professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Aya haija sema hivyo unalazimisha unacho taka wewe sio quranKwahiyo Allah ndio alisema anafufua kwa pande la nyama ya ng'ombe? Si aya imeshuka toka kwake?
Allah anafufua kwa pande la nyama.Hiyo ni akili yako wewe ulie duni wa fikra na akili
We chizi tafuta post sirudiiLete aya iliyowaambia muandike badala ya kukariri.
Kwahiyo sasa hivi unaipinga quran iliyosema hakuwa yeye bali aliyefanana naye?Yesu wenu alikufa na akalaaniwa na kupopolewa vilevile kama wewe umabisha haya yesu alie kufa huyo Allahu ndio akaja kumfufua
Enyi walokole na masufi nawashauri mshirikiane kwenye sherehe za mazazi ya Yesu na Mohammed (Rehema na Amani ziwaendee), masufi wao mwezi huu watatu hufanya sherehe ninyi wagalatia hufanya Xmas mwezi wa 12 nawashauri mngeziunganisha mzifanya kwa pamoja kuondosha chuki baina yenu na kuimarisha matengamanoBaba wa uwongo alitudanganya kuwa jua lina zama kwenye matope mazito. Dini ta magumashi hiyo
Hayo ni maneno yako na Mungu wako alie laaniwaAllah anafufua kwa pande la nyama.
Kijana usimpiganie Yesu, yuhai na atashinda dhidi ya madhwalim na wapumbavu(jihadhari usiwemo)Yesu wenu alikufa na akalaaniwa na kupopolewa vilevile kama wewe umabisha haya yesu alie kufa huyo Allahu ndio akaja kumfufua
Naona umekubali kua Yesu alie uliwa ambayo munamuamini ni yule alie tajwa kwenye quran ambae kua siyo yesu wa kweli asanteKwahiyo sasa hivi unaipinga quran iliyosema hakuwa yeye bali aliyefanana naye?
Kiumbe kilicho laaniwa hakinitishi hata kama wangekuwa yesu mia madam washalaaniwa hawanisumbuiKijana usimpiganie Yesu, yuhai na atashinda dhidi ya madhwalim na wapumbavu(jihadhari usiwemo)
Weka Akiba ya Maneno bwana mdogo, mgaa gaa na upwa hali wali mkavuKiumbe kilicho laaniwa hakinitishi hata kama wangekuwa yesu mia madam washalaaniwa hawanisumbui
Tuliwaomba ushahidi kama kuna mtu anaitwa issa aliwahi kuishi Israel lakini mpaka leo hamjauleta. Waarabu ambao ni wakristo wanamuita Yesu Kristo kuwa ni Yasu. Huyo issa ni kiumbe wa kufikirika.Naona umekubali kua Yesu alie uliwa ambayo munamuamini ni yule alie tajwa kwenye quran ambae kua siyo yesu wa kweli asante
Pia umekubali sasa kua issa ndio nyny mnamwita yesu aya tulia
Kuna siku utatamani sana Yesu, aliyebeba laana ili wewe ubarikiwe, awe upande wako lakini itakuwa too late.Kiumbe kilicho laaniwa hakinitishi hata kama wangekuwa yesu mia madam washalaaniwa hawanisumbui
Kwa hiyo scholars wanafanya argument kama kwenye siasa kupiga kura kipi kiwekwe? Wakiweka mambo sio we utafuata kibubusa kwa sababu watu wamekubaliana?Manuscripts zimekusanywa kutoka maeneo mbalimbali kwa miaka mingi na nyingine zimekuja kupatikana baada ya excavation. Wakristo walipitia persecution kwa miaka kadhaa na hivyo walilazimika kuwa wanaficha nyaraka walizokuwa nazo.
Kwahiyo over the years zilipokuwa zinapatikana ziliongezewa mpaka Jerome alipofanya compilation. Baadhi ya manuscripts bado scholars wanafanya argument kwasababu unaweza kukuta kuna verse zimepatikana kwenye baadhi ya manuscripts lakini kwingine hazikupatikana. Hii ndio sababu ya baadhi ya translation kukosa kuweka hizo verse.
Inaelekea hata maana ya contradictions haujui. Unakubali scholars walifanya kosa wamelirekebisha halafu unasema sio contradiction? Hivi unajielewa kweli?Hiyo ndio unaita contradiction?? Kweli kazi ipo. Ukiangalia hapo kwenye KJV inaonekana dhahiri translators walifanya kosa ambalo wamelirekebisha kwenye NKJV.
Hujielewi hakuna muarabu anayetambua yesuTuliwaomba ushahidi kama kuna mtu anaitwa issa aliwahi kuishi Israel lakini mpaka leo hamjauleta. Waarabu ambao ni wakristo wanamuita Yesu Kristo kuwa ni Yasu. Huyo issa ni kiumbe wa kufikirika.
Haitotokea kumtafuta alie laaniwa dogoKuna siku utatamani sana Yesu, aliyebeba laana ili wewe ubarikiwe, awe upande wako lakini itakuwa too late.
Sifikirii kueka akiba kwenye ukweli sina muda wa kumfikiria alie laaniwaWeka Akiba ya Maneno bwana mdogo, mgaa gaa na upwa hali wali mkavu
SawaMorning, waislamu kina professional Driver kifungua kinywa kisiwe supu ya pande , muheshimuni ng'ombe Sana mkiwamaliza ukifa ndio imetoka there is no way Allah ataweza kukufufua
Ushahidi ushautoa mwenyewe we kaa tu na jamaa alie laaniwaTuliwaomba ushahidi kama kuna mtu anaitwa issa aliwahi kuishi Israel lakini mpaka leo hamjauleta. Waarabu ambao ni wakristo wanamuita Yesu Kristo kuwa ni Yasu. Huyo issa ni kiumbe wa kufikirika.