Eti maslahi mapana, ujuaji mwingi alaf kichwani empty setNi heri kupoteza m1 kuliko kupoteza wengi kutokana na ulimi wa huyo m1.
ONE FOR THE ALL.
#MASLAHIMAPANAYATAIFA.
Waliokuwa wakidhani wanashikilia maslahi mapana ya taifa. Wako wapi leo ?! 6ft under . Ua mwananchi mwenziyo kama wewe utaishi milele. Lakini kwa maisha haya mafupi ni kujichumia dhambi na janga juu yake.Ni heri kupoteza m1 kuliko kupoteza wengi kutokana na ulimi wa huyo m1.
ONE FOR THE ALL.
#MASLAHIMAPANAYATAIFA.
Yaani nawe ni hovyo sikujua. Jinai ichunguzwe na Cdm ?! Kama ni umburula wewe unaongoza. Hasara nyingine kwa wazaziKubenea alishasema miaka miwili nyuma huko lkn nyie wanachama wa CHADEMA mmeshindwa kumbana mwenyekiti wenu aseme ukweli.
sijapanic, unaniudhi kwa kejeli kwa maisha ya watu wasio na hatia. nilitegema sympathy kutoka kwako kuona ukweli na uutetee! I regret anyway!Mbona umepanik mzee???View attachment 2077246
Umepanic kwanini ?!Pumbavu, pumbavu kabisa una ushahidi?
Mbowe ni chombo gani cha dola ?!.We pimbi mla panya, mbona hauhoji Mbowe kukaa kimya?
Sasa watafunguaje file wakati wao ndio waliofanya hilo tukio?Ila jeshi letu la polisi la hovyo sana. Si ajabu mpaka leo wala hakuna file linalohusu uchunguzi wa kupotea kwa Ben wala kupigwa risasi Tundu Lissu.
Jaduong tumia lugha ya staha hata kama umechukiaMbowe ni chombo gani cha dola ?!.
Walamba matako mnatia huruma kwa kukosa hata hoja. Hivi watu kama nyie mlifuata nini shule ?!
Paul Makonda au Daudi Bashite alikuwa ndiye Maliyamungu wa Magufuli. Hakuna mauaji, utesaji na utekaji ambao Makonda hajahusika. Hata kwenye mwenendo wa kesi ya Sabaya nakumbuka ametajwa.Kama ametambuliwa na watuhumiwa wanaodai kuteswa na kisha kupigwa lakini wakamkumbuka vizuri kwa sura huyu Jumanne Malangahe kuwa ni mhusika wa kuteka watu na kwamba alimteka Ben Saanane na Hata pia Erick Kabendela, huu ndio wakati wa kumkamata na kumpeleka mahakamani.
Mambo mengi yatakaa sawa na ukweli utajulikana.View attachment 2077136
Tulia we pimbi na ujiheshimuMbowe ni chombo gani cha dola ?!.
Walamba matako mnatia huruma kwa kukosa hata hoja. Hivi watu kama nyie mlifuata nini shule ?!
Huyo jamaa anafanya matani na maisha ya watu, holyoake kabisa . Haya mambo tunaendanayo wapi ?!Jaduong tumia lugha ya staha hata kama umechukia
Unaomba heshima wakati wewe umejaa dharau ?!Tulia we pimbi na ujiheshimu
Haki ya nani watu mnajua kutukana! Haki nimechekaaaa!!Wazazi wako waliuza mbuzi ili kusomesha mbuzi ingine ambaye ni wewe
Kubenea alishasema miaka miwili nyuma huko lkn nyie wanachama wa CHADEMA mmeshindwa kumbana mwenyekiti wenu aseme ukweli.
Yaani nawe ni hovyo sikujua. Jinai ichunguzwe na Cdm ?! Kama ni umburula wewe unaongoza. Hasara nyingine kwa wazazi
Hiii ndio ilifanya nikujibu 👇👇Nilijubu nini mzee?? Rudia angalia tena.
Utadhani binadamu kweli.Huyu hapa JumanneView attachment 2077215
Hiyo ni kazi ya polisi sio ya wanachadema, nahisi wewe ni mhusika mkuu na ndiomaana unajitoa akili namna hiyoKubenea alishasema miaka miwili nyuma huko lkn nyie wanachama wa CHADEMA mmeshindwa kumbana mwenyekiti wenu aseme ukweli.
Alafu Bado anapumua huyo?Mambo yanazua Mambo.View attachment 2077148