Wanaoyabeza kuyadharau maisha ya South Africa (SA) Astroway

Hata huu nao unajitosheleza kabisa kuwa uzi (topic) tegemezi nimejifunza kitu hapo.. Asante sana bingwa kwa uzi mtamu hivyo
Kama nia yako ni kuelemisha jibu maswali kijana msauzi acha longolongo na janjajanja za bondeni
 
Wala hujakosea kijana, nikichokiona ni kuwa unaelezea kama kila mtu humu hajawahi kutoka nje. JF zamani ilikuwa inatumiwa zaidi na watu walio nje kama sehemu ya kujua ya nyumbani na hata nilipokuwa masomoni Germany nilitumia JF kama Forum ya kupata taarifa za nyumbani

Wengi humu wako mataifa ya nje so unaposema au kumjibu mtu kuwa atembee ili afunguke akili hata wewe hapo South bado hujatembea mzee.

Tumia lugha kuwaelekeza watu huku ukijua kuwa kuna waliokuzidi kila kitu humu tena wengine ni viongozi wakubwa nchi hii hata [emoji344] yumo humu anasoma mnavyomshambulia.

Nakushauri tu na pia nimekufurahia unaonekana una busara sema ndio hivyo umekosa misingi midogo ya weledi wa kiprotokali ya kudili na watu wazima
 

MKUU.. yule aliudharau uzi wangu lakini sio tatizo nimepata kitu tena hapo.. MKUU asante sana mkuu
 
Nashukuru mkuu.. na sorry kwa kunifikiria tofauti.. karibu sana
 
Sipo teari kuipoteza fursa hii ya kushiriki kusoma na topic za humu jf ; nilioenda nao tofauti kumradh na naomba mnisahe sana.. na karibuni tena kwa mara nyingine
 
Kama nia yako ni kuelemisha jibu maswali kijana msauzi acha longolongo na janjajanja za bondeni

[emoji23][emoji23][emoji23] daaah yaani nimeshukuru uzi mnono tena natakiwa nijibu swali sawa... Kikubwa lengo la uzi huu watanzania tupendane maana hakuna upendo wa wenyewe kwa wenyewe hasa kwa wasafiri ambao wanaishi katika mazingira ya kuchanganyika kabsa na wenyeji wa nchi jirani huko nje.. nafikiri ukianza upendo vitu vingine vyote vitaenda sawa .. Asante king
 
Huu uzi unanuka harufu ya bange tu, ngoja nitoke chap.
 
Sipo teari kuipoteza fursa hii ya kushiriki kusoma na topic za humu jf ; nilioenda nao tofauti kumradh na naomba mnisahe sana.. na karibuni tena kwa mara nyingine
Umeanza kukua,😂😂😂 sisi Wangoni tulikimbia SA tukaja Namtumbo😭😭😭
 
Umeanza kukua,[emoji23][emoji23][emoji23] sisi Wangoni tulikimbia SA tukaja Namtumbo[emoji24][emoji24][emoji24]

Shule niligusia gusia tu .. hiyo ila kule niliipata vizuri na lugha yenu yote inaongelewa kulee... karibu mkuu
 

Mkuu.. ndio umeenda kabsa sawa banah kama tunanyimiana mafao ki mfumo huo wa kibepari sawa..
 
MKUU.. yule aliudharau uzi wangu lakini sio tatizo nimepata kitu tena hapo.. MKUU asante sana mkuu
Mtu akikujibu vibaya wala na wewe usimjibu vibaya.

Humu kuna madini sana na pumba pia zimo. Unapotoa topiki humu wengi tunasoma ili tuokote la kujifunza so unatakiwa uwe makini na weledi kwenye kujibu. Kwa taarifa tu nimesoma topiki yako na comments zote.

JF ni sehemu yenye maarifa sana ukitumia vizuri na ukiwa na weledi
 

Asante... kwa moyo wangu wote nasema asante tena[emoji1431] .. nashukuru kwa kurudi kunipa hiyo.. asante sana KIONGOZI sina neno tena zaidi ya kuongeza UBARIKIWE MKUU
 
Kuna jamaa mmoja alikuja kutupa stori za mademu wa SA nikataman sana nifike huko kwasababu hiyo tu maana aliwasifia haswa
Mkuu niko chini ya miguu yako please nielekeze kwenye iyo linki ya iyo story ilinipita asee. Nakusihi please nataman kichiz kuisoma.

Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa!
 
Mkuu niko chini ya miguu yako please nielekeze kwenye iyo linki ya iyo story ilinipita asee. Nakusihi please nataman kichiz kuisoma.

Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa!

Atarud... huyo mkuu msikilizie
 
Ulipomtaja Magu kwamba ndio amependezesha mji nikaachana na kusoma ujinga wako.

Hivi bangi unaisha baada ya miaka mingapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…