Wanariadha wa Tanzania wapo mzigoni leo Olympique

Wanariadha wa Tanzania wapo mzigoni leo Olympique

Personal Best zao zipoje.., unajua kuna mara nyingine mtu unajua kabisa before hand kwamba hapa Gold sipate labda ubugie performance inhancing drugs before
 
Ila tuacheni utani kukimbia zaidi ya km 30 sio mchezo..unahitaji kuwa na zaidi ya mapafu ya mbwa.
Hao ni watu wengine kabisa ni special maana sio tu 30+km kumbuka na pace wanayoenda
 
Yule mmarekani alikua na kina Simbu kwenye lead group kashaachwa.

Kilomita 10 zimebaki.

Simbu hakikisha you finish the race with the award mzee.

But you gotta give all those men credits. Hizi mbio ni ruthless.
 
Ntachukua hata mkopo but one of my birthday lazima niile Paris na si mbali najua budget ya 5ml na Schengen visa nitapata kile nafsi inataka
 
Simbu alipokutana na ule mtremko ameserereka nao mpaka namba 3
 
Simbu karudi namba 3 wakuu. Mtangazaji anamzungumzia Simbu

Sasa pumba na mchele vimeanza kuachana na kutengana.

Eithiopia 2 mbele na mtanzania 1.

Mtangazaji anasema will be a big story if this Tanzania man win a medal
 
Mwamba karudi...watangazaji wanamkubali sana
20240810_103848.jpg
20240810_103848.jpg

20240810_103848.jpg
 
Simbu karudi namba 3 wakuu. Mtangazaji anamzungumzia Simbu

Sasa pumba na mchele vimeanza kuachana na kutengana.

Eithiopia 2 mbele na mtanzania 1.

Mtangazaji anasema will be a big story if this Tanzania man win a medal
Simbu anachukua silver au bronze
 
Hatujawahi kupata medali ya marathon Olympic
 
Screenshot_20240810-104038.png

Huyu simbu amkazie huyo tola waende sambamba
 
Back
Top Bottom