Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IFm unaendesha sasaKila kitu kina mpangilio katika maisha.. Huwezi kufanya kinyume na mpangilio na ukijaribu kufanya hivyo matokeo yake ni zogo na kupaganyika.
Kwenye hili la machinga lilikosa mpangilio..Na likafugwa na wanasiasa kwa maslahi binafsi ya kisiasa.. Sasa kama tumeamua kurudi kwenye mpangilio lawama zinatoka wapi?
Hata majumbani mwetu.. Tuna mipangilio ya kila kitu kitanda kina sehemu yake, choo, vyombo viatu nguo vyakula nknk.. Miili yetu nayo ina mipangilio macho yakae wapi, mikono, miguu nknk havijarundikwa tu sehemu moja.. Mifano ni mingi sana.
Sasa tunapata wapi uthubutu wa kutetea watu wanafanya biashara sehemu zisizo rasmi?
Kwenye njia za waenda kwa miguu
Kwenye mitaro ya maji
Kwenye vituo vya kupumzikia
Kwenye maeneo ya wazi
Kwenye vituo vya magari njiani
Mbele ya maduka ya wengine nknk
Tuna kitu kinaitwa mipango miji... Hii ndio huamua miji iweje
Wapi sehemu za makazi
Wapi sehemu za biashara
Wapi sehemu za michezo
Wapi sehemu za kupumkizia
Wapi sehemu za starehe
Wapi sehemu za ibada
Wapi sehemu za huduma za jamii nknk
Sehemu za zilizotengwa kwa shughuli fulani zibaki hivyo kwa shughuli tazamiwa..ukianza kuchanganya unaharibu na kuleta zogo
Uchafuzi wa mazingira ni pamoja na kuweka vitu mahali pasipopaswa viwepo... Usafi wa miji ni pamoja na kuwa na mpangilio kwenye kila jambo...Je watetezi wa machinga wanajua yote haya?
Tazama picha hizi za jiji bila vibanda vya machinga! Je mji hauvutii!?View attachment 1980673View attachment 1980674
Basi Itapendeza TARURA/TANROAD wanapojenga Barabara, wasiweke service road , wala peavings , WAWEKE MABANDA Pembezoni mwa Barabara zote nchini yakae tu hata kama hakuna wahitaji maana wanyonge wanatakiwa wafanye Biashara Humo!
Well Said;
Itapendeza *TARURA/TANROAD wanapojenga Barabara, wasiweke service road , wala peavings , WAWEKE MABANDA PEMBEZONI mwa Barabara zote nchini yakae tu hata kama hakuna wahitaji maana wanyonge wanatakiwa wafanye Biashara Humo!
Hawa watu wana familia, WAACHWE WAFANYE LOLOTE so long as wanapata kipato cha kulisha familia
Pia; Serikali iwache wanyonge wote waliochukua MAENEO YA HIFADHI ZA TAIFA, ni ajabu eti Mtu unaishi Morogoro huna ardhi wakati kuna mbuga ya Mikumi imekaa tu.
Kila mtu aachwe atafute maisha yake, hawa matajiri wao wanaishi, Njiro, Shanty-town, Masaki, Kisota na Uzunguni, Gangilonga hawajui adha ya sisi wanyonge!
Wamachinga hawajawahi kuwa tatizo katika nchi hii.
Machinga anabeba na kutembeza biashara zake hapa na pale.
Huyu anayejenga mabanda barabarani kuziba barabara, mabanda juu ya mitaro ya maji ni mtu gani huyu?
Huyu anayepanga duka zima barabarani ni nani?
Huyu sio machinga aondoke mara 1, machinga halisi wabakie waendelee kutembeza bidhaa zao
Uchafu wa mazingira ulikuwa wa kiwango cha juu mno chupa za mikojo na mifuko yenye vinyesi ilitupwa popote panapoonekana panafaa kutupwa
Kweli tupu,uliyosema.Sio maeneo yao ya biashara ndio maana wanahamishwa,hawafukuzwi bado watafanya biashara ila kwenye maeneo yao waliyotengewa. Service road sio kwa ajili ya biashara
Umesema kweli tupu.Wamachinga hawajawahi kuwa tatizo katika nchi hii.
Machinga anabeba na kutembeza biashara zake hapa na pale.
Huyu anayejenga mabanda barabarani kuziba barabara, mabanda juu ya mitaro ya maji ni mtu gani huyu?
Huyu anayepanga duka zima barabarani ni nani?
