Wanasayansi Wagundua Mfumo Mpya wa Kinga ya Mwili

Wanasayansi Wagundua Mfumo Mpya wa Kinga ya Mwili

Jamani hili somo si kila siku nawapa hamjapata kuelewa hadi leo?Israel iliyotajwa kwenye biblia sio hii Israel mnayosema leo(Israel ya kisiasa).Acheni kuchanganya mambo(Biblia inataja uzao wa Jacob kama Isreal .Watoto 12 wa Jacob ndio maana halisi ya Israel.Unajua wapo wapi?unadhani ni hawa kina Netanyahu?sio kweli)
Mbona hawa wa sasa ni uzao wa Yakobo vile vile?
 
Kichwa maji
Ukinitukana unanipongeza, napata nguvu zaidi ya kuandika. Halafu wewe usipotubu, moto wa jehanam unakusubiri.
1 Wakorintho 6:9-10:
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wasingizi, wala walawiti, wala waibaji, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi, hawataurithi ufalme wa Mungu."
 
Naona unaleta propaganda za wauaji wa kizayuni
Hao bado wanaongozwa na sheria ya Agano la Kale ya jino kwa jino. Ukiwachokoza utakipata tu chamoto. Hata hivyo ahadi ya Mungu haijabadilika juu yao, ndiyo sababu unaona wanaendelea kubarikiwa.
 
Uharo mtupu, mada ni "Kugundulika kwa mfumