Karudi na hela hata macho matatu ununui dah. Kijana bado hajatoka kiuchumi bora angekomaa nchini unenda angakuwa mbaliMiaka 3....umerudi na milioni 3 au ni milioni 30
Naona sijaelewa hii story ujumbe wako ni nini
Karudi na hela hata macho matatu ununui dah. Kijana bado hajatoka kiuchumi bora angekomaa nchini unenda angakuwa mbaliMiaka 3....umerudi na milioni 3 au ni milioni 30
Naona sijaelewa hii story ujumbe wako ni nini
Jamani kasema kawajengea nyumba wazee wakeChai 😅 miaka mitatu na million 3
Dogo huko unakoenda mimi uwa naenda kwenye mikutano mikubwa na kukaa hotel za 5 star ikiisha narudi. Enzi za JK nimetembea nchi 37 yakiwemo mataifa yote makubwa duniani (G 8). Nimesoma Degree ya pili Germany Gottingen University ambako ndio simu za mkononi zilipogunduliwa. Nina exposure ya kutosha mpaka usiku nikiota naota kwa lugha ya kiispaniolaSafari ikishawadia... ntakutafuta tukashangae hata hizo hali za hewa za huko
Kawa jengea nyumba wazazi wake, kumbuka ilo.Chai 😅 miaka mitatu na million 3
Dogo huko unakoenda mimi uwa naenda kwenye mikutano mikubwa na kukaa hotel za 5 star ikiisha narudi. Enzi za JK nimetembea nchi 37 yakiwemo mataifa yote makubwa duniani (G 8). Nimesoma Degree ya pili Germany Gottingen University ambako ndio simu za mkononi zilipogunduliwa. Nina exposure ya kutosha mpaka usiku nikiota naota kwa lugha ya kiispaniola
Nyumba kajenga kaka yake huyoKawa jengea nyumba wazazi wake, kumbuka ilo.
Sasa mkuu wewe utukutu wako hadi wazazi wakakushindwa ni upi?? Bangi na sigara huvuti, pombe hunywi, madawa haumo, ulikua unapenda sana chini au ulikua mwizi??
Lengo hasa la huu uzi wako ni lipi?? Umeandika mamb mengi mno ni dada zako kuolewa na mfumo dume?? Wewe kuja kuangalia cha kuwekezea na hiyo M.3 ?? Kuhamasisha vijana kujenga kwao??
Au ni kutufahamisha historia ya maisha yako?? Be specific somo lieleweke.
Hahhaha🤣🤣 si ndio hivyo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] dooh humu ndani patamu sana