Uchaguzi 2020 Wanaovaa nguo za CCM kwenye mkutano wa Kampeni kwanini baada ya mkutano huzivua kabla ya kurejea makwao?

Uchaguzi 2020 Wanaovaa nguo za CCM kwenye mkutano wa Kampeni kwanini baada ya mkutano huzivua kabla ya kurejea makwao?

Kitu cha ajabu zaidi ni kwamba mkutano wa CCM asilimia kubwa wanaoenda pale unakuta wamevaa nguo za CCM. Tafakari
 
Kitu cha ajabu zaidi ni kwamba mkutano wa CCM asilimia kubwa wanaoenda pale unakuta wamevaa nguo za CCM. Tafakari
Wengi wao huzivaa juu ya nguo zingine za kawaida,mkutano ukiisha wanavua na kutupa huko.au wengine wanaziweka kwenye mifuko baada ya mkutano wakadekie.
 
Mikutano mingi ya Chama cha Mapinduzi inapomalizika eneo la tukio watu wenye uniform za chama upotea au kuzibadilisha na hivyo kutoonekana wakiwa wamezivaa kurejea makwao.

Miaka ya nyuma mtaani watu walikua wanaona fahari kuzivaa kuanzia bodaboda, mama ntilie, wajumbe na watu wengine. Ilikuwa sawa na mchuano wa Simba na yanga panapotoa droo ambapo kila mmoja uvaa jezi kwenda nayo hata bar au maskani.

Ni kweli kwamba Hawa wanaovaa hizi nguo wanavaa kwakuzipenda au wanavalishwa? Kama wanavalishwa kwanini wanaowavalisha wasiwape masharti ya kwenda nazo nyumbani bila kuzivua?

Hata bodaboda wenye bendera au hata kofia mtaani ambao ni wana CCM wanakosekana? Afadhali vyama vingine ambavyo wapenzi wao watasema wanawindwa na dola, CCM kwanini mmekosa imani na nguo zenu?

Mtu kama anaogopa kuvaa jezi mtaani kwake unamtenganishaje na msaliti? LIPO TATIZO SEHEMU, TULIKOSEA
Mi bado nimeivaa nguo ya ccm na nimelala nimeivaa we nani ujifanye kuwasemea watu? mbuzi we!
 
Mikutano mingi ya Chama cha Mapinduzi inapomalizika eneo la tukio watu wenye uniform za chama upotea au kuzibadilisha na hivyo kutoonekana wakiwa wamezivaa kurejea makwao.

Miaka ya nyuma mtaani watu walikua wanaona fahari kuzivaa kuanzia bodaboda, mama ntilie, wajumbe na watu wengine. Ilikuwa sawa na mchuano wa Simba na yanga panapotoa droo ambapo kila mmoja uvaa jezi kwenda nayo hata bar au maskani.

Ni kweli kwamba Hawa wanaovaa hizi nguo wanavaa kwakuzipenda au wanavalishwa? Kama wanavalishwa kwanini wanaowavalisha wasiwape masharti ya kwenda nazo nyumbani bila kuzivua?

Hata bodaboda wenye bendera au hata kofia mtaani ambao ni wana CCM wanakosekana? Afadhali vyama vingine ambavyo wapenzi wao watasema wanawindwa na dola, CCM kwanini mmekosa imani na nguo zenu?

Mtu kama anaogopa kuvaa jezi mtaani kwake unamtenganishaje na msaliti? LIPO TATIZO SEHEMU, TULIKOSEA
Wengi wao ni wanafunzi nguo hizo hugawiwa na kutakiwa kuzirejesha baada ya mkutano, ukiangalia staili yao ya ushangiliaji utamuona kiongozi wao akiwaelekeza jinsi ya kuanza na kumaliza. Inawezekana hawa ni wale wa tarehe 27 Unguja na 28 vituo hewa.
 
Mimi pia nilikutana na kiongozi mmoja wa Chadema ambaye tulikuwa wote mahali nikamuuliza kwa mshangao je, na wewe uko huku? Akanijibu kuwa anaganga njaa kwenye opportunities na kwamba wapo wengi huko...akasema hawezi kumpa kura kibaraka na mpenda ushoga..tehteh
Huyo aliyetaka "Sugu amsugue "Mbeya unamweka kundi gani? ama "aliyechokonolewa "na Gambo Arusha?
 
