Wanaouliza eti Benja mbona hafi kishujaa kama wengine. Kwanza: Ushahidi huu hapa alipokuwa jeshini. Pili: Mnaoita mashujaa ni magaidi na matapeli

Wanaouliza eti Benja mbona hafi kishujaa kama wengine. Kwanza: Ushahidi huu hapa alipokuwa jeshini. Pili: Mnaoita mashujaa ni magaidi na matapeli

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
SOURCE BBC: Benjamin Netanyahu, Israel's defiant leader
20241018_194624.jpg

"Katika umri wa miaka 18, alirudi Israeli, ambapo alitumia miaka mitano mashuhuri katika jeshi, akihudumu kama nahodha katika kitengo cha makomandoo wasomi, Sayeret Matkal. Alijeruhiwa katika uvamizi wa ndege ya Ubelgiji iliyotekwa nyara na wanamgambo wa Kipalestina ambayo ilitua Israel mwaka 1972, na kupigana katika vita vya Mashariki ya Kati vya 1973.

Image caption: Netanyahu (kulia) alikuwa nahodha wa kikosi cha makomandoo cha Sayeret Matkal.

Screenshot_20241019-065531.png

Mnamo 1976, kakake Bw Netanyahu, Jonathan, aliuawa akiongoza msako wa kuwaokoa mateka kutoka kwa ndege iliyotekwa nyara huko Entebbe, Uganda. Kifo chake kilikuwa na athari kubwa kwa familia ya Netanyahu.

Netanyahu alianzisha taasisi ya kupambana na ugaidi katika kumbukumbu ya kaka yake na mwaka 1982 akawa naibu mkuu wa ujumbe wa Israel mjini Washington"

MASHUJAA WENU:
20241018_092630.jpg
Wanapotea kwa maana ni haki yao kupotea. Wamesababisha vifo vya watu wengi kutokana na itikadi zao za kitapeli tapeli.
 
Mkulima wa mwani huko Kibandamaiti akimtweza Netanyahu captain wa kikosi cha makomandoo hatari Israeli! Netanyahu the longest serving prime minister in Israel history anakejeliwa na muuza vibua kwa Bibi Nyau! Ha ha ha; dunia haiishi vituko!
Kwamba kuuza mwani na vibua ni kazi za kishenzi? Kwamba ushujaa ni kuuza silaha za kivita na mabomu kwa njia ya reja reja? Kwamba meza za wauza pweza na ngisi zilipaswa ziuzie mabomu na makombora ili kurahisishia wateja wasifuate silaha hizo kwenye maduka rasmi?
 
SOURCE BBC: Benjamin Netanyahu, Israel's defiant leader
View attachment 3129371

"Katika umri wa miaka 18, alirudi Israeli, ambapo alitumia miaka mitano mashuhuri katika jeshi, akihudumu kama nahodha katika kitengo cha makomandoo wasomi, Sayeret Matkal. Alijeruhiwa katika uvamizi wa ndege ya Ubelgiji iliyotekwa nyara na wanamgambo wa Kipalestina ambayo ilitua Israel mwaka 1972, na kupigana katika vita vya Mashariki ya Kati vya 1973.

Image caption: Netanyahu (kulia) alikuwa nahodha wa kikosi cha makomandoo cha Sayeret Matkal.
View attachment 3129383

Mnamo 1976, kakake Bw Netanyahu, Jonathan, aliuawa akiongoza msako wa kuwaokoa mateka kutoka kwa ndege iliyotekwa nyara huko Entebbe, Uganda. Kifo chake kilikuwa na athari kubwa kwa familia ya Netanyahu.

Netanyahu alianzisha taasisi ya kupambana na ugaidi katika kumbukumbu ya kaka yake na mwaka 1982 akawa naibu mkuu wa ujumbe wa Israel mjini Washington"

MASHUJAA WENU:
View attachment 3129384

Wanapotea kwa maana ni haki yao kupotea. Wamesababisha vifo vya watu wengi kutokana na itikadi zao za kitapeli tapeli.
Adiosamigo Ritz Sir John Roberts MWAMBA HUYU HAPA.
 
Kumbe ni mwamba hivo,hongera kwake
Tena sio yeye tu. Familia yao 3 brothers wote walikuwa commandos wa Matkal, hicho kikosi ni kama Seal Team kwa 6 kwa Marekani. Kaka yake alifia Entebe walipokuja kuokoa mateka wakati wa Idi Amin. Ndio maana wakiwaambia wananchi twende vitani, ni rahisi kueleweka. They know war, na wamelipa gharama.

Lile taifa ni jeshi lenye nchi, sio nchi yenye jeshi 😂😂😂

Ehud Barak former prime minister yeye naye alikuwa kikosi hicho hicho... Mission zake ni noma kuliko hata Netanyahu
 
Back
Top Bottom