa angle hiyo. Munatumia nguvu sana kutuaminisha u are the best wakati sivyo mbali na kwamba ni kweli mkoa wenu ulipaswa kuwa mbali sana kimaendeleo
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Wana Jf
Nimefanya ziara ya kiutafiti wa sehemu inayoweza kustawisha zao la kibiashara kwa ubora wa juu. Nilishangazwa kukutana na maendeleo yaliyopo mkoa wa kagera. Hususani nyumba za kifahari ambazo ukikusanya unaweza kupata mji wa Arusha. Nlijiuliza kwanini wahaya hawajengi mji. Kumbe wana jambo Lao.
Jibu, wahaya wanapenda sana kula chakula cha asili, mjini ni kwa ajiri ya wageni, hivyo wameamua kujenga kijijini ili waweze kupumzika bila bughuza. Wahaya wengi wanamiliki wafanyakazi katika mashamba yao, hawana haja ya kuinvest mjini kwani hawapatumii. Anaposhuka uwanjawa ndege au kwenye mabasi, uwahi nyimbani kuchinja majogoo na mbuzi, mjini anaweza fika kununua samaki tu. Kwa sasa walioamua kuwekeza kwenye kilimo cha parachichi, kahawa, vanilla,alizeti ,viazi mviringo na magimbi hawana haja ya kukaa mjini kila siku ni kutoa hela tu, bali wanapenda kukaa vijijini kuhudumia mifugo.
Usije sema hawapendi kwao wao sio kama makabila mengine wanoogopa kujenga vijijini kwa visingizio vya kulogwa au kufanyiwa vibaya ,Nendeni mkaone mijumba yakufa mtu alafu mrudi na hoja nyepesi kuwa awapendi kwai. Bukoba wamenyimwa stand na serikali lakini badowakapigana kujenga vijiji bora. Wamenyimwa uwanja mkubwa wa ndege wakaubadirishia Chato wakati wapanda ndege wengi ni wahaya na wakanda.
Kilichokuwa kinawakwamisha ni ukabila sasa makabila mengi yameingia bukoba kulima na kufanya biashara. Wapo masai kibao wanalinda, wapo wasukuma wanalima mpunga, wapo wachaga wamejenga mabaa kibao, wapo wanyairamba wameajiliwa na wachaga kwenye mabaa. Kila kabila lipo acheni uoga mjooni bukoba kumenoga. Mimi nimetoka njombe kuja kulima vanila karagwe
bukoba wananchi wake wako ughaibuni na mikoani na wanachokifanya ni kuja kujenga majumba tu huku kijijini lakini yako matupu ukiuliza hili jumba la nani utaambiwa mwenyewe yuko nje sasa utapima uchumi kwa kujenga magofu yanayokaliwa na popo tu wakati shughuri za kiuchumu almost is dull.Walibanwa kwa makusudi hili warudi nyuma kimaendeleo vinginevyo wangekuwa mbali ndio maana safu zote za uongozi walikuwa/wanaendelea kuchagua wanazi wapadidimize. Ndio maana data za kusema ni mkoa maskini sana zinakataliwa. Kwa sasa hakuna nyumba za tembe. Na wameihimalisha kwa chakula na kingine kinasafirishwa kwenda nje, najua hutaki lakini ndio ukweli yaani
wahaya ni wapenda sifa tu lakini hawana loloteNenda njiro na Mererani halafu urudi hapa,usibwabwaje tuu,ni hivi huko kati kai ya miji hakuna majumba makali kama pembezini maana kupata kiwanja ni ishu nyingine.
Wewe ni mpenda nini? Una mini?wahaya ni wapenda sifa tu lakini hawana lolote