Wanasayansi naomba mnisaidie maana Quran inaniambia mtoto anaumbwa baada ya sperm kuingia kwenye damu iliyoganda

Sahihi, maelezo ya kwenye Quran jinsi mimba inavyptungwa wanasayansi wote wamekubaliana nayo.

Kama umeelewa tofauti ila ni hivi, Tone la manii likikutana na yai la mama inageuka kuwa damu, damu inabadilika kuwa nyama, nyama inavikwa mifupa. Kila process hapo nhuchukua siku 40.
 
Naona wewe ni jamaa wa madrasa uliyeiva.

Muhammad is dead and Jesus Christ lives forevermore. Whose faith is living? Of the guy who died or Him who lives?

The bible is the same, has never changed. Translations can be as many as possible but original manuscripts are the same. Everyone translates from them.

You don't know anything about Jesus' simple teachings, how can you comprehend Paul's deep revelations? You will do good to keep reading the writings of an illiterate fellow from the caves.

The guy from the caves was so dumb that he claims to meet an angel who didn't know that he cannot read. The angel choked him in an attempt to make him read.

Yet, all his followers claims that the book he was being forced to read was never written during his life time.
 
SWALI LA MSINGI KWAKO, NI KIPI KIKO SO SPECIAL KWA YESU KUMUITA MUNGU/MWANA WA MUNGU UKILINGANISHA NA ADAM na EVA??
Yesu ndiye aliyeumba vitu vyote unavyoviona na usivyoviona. Alimuumba hata allah mwenyewe sema alikuja kuasi na akatupwa duniani.

Yesu Kristo yupo tangu milele. Alipitia tumboni mwa Mariamu ili achukue mwili wa kibinadamu. Nadhani umeuelewa umaalumu wa muumba wako.
 
Nitajie jina la wanasayansi kama wa5 wamekubali

Skeleton kuwa kwenye mji wa uzazi
 
Hapa hamna kipya ulichosema sperm zinatoka kwenye testes. Hizo ndio zinarutubisha yai la mwanamke.

Sasa Allah anasema kwamba yeye anachojua kuna maji yanatoka maeneo zilipo kati ya mbavu na uti wa mgongo.

Yaani Allah anajiongelea tu bila kuwa na uelewa wowote.
 
Umeelewa vizuri kabisa, Yesu Kristo ndiye Mungu aliyeumba vyote unavyoviona na usivyoviona. Amemuumba hata huyo allah mnayemuabudu japo aliasi mbinguni akatupwa.
Yesu huyu huyu aliyekiwa anacheza kombolela na watoto wenziwe katika mitaa ya Galilaya Leo hii ndio amekuwa Mungu muumba vyote

Ndio maana wayahudi waliukataa ukristo maana Yesu wanamjua viziri kwa kuwa walicheza wote
 
Tumewaomba mlete uthibitisho kwamba kuna jamaa aliyeitwa issa aliwahi kuishi Israel mpaka sasa mnazurula tu.
 
Usisikie haya mambo eti quoran ndio jibu la kila kitu. Quoran ni imani tu sio sayansi ndio maana mengi ni mambo ya kusadikika tu japo mengi pia ni historia ambayo pia inawezekana haina usahihi. Haina usahihi kwa kua hakuna utafiti wa kisayansi.
 
Na HAKIKA HAKUNA SIKU WAKRISTO WAKAANZISHA MJADALA WAKAWA NA POINTI HATA YA KUTANGAUA
Ukimaliza kupost post uje kutuletea ushahidi kwamba kuna jamaa aliitwa issa aliwahi kuishi Israel.. halafu useme ikawaje allah aseme sperm zinatokea kwenye eneo kati ya mbavu na uti wa mgongo.
 
unlike yesu whom you claim to be God then he died,,the highest blasphemy you people made up,,how can God die,,who ruled the world for three days alizokUa ktk ulimwengu WA wafu??
Our God is Spirit, He cannot die. He just left the body and continued with His purposes in the spirit realm.
 