Mikutano mingi ya Chama cha Mapinduzi inapomalizika eneo la tukio watu wenye uniform za chama upotea au kuzibadilisha na hivyo kutoonekana wakiwa wamezivaa kurejea makwao.

Miaka ya nyuma mtaani watu walikua wanaona fahari kuzivaa kuanzia bodaboda, mama ntilie, wajumbe na watu wengine. Ilikuwa sawa na mchuano wa Simba na yanga panapotoa droo ambapo kila mmoja uvaa jezi kwenda nayo hata bar au maskani.

Ni kweli kwamba Hawa wanaovaa hizi nguo wanavaa kwakuzipenda au wanavalishwa? Kama wanavalishwa kwanini wanaowavalisha wasiwape masharti ya kwenda nazo nyumbani bila kuzivua?

Hata bodaboda wenye bendera au hata kofia mtaani ambao ni wana CCM wanakosekana? Afadhali vyama vingine ambavyo wapenzi wao watasema wanawindwa na dola, CCM kwanini mmekosa imani na nguo zenu?

Mtu kama anaogopa kuvaa jezi mtaani kwake unamtenganishaje na msaliti? LIPO TATIZO SEHEMU, TULIKOSEA
Wanaenda kwenye mikutano kwasababu wanatembezewa buku 5 tano kutokana matawini, kwenye kura sasa hahaha
Wajumbe si watu wazuri.....
 
Mleta mada ndio maana huolewi umebaki nungayembe mwongo mkubwa wewe kwa hiyo hizo nguo huwa wanavua mkutanoni na kurudi uchi au?

Wewe kuolewa sio rahisi
Mkuu mheshimu mke wangu tafadhali.
 
Hii ni sawa na madreva wa magari makubwa kila gari utaona lina bendera ya ccm unadhani ni upendo huo?? tafakari
Jana nikiwa Ubungo bus terminal pale DSM niliona tanker moja ikielekea mkoani ikiwa imejaza kofia mpya za CCM kwenye DASH BOARD yake, nikashangaa !!
 
Mikutano mingi ya Chama cha Mapinduzi inapomalizika eneo la tukio watu wenye uniform za chama upotea au kuzibadilisha na hivyo kutoonekana wakiwa wamezivaa kurejea makwao.

Miaka ya nyuma mtaani watu walikua wanaona fahari kuzivaa kuanzia bodaboda, mama ntilie, wajumbe na watu wengine. Ilikuwa sawa na mchuano wa Simba na yanga panapotoa droo ambapo kila mmoja uvaa jezi kwenda nayo hata bar au maskani.

Ni kweli kwamba Hawa wanaovaa hizi nguo wanavaa kwakuzipenda au wanavalishwa? Kama wanavalishwa kwanini wanaowavalisha wasiwape masharti ya kwenda nazo nyumbani bila kuzivua?

Hata bodaboda wenye bendera au hata kofia mtaani ambao ni wana CCM wanakosekana? Afadhali vyama vingine ambavyo wapenzi wao watasema wanawindwa na dola, CCM kwanini mmekosa imani na nguo zenu?

Mtu kama anaogopa kuvaa jezi mtaani kwake unamtenganishaje na msaliti? LIPO TATIZO SEHEMU, TULIKOSEA
Kimwili wako CCM kimoyo wako kwingine.
 
Mimi pia nilikutana na kiongozi mmoja wa Chadema ambaye tulikuwa wote mahali nikamuuliza kwa mshangao je, na wewe uko huku? Akanijibu kuwa anaganga njaa kwenye opportunities na kwamba wapo wengi huko...akasema hawezi kumpa kura kibaraka na mpenda ushoga..tehteh
Fiction.
 
mbona huwa anasema hajaolewa? kulikoni?
Kwahiyo kama alishawahi kukwambia hajaolewa ndio umuattack na mameno makali hivyo mkuu? Siasa zisitufanye tuvunjiane utu, tudebate, tushauriane inatosha
 

Attachments

  • IMG_20201023_175912.jpg
    IMG_20201023_175912.jpg
    63.6 KB · Views: 1
Huku Geita nimeshuhudia Watu wakifanya Uniform za CCM kama nishati za kupikia na Maharage yakaiva
 
Back
Top Bottom