Tuanze na hili la kutambua na kuheshimu mipaka ya kila kitu... Penye biashara ifanyike biashara.. Penye eneo la wazi pabaki wazi...penye njia ya waenda kwa miguu pabaki hivyo
ukiwa na familia ndio usifuate sheria? mambo ya kujiita Mnyonge mbele ya watawala ni ujuha wa kiwango cha kuzimu. Waende maeneo yaliyotengwa wakafanye huko biashara hauwezi kuchoma mihogo pale posta tena kwa kuni afu uachwe kisa una familia NOWell Said;
Itapendeza *TARURA/TANROAD wanapojenga Barabara, wasiweke service road , wala peavings , WAWEKE MABANDA PEMBEZONI mwa Barabara zote nchini yakae tu hata kama hakuna wahitaji maana wanyonge wanatakiwa wafanye Biashara Humo!
Hawa watu wana familia, WAACHWE WAFANYE LOLOTE so long as wanapata kipato cha kulisha familia
Pia; Serikali iwache wanyonge wote waliochukua MAENEO YA HIFADHI ZA TAIFA, ni ajabu eti Mtu unaishi Morogoro huna ardhi wakati kuna mbuga ya Mikumi imekaa tu.
Kila mtu aachwe atafute maisha yake, hawa matajiri wao wanaishi, Njiro, Shanty-town, Masaki, Kisota na Uzunguni, Gangilonga hawajui adha ya sisi wanyonge!
'Ulaghai' tu wa wanasiasa no more.Poleni na sekeseke na kuondolewa vibanda vyenu machinga sehemu zilizopo mijini.
Swali nalo jiuliza kuhusu vitambulisho vya wamchinga.
Vilikuwa na muongozo au malengo gani ambayo mwisho wa siku kuwa vurugu na hatima isiyojulikana kwa wimbi la wanaojitafutia kipato
View attachment 1980784
Pumbavu kafieni mbele.Well Said;
Itapendeza *TARURA/TANROAD wanapojenga Barabara, wasiweke service road , wala peavings , WAWEKE MABANDA PEMBEZONI mwa Barabara zote nchini yakae tu hata kama hakuna wahitaji maana wanyonge wanatakiwa wafanye Biashara Humo!
Hawa watu wana familia, WAACHWE WAFANYE LOLOTE so long as wanapata kipato cha kulisha familia
Pia; Serikali iwache wanyonge wote waliochukua MAENEO YA HIFADHI ZA TAIFA, ni ajabu eti Mtu unaishi Morogoro huna ardhi wakati kuna mbuga ya Mikumi imekaa tu.
Kila mtu aachwe atafute maisha yake, hawa matajiri wao wanaishi, Njiro, Shanty-town, Masaki, Kisota na Uzunguni, Gangilonga hawajui adha ya sisi wanyonge!
Hao wako kwenye kundi la wafanyabiashara ndogo ndogo.. Je sera inasemaje kuwahusu?
Tena sio tu wanauelewa mdogo,ni wanaupeo mdogo na ni washamba sababu hawatembei hata miji mikubwa ya nchi nyingine kuona kama kuna huo ujinga wa kuacha machinga watawale kila kona. Eti Dar inazidiwa hadi na Kigali?
Sababu ni nini? Nao wangeruhusu machinga kiholela ungewataja hapa leo? Kigali imejengeka kuliko Dar?kigali sio ya kuifananisha na dsm,kwa jambo lolote.
hata kama umechoka kufikiri.
Tumia basi akili kiduchu ueleweke?Well Said;
Itapendeza *TARURA/TANROAD wanapojenga Barabara, wasiweke service road , wala peavings , WAWEKE MABANDA PEMBEZONI mwa Barabara zote nchini yakae tu hata kama hakuna wahitaji maana wanyonge wanatakiwa wafanye Biashara Humo!