Mbona unakuwa muongo muongo versions zipi hizo ambazo zinaongezwa kila siku katika bible alafu tunaambiwa tusijikweze tusione kuwa yakwetu ni Bora kuliko ya wengine Kwa nini unajipiga kifua na kuona kuwa wewe ni Bora na dini yako ni Bora kuliko zingine je ina maana wewe Una akili kuliko wakristo wote? au je wewe ndie unaeijua dini ya kweli kuliko wale wakristo waliokutangulia una ushahidi gani kuwa Imani yako ni sahihi ilhali aliyekuletea wewe Imani hiyo ni binadamu kama wewe na mimi,pia tunaambiwa kuwa binadamu wote hatuko sahihi 100% unatetea vipi kwamba anaweza kuwa alikosea pia..naheshimu Sana dini za watu Kwa maana wote wanaishi na kufanikiwa kupitia hizohizo Imani zao Mimi na wewe hatujui Nani yupo sahihi na Nani hayupo sahihi kama wewe unamjua basi naheshimu pia ujuaji wako ila kitu ambacho ni uvunjifu wa Sheria ni kujifanya wewe unalolifanya ni sahihi kuliko mwingine wakati mwenye haki ya kufanya hivyo ni Yule tunamuabudu sote..alafu kama Mimi tangu nisali au wakati wa mahubiri sijawahi kumsikia kiongozi wangu akiniambia kwamba watu wa dhehebu fulani ni wabaya au waislam ni wabaya wamekuwa wakitutaka tutende mapenzi ya mungu kama biblia inavyotaka ila pande zingine utaskia wale ni makaffir ooh mara binti wa kiislam akiolewa na mkristo anatengwa mara wale ma freemasons jamani mungu anataka kweli mambo haya, unadhani Kwa Hali hii mtafanikiwa vipi kuwafanya wakristo waamini kuwa mnayoyaamini ni sahihi..ndugu wakristo wako bize Sana kutangaza habari njema kama maandiko yanavyosema kuwa nyakati za mwisho neno la mungu na habari njema litatangazwa Kwa nguvu kubwa mno ulimwenguni kote ili watu wapate kuokolewa wenzangu mngejikita katika kutoa mafundisho muda umebaki mchache Sana kuanza kujikweza mambo ni mengii mno tunapoteza mda katika kujiona Bora kuliko wengine muda wa kupromote dini zetu umekwisha kila mtu ashajizolea waumini wake sasa ni muda wa kazi kuwafanya waumini wetu watende mambo mema huku kujikwezakweza kutakuja kuleta machafuko unataka niwe muislam nihubiri nikuelewe ila sio kukichafua kile nilichokuwa nakiamini na kimenisaidia mpaka sasa pia nikitaka uwe mkristo ntakufuata nikupe maelekezo sio nianze kusema ooh ukristo ndo Bora kuliko uislam ..Aaaah poor sheikh wakati nimekukuta unaishi na umekua katika maadili ya kiislam au ukristo hatuwezi kuelewanaaaa udini ni heshima Kwanza utii unaweza hata kufanya kazi na mchawi ukamnyenyekea ila ukiwa na malengo ya kumbadilii ukimfuata Tu na fujo fujo zako we mchawii atakurarua na utakosa vyote..pia dini sio ubinafsi kujifungia ndani na kuwafundisha watu wanaokuamini wewe Tu kama dini ni ya kweli tembea nenda bar kwenye macasino kwenye madangulo Kwa upole nendeni mkawaelimishe kuwa wanachokifanya sio sahihi na mwambie kuwa bado ana nafasi pachoni pa mungu hawezi kuja msikitini wala kanisani kutokana na kujiona mkosaji labda lakini uenda akawa anatamani kupata ushauri wa kidini tukiendekeza hii kuwadharau watu na kuwatukania dini zao Kwa kuwaita makaffir hakuna tutakachojenga na utabaki kuwa ubatili tu
 