Huyu sio machinga aondoke mara 1, machinga halisi wabakie waendelee kutembeza bidhaa zao
Wende Machinga Complex,maeneo mengi wametengewa,hawataki kwenda.Hapo wanapopaona kuna biashara,hao wenye Frem,pia ulichukuwa mda mpaka kuzoeleka na kupata wateja.Na wamachinga waende maeneo waliotengewa,wateja watawafuata huko.Kuhusu kupanga bidhaa hilo ni Utashi binafsi, ndio maana kuna nyumba ya Tajiri isiyo na mpangilio mzuri vilevile. Kwa hiyo hatuna mipangilio mizuri au mibaya kwa sababu ya Utajiri au Umaskini
Kuna Machinga wanajua kutumia Space zao vizuri na njia wanaacha utawapenda yaani;
Machinga huwa na mpangilio usiovutia pale palipo na Hot Bussiness yaani Wateja wa kutosha mbele, nyuma na Pembeni huku ndio kungewekewa marekebisho kiasi
Hivi sio kweli kuwa lengo la Hawa watu kuhamishwa ni kwa sababu inabidi wakae mahali Biashara zao ziwe updated kwenye mifumo ya Kodi?
Au ndo kusafisha Jiji ili livutie? Tuweni na Utu, watu wana familia, watoto wapo shule wanasoma na mahitaji Mengine Mengi
Tujiandae kwa Wizi wa kutumia Magari na Ulinzi kudumaa kwenye Majiji na miji iliyo wazi.
Ni kwa sababu watu wamekuwa na umakini mkubwa sana wa kuendesha wawapo Town na watu wakiwa wengi Mahali, ndio Ulinzi wenyewe wa Nchi yetu.
huu ni utapeli wa Bwn Jiwe hicho kitambulisho hakina jina mahususi la mtoaji,anuani na mawasiliano mengine, pia hicho kitambulisho hakina jina/taarifa binafsi za huyo mjasiriamali,anuani,aina ya biashara etc. Hapa ndipo tatizo lilipoanzia kwenye suala la wamachinga na wajasiriamaliPoleni na sekeseke na kuondolewa vibanda vyenu machinga sehemu zilizopo mijini.
Swali nalo jiuliza kuhusu vitambulisho vya wamchinga.
Vilikuwa na muongozo au malengo gani ambayo mwisho wa siku kuwa vurugu na hatima isiyojulikana kwa wimbi la wanaojitafutia kipato
View attachment 1980784
Mkuu sisi ni wanyonge..Kila kitu kina mpangilio katika maisha.. Huwezi kufanya kinyume na mpangilio na ukijaribu kufanya hivyo matokeo yake ni zogo na kupaganyika.
Kwenye hili la machinga lilikosa mpangilio..Na likafugwa na wanasiasa kwa maslahi binafsi ya kisiasa.. Sasa kama tumeamua kurudi kwenye mpangilio lawama zinatoka wapi?
Hata majumbani mwetu.. Tuna mipangilio ya kila kitu kitanda kina sehemu yake, choo, vyombo viatu nguo vyakula nknk.. Miili yetu nayo ina mipangilio macho yakae wapi, mikono, miguu nknk havijarundikwa tu sehemu moja.. Mifano ni mingi sana.
Sasa tunapata wapi uthubutu wa kutetea watu wanafanya biashara sehemu zisizo rasmi?
Kwenye njia za waenda kwa miguu
Kwenye mitaro ya maji
Kwenye vituo vya kupumzikia
Kwenye maeneo ya wazi
Kwenye vituo vya magari njiani
Mbele ya maduka ya wengine nknk
Tuna kitu kinaitwa mipango miji... Hii ndio huamua miji iweje
Wapi sehemu za makazi
Wapi sehemu za biashara
Wapi sehemu za michezo
Wapi sehemu za kupumkizia
Wapi sehemu za starehe
Wapi sehemu za ibada
Wapi sehemu za huduma za jamii nknk
Sehemu za zilizotengwa kwa shughuli fulani zibaki hivyo kwa shughuli tazamiwa..ukianza kuchanganya unaharibu na kuleta zogo
Uchafuzi wa mazingira ni pamoja na kuweka vitu mahali pasipopaswa viwepo... Usafi wa miji ni pamoja na kuwa na mpangilio kwenye kila jambo...Je watetezi wa machinga wanajua yote haya?
Tazama picha hizi za jiji bila vibanda vya machinga! Je mji hauvutii!?View attachment 1980673View attachment 1980674
Ukwepaji kodi.kuharibu biashara za watu..watu waliacha panga fremu coz kila mtu anaweza Jenga Banda road akapata pesa...Machinga mbali na kuchafua jiji ni hasara ipi ya msingi waliyoifanya!!!!
Kuna watu waliwekeza kwenye ujenzi was vibanda na kuvipanga barabarani kusubiria Kodi.Wamachinga hawajawahi kuwa tatizo katika nchi hii.
Machinga anabeba na kutembeza biashara zake hapa na pale.
Huyu anayejenga mabanda barabarani kuziba barabara, mabanda juu ya mitaro ya maji ni mtu gani huyu?
Huyu anayepanga duka zima barabarani ni nani?
Huyu sio machinga aondoke mara 1, machinga halisi wabakie waendelee kutembeza bidhaa zao
Kiukweli Dar inanuka na huwezi kulijua hili mpaka ukae nje muda mrefu na siku urudi bongo! Siku ukitua pale airport ndio utajua
Ukwepaji kodi.kuharibu biashara za watu..watu waliacha panga fremu coz kila mtu anaweza Jenga Banda road akapata pesa...