Hawa watu wana familia, WAACHWE WAFANYE LOLOTE so long as wanapata kipato cha kulisha familia
Pia; Serikali iwache wanyonge wote waliochukua MAENEO YA HIFADHI ZA TAIFA, ni ajabu eti Mtu unaishi Morogoro huna ardhi wakati kuna mbuga ya Mikumi imekaa tu.
Kila mtu aachwe atafute maisha yake, hawa matajiri wao wanaishi, Njiro, Shanty-town, Masaki, Kisota na Uzunguni, Gangilonga hawajui adha ya sisi wanyonge!
Nimetolea mfano wa nyumba tunazoishi je tunaweza kushindwa kupanga vitu vyetu ndani ya nyumba kwa kigezo cha umaskini? Je tuko tayari machinga wapange bidhaa zao mpaka milangoni kwa kigezo kuwa wanatafuta? Wazibe barabara? Wajae maeneo ya wazi?Lakini Ndugu Mshana Jr, one of the main elements in development work for the poor groups is to give them self-confidence and freedom to decide themselves.
Kwa hofu wanayopewa Hawa watu na Mamlaka, kovu la Manyanyaso haya ya Moyo litakuwepo kwa Muda mrefu kweli kweli
They are not Rich ni Maskini Hawa watu
Kifupi wengi wao Umachinga ni Alternative Bora zaidi baada ya mambo Mengi kuwadundia nchini Mwao
Sasa kwa sababu ipi wasingesubiri Tanzania iliyopiga hatua kwenye kuzalisha AJIRA, PRICE stability pamoja na Country Economic GROWTH hapo kwanza Machinga wenyewe wangepungua katikati ya Miji.
Huu sio wakati sahihi Ndio maana tunasema SI SAWA
Pole kwa kuvunjiwa usijali nenda kule Machinga complex tutakufuata tuu hakuna namna na mahitaji tunatakasijafaham,ila serikali ambayo ina vision haikupaswa kuvunjia watu bali iwawezeshe.
watu hamna uwezo wa kuwapa ajira,halafu hata hizo duni wanazojitafutia mnawakwamisha.
hivi mkuu umejaribu kuchora mchoro wa madhara waliyosababishiwa!!!hapa masaki mwisho kuna wakina mama kadhaa wameshapoteza tumaini la kesho yao,eti kisa wanachafua taswira ya jiji!!!yaani jiji kama jiji lina vichwa vya mbuzi humo ofisini hata kuomba mkopo lichonge vibanda hamishika livikodishe kwao kwa kodi nafuu!!!
tunakubali kuna sheria ndio,ila yatupasa kujua sheria nyingi zimechakaa haziendani na maisha ya sasa.kipindi sheria zinatungwa hakukuwa hata na huduma za kifedha kwa simu.
kumwacha bata azurule hovyo uwanjani kisha akanya,unaonekana wewe mfugaji ndio hauko makini,badala ya kushinda unamfukuza,mchingee banda huru.
Hapa tunajadili makundi mawilisijafaham,ila serikali ambayo ina vision haikupaswa kuvunjia watu bali iwawezeshe.
watu hamna uwezo wa kuwapa ajira,halafu hata hizo duni wanazojitafutia mnawakwamisha.
hivi mkuu umejaribu kuchora mchoro wa madhara waliyosababishiwa!!!hapa masaki mwisho kuna wakina mama kadhaa wameshapoteza tumaini la kesho yao,eti kisa wanachafua taswira ya jiji!!!yaani jiji kama jiji lina vichwa vya mbuzi humo ofisini hata kuomba mkopo lichonge vibanda hamishika livikodishe kwao kwa kodi nafuu!!!
tunakubali kuna sheria ndio,ila yatupasa kujua sheria nyingi zimechakaa haziendani na maisha ya sasa.kipindi sheria zinatungwa hakukuwa hata na huduma za kifedha kwa simu.
kumwacha bata azurule hovyo uwanjani kisha akanya,unaonekana wewe mfugaji ndio hauko makini,badala ya kushinda unamfukuza,mchingee banda huru.