Sijui ni kitu gani kinawatatiza hapo au nk wingi wa ujinga tu, hiyo damu iliyoganda ilikuwa katika mfuko maalauma wa kuitunza. Ni kama vile wabeba unga wanakuwa na vipaketi vya unga matumboni mwao kwa masiku kadhaa
Damu allah kaiweka kwenye pakiti ndani ya tumbo la uzazi la mwanamke?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa hiyo kutohoa watohoe wazungu na waswahili Tu,,,wakitohoa waarabu NI kosa,,,na wewe Una ushahidi gani kama kutohoa yesu ndio sahihi Kwa nini hamkumuita yeshua kama jina lake halisi lilivokua,,,kulikua na ugumu gani kumuita yeshua bila kutohoa?? Mtake yesu ndio ISA hamtaki yesu ndio ISA,,,
Ukisema Allah NI mdanganyifu onesha sehemu anaposema huyo aliyekufa badala ya yesu kwamba alifufuka siku ya tatu,,,hayo mumeyazua nyie na basi hakuna mdanganyifu kama yehova maana mnamnadi Mwenye huruma wakati hakumhurumia yesu hata baada ya kumuomba Sana na MNA mnadai mtenda haki lakini anahukumu wengine Kwa makosa ya wengine,,,anasema mumeumbwa Kwa kufanana nae hlf anabadilika kusema hakuna WA kufanana nae,,,alisema torati haitobadilika na amebadilisha,,Na udanganyifu WA yehova NI mwingi na Muda NI mchache,,,mwisho WA siku wewe Una dini yako na Mimi Nina dini yangu,,wewe hutoabudu ninaye muabudu na Mimi sitakiabudu unachokiabudu tusubirie kipyenga cha mwisho kujua Nani kapoteza mazima na Nani aliotea mkeka...see you on the other side.
 
🤣🤣🤣 Kwahyo mungu wako aliuwawa na watu aliowaumba?
Mungu ni Roho, hawezi kufa. Alichofanya Yesu Kristo ambacho na mimi pamoja na wote wanaomwamini watakifanya ni kuondoka kwenye mwili.

Nyie ambao mungu wenu ni mwili ndio mna tatizo. Naona mmepanga kuwa mnafanya ngono hata ahera.
 
Sperm hapo imeandikwa kwamba inabadilika kuwa damu iliyoganda (yai la mwanamke halijatajwa) halafu damu iliyoganda (kimsingi ni dead) inakaa siku 40 halafu inakuwa nyama.

Kisha baada ya siku 40 nyingine hiyo nyama inakuwa mifupa. Halafu mifupa inavalishwa nyama kisha kiumbe mwingine anatokea.

Kama unakubaliana na haya maelezo ya Allah basi unatakiwa mirembe haraka sana.🤣
 
Mungu ni Roho, hawezi kufa. Alichofanya Yesu Kristo ambacho na mimi pamoja na wote wanaomwamini watakifanya ni kuondoka kwenye mwili.

Nyie ambao mungu wenu ni mwili ndio mna tatizo. Naona mmepanga kuwa mnafanya ngono hata ahera.
Wanaletaga nuture ya mungu wao ambae ni physical wanalazimisha afanane na Mungu wa wakristo

Muhammad alishindwa kuelewa tendo la ndoa likiwekwa starehe ili watu wazae pasingekiwa na starehe hakuna mtu angejiangaisha
 
Yesu huyu huyu aliyekiwa anacheza kombolela na watoto wenziwe katika mitaa ya Galilaya Leo hii ndio amekuwa Mungu muumba vyote

Ndio maana wayahudi waliukataa ukristo maana Yesu wanamjua viziri kwa kuwa walicheza wote
Huyo huyo ndio Alpha and Omega. He will judge everyone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…