Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Itakuwa ulikuwa unakaa Hillbrow GPEast London.. Ka mkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa ulikuwa unakaa Hillbrow GPEast London.. Ka mkubwa
😂😂😂 Angalia Hao waxhosa wasije kukuua maana siyo wachoyo..Yeah vitu vya dukani tu ... waxhosa mix na warangirangi... upo mji gani? Malume
[emoji23][emoji23][emoji23] Angalia Hao waxhosa wasije kukuua maana siyo wachoyo..
Dogo mm nilikaa Cape town, joberg, Pretoria!!
[emoji125][emoji125][emoji125]
Hapana aisee mie nimekaa Durban miaka kadhaa Ila nipo bongo kwa sasa nishajenga na ninapiga kazi zangu bongo.[emoji1478] mitaa yako nini MJOMBA
Kilo ya nini mie naifata pale reggae bar wanauza ya ukweli mzee puli buku kumi Ila ndefu kiasi. Mzigo wa sauzi Safi sana.Sina ujuzi wowote na bangi .. mkuu vip? Unahitaji robo au kilo.. mtukufu skanka au swazi
Hapana aisee mie nimekaa Durban miaka kadhaa Ila nipo bongo kwa sasa nishajenga na ninapiga kazi zangu bongo.
Hillbrow ni manzese mzee na Malaya kibao ukimwi njenje. Stop clubs mchana unakuta zinapiga kazi.
Tatufa Uzi za konda msafi na stori yake ya SA utapata stori yoteMkuu niko chini ya miguu yako please nielekeze kwenye iyo linki ya iyo story ilinipita asee. Nakusihi please nataman kichiz kuisoma.
Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa!
Umerudi na bus gani?Karibu mkuu... nimerudi nchi imekuwa na muonekano mzuri sana
Maxence MeloNtaendelea kuwapongeza hawa jamaa wenye jf mmeweza sana wakuu .. pongezi kwenu
Wala hujakosea kijana, nikichokiona ni kuwa unaelezea kama kila mtu humu hajawahi kutoka nje. JF zamani ilikuwa inatumiwa zaidi na watu walio nje kama sehemu ya kujua ya nyumbani na hata nilipokuwa masomoni Germany nilitumia JF kama Forum ya kupata taarifa za nyumbani
Wengi humu wako mataifa ya nje so unaposema au kumjibu mtu kuwa atembee ili afunguke akili hata wewe hapo South bado hujatembea mzee.
Tumia lugha kuwaelekeza watu huku ukijua kuwa kuna waliokuzidi kila kitu humu tena wengine ni viongozi wakubwa nchi hii hata [emoji344] yumo humu anasoma mnavyomshambulia.
Nakushauri tu na pia nimekufurahia unaonekana una busara sema ndio hivyo umekosa misingi midogo ya weledi wa kiprotokali ya kudili na watu wazima
Tunawaweka sawa vijana wetu. Halafu nitaachaje mikwara kwa mfano. Navyozeeka ndio mikwara inaongezekaUjaacha Mikwara [emoji1][emoji1][emoji1]