Yeah hapo ni sahihi kabisa.. Lakini kwa muktanda wa kinachoendelea sasa wote wamejumuishwa kwenye jina moja la MATCHING ON .. MACHINGAWamachinga hawajawahi kuwa tatizo katika nchi hii.
Machinga anabeba na kutembeza biashara zake hapa na pale.
Huyu anayejenga mabanda barabarani kuziba barabara, mabanda juu ya mitaro ya maji ni mtu gani huyu?
Huyu anayepanga duka zima barabarani ni nani?
Huyu sio machinga aondoke mara 1, machinga halisi wabakie waendelee kutembeza bidhaa zao
Hapa tunajadili makundi mawili
1. Machinga wanaotandaza bidhaa sehemu zisizostahili mfano maeneo ya waenda kwa miguu na maegesho ya magari pamoja na sehemu za vituo vya mabasi na kupumzika
2. Wafanyabiashara ndogo ndogo waliojenga vibanda maeneo yasiyo rasmi kwa biashara
Haya yote ni matokeo ya siasa za kipuuzi.. Ni kidonda tumekilea wenyewe.. Sasa ni lazima tuwe na pa kuazia kabla hakijageuka kuwa dondandugu au saratani
Tungeweza kusema tusubiri mpaka kuwe na mpango kamili? Upi? Je wakati tunasubiri tungewa control vp wasiongezeke?
Umachinga upo popote duniani na wafanyabiashara ndogondogo wako pia lakini huko wametengenezewa utaratibu mzuri na maisha yanasonga.. Tunapaswa nasi kuanza sasa japo kuna gharama na hasara zake nyingi tuu
[emoji7][emoji7][emoji7]Kila kitu kina mpangilio katika maisha.. Huwezi kufanya kinyume na mpangilio na ukijaribu kufanya hivyo matokeo yake ni zogo na kupaganyika.
Kwenye hili la machinga lilikosa mpangilio..Na likafugwa na wanasiasa kwa maslahi binafsi ya kisiasa.. Sasa kama tumeamua kurudi kwenye mpangilio lawama zinatoka wapi?
Hata majumbani mwetu.. Tuna mipangilio ya kila kitu kitanda kina sehemu yake, choo, vyombo viatu nguo vyakula nknk.. Miili yetu nayo ina mipangilio macho yakae wapi, mikono, miguu nknk havijarundikwa tu sehemu moja.. Mifano ni mingi sana.
Sasa tunapata wapi uthubutu wa kutetea watu wanafanya biashara sehemu zisizo rasmi?
Kwenye njia za waenda kwa miguu
Kwenye mitaro ya maji
Kwenye vituo vya kupumzikia
Kwenye maeneo ya wazi
Kwenye vituo vya magari njiani
Mbele ya maduka ya wengine nknk
Tuna kitu kinaitwa mipango miji... Hii ndio huamua miji iweje
Wapi sehemu za makazi
Wapi sehemu za biashara
Wapi sehemu za michezo
Wapi sehemu za kupumkizia
Wapi sehemu za starehe
Wapi sehemu za ibada
Wapi sehemu za huduma za jamii nknk
Sehemu za zilizotengwa kwa shughuli fulani zibaki hivyo kwa shughuli tazamiwa..ukianza kuchanganya unaharibu na kuleta zogo
Uchafuzi wa mazingira ni pamoja na kuweka vitu mahali pasipopaswa viwepo... Usafi wa miji ni pamoja na kuwa na mpangilio kwenye kila jambo...Je watetezi wa machinga wanajua yote haya?
Tazama picha hizi za jiji bila vibanda vya machinga! Je mji hauvutii!?View attachment 1980673View attachment 1980674
Pole kwa kuvunjiwa usijali nenda kule Machinga complex tutakufuata tuu hakuna namna na mahitaji tunataka
Sababu ni nini? Nao wangeruhusu machinga kiholela ungewataja hapa leo? Kigali imejengeka kuliko Dar?