Wanaotetea Sakata la mkataba wa bandari hawana tofauti na waliokanusha kifo cha rais enzi zile ilikuwa hivi hivi!
Wengine walikwenda mbali zaidi wakidai wameongea nae kwa simu asubuhi kawaambia wachape kazi yuko mzima!
Watu walizidi kuhoji rais wetu yuko wapi walijibiwa yupo chato anawageni kutoka inje!
Ni ishara mbaya sana kuwa na viongozi waongo! Zamani kiongozi kudanganya hadharani ilikuwa ni aibu na fedheha,
Sasa hivi inataka kuonekana ni kawaida kuwa muongo muongo!
Madhara ya uongo huondoa imani kwa wananchi, kuna Leo na kesho serikali mathalani italeta jambo la kitaifa mfano; chanjo, itakuwa ni vigumu sana kuaminika kwamba ni chanjo salama!
Viongozi wakiwa waongo tunaunda jamii ya waongo inamaana hata watumishi wataiga uongo na huenda hata itapenya hadi kwenye familia na ndoa zitazidi kuvunjika kwa uongo uongo unaogeuzwa tabia!
Kesho Rais akitangaza kwamba mkataba wa bandari haujakaa sawa! Watu walewale watarudi kusema ni kweli hauko sawa!
Ifike mahala tuanzishe kampeni ya kukataa kuongozwa na wahuni wahuni!
Eti tumefikia hatua Hoja za mkataba wa bandari ufafanuzi unatolewa na DP world! Kwamba tusiwe na wasiwasi!
Cha ajabu kuliko vyote!
Wanasheria nguli wanachambua vipengere vya mkataba lakini wanaotakiwa kutoa majibu wanaeleza kwa hisia!
Kwanini hisia waliyo nayo isiwe hasi na chanya?
Wale wale waliokanusha kifo cha Rais mpendwa ndiyo wale wale wanaokanusha kwamba mkataba siyo mbovu
Wengine walikwenda mbali zaidi wakidai wameongea nae kwa simu asubuhi kawaambia wachape kazi yuko mzima!
Watu walizidi kuhoji rais wetu yuko wapi walijibiwa yupo chato anawageni kutoka inje!
Ni ishara mbaya sana kuwa na viongozi waongo! Zamani kiongozi kudanganya hadharani ilikuwa ni aibu na fedheha,
Sasa hivi inataka kuonekana ni kawaida kuwa muongo muongo!
Madhara ya uongo huondoa imani kwa wananchi, kuna Leo na kesho serikali mathalani italeta jambo la kitaifa mfano; chanjo, itakuwa ni vigumu sana kuaminika kwamba ni chanjo salama!
Viongozi wakiwa waongo tunaunda jamii ya waongo inamaana hata watumishi wataiga uongo na huenda hata itapenya hadi kwenye familia na ndoa zitazidi kuvunjika kwa uongo uongo unaogeuzwa tabia!
Kesho Rais akitangaza kwamba mkataba wa bandari haujakaa sawa! Watu walewale watarudi kusema ni kweli hauko sawa!
Ifike mahala tuanzishe kampeni ya kukataa kuongozwa na wahuni wahuni!
Eti tumefikia hatua Hoja za mkataba wa bandari ufafanuzi unatolewa na DP world! Kwamba tusiwe na wasiwasi!
Cha ajabu kuliko vyote!
Wanasheria nguli wanachambua vipengere vya mkataba lakini wanaotakiwa kutoa majibu wanaeleza kwa hisia!
Kwanini hisia waliyo nayo isiwe hasi na chanya?
Wale wale waliokanusha kifo cha Rais mpendwa ndiyo wale wale wanaokanusha kwamba mkataba siyo mbovu