Wanaoyabeza kuyadharau maisha ya South Africa (SA) Astroway

Wanaoyabeza kuyadharau maisha ya South Africa (SA) Astroway

EL kwa watoto wa kirangirangi na waxhosa.
Hiyo kazi ya dukani ni vitu vya dukani tu mnauza[emoji848]

Yeah vitu vya dukani tu ... waxhosa mix na warangirangi... upo mji gani? Malume
 
Ulipomtaja Magu kwamba ndio amependezesha mji nikaachana na kusoma ujinga wako.

Hivi bangi unaisha baada ya miaka mingapi?

Sina ujuzi wowote na bangi .. mkuu vip? Unahitaji robo au kilo.. mtukufu skanka au swazi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Angalia Hao waxhosa wasije kukuua maana siyo wachoyo..
Dogo mm nilikaa Cape town, joberg, Pretoria!!
[emoji125][emoji125][emoji125]

Aaaa na hawana hayaa yaani wanakutongoza kinoma noma daaah hatari [emoji23][emoji23][emoji23]..... warangirangi kazi sema
 
[emoji1478] mitaa yako nini MJOMBA
Hapana aisee mie nimekaa Durban miaka kadhaa Ila nipo bongo kwa sasa nishajenga na ninapiga kazi zangu bongo.

Hillbrow ni manzese mzee na Malaya kibao ukimwi njenje. Stop clubs mchana unakuta zinapiga kazi.
 
Sina ujuzi wowote na bangi .. mkuu vip? Unahitaji robo au kilo.. mtukufu skanka au swazi
Kilo ya nini mie naifata pale reggae bar wanauza ya ukweli mzee puli buku kumi Ila ndefu kiasi. Mzigo wa sauzi Safi sana.
 
Kilo ya nini mie naifata pale reggae bar wanauza ya ukweli mzee puli buku kumi Ila ndefu kiasi. Mzigo wa sauzi Safi sana.

Mtaani kazi.. dili kilo 1 nasikia mpaka ml-1 kuna ukweli au story .. kilo ya skanka
 
Hapana aisee mie nimekaa Durban miaka kadhaa Ila nipo bongo kwa sasa nishajenga na ninapiga kazi zangu bongo.

Hillbrow ni manzese mzee na Malaya kibao ukimwi njenje. Stop clubs mchana unakuta zinapiga kazi.

Dua... Ka mkubwa.. naombea dua nipige safari moja nikae hata aka 2 nirudi bongo kulikita na kufanya misele mingine... nikiporomosha kimjengo hata cha kuunga unga niishi bongo.. bongo pazuri banah... home tena utege
 
Mkuu niko chini ya miguu yako please nielekeze kwenye iyo linki ya iyo story ilinipita asee. Nakusihi please nataman kichiz kuisoma.

Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa!
Tatufa Uzi za konda msafi na stori yake ya SA utapata stori yote
 
Hatimaye umerudi.. mkuu
 
Wala hujakosea kijana, nikichokiona ni kuwa unaelezea kama kila mtu humu hajawahi kutoka nje. JF zamani ilikuwa inatumiwa zaidi na watu walio nje kama sehemu ya kujua ya nyumbani na hata nilipokuwa masomoni Germany nilitumia JF kama Forum ya kupata taarifa za nyumbani

Wengi humu wako mataifa ya nje so unaposema au kumjibu mtu kuwa atembee ili afunguke akili hata wewe hapo South bado hujatembea mzee.

Tumia lugha kuwaelekeza watu huku ukijua kuwa kuna waliokuzidi kila kitu humu tena wengine ni viongozi wakubwa nchi hii hata [emoji344] yumo humu anasoma mnavyomshambulia.

Nakushauri tu na pia nimekufurahia unaonekana una busara sema ndio hivyo umekosa misingi midogo ya weledi wa kiprotokali ya kudili na watu wazima

Ujaacha Mikwara [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Njoo Alexandra tunauza kila kitu kama uswazi za bongo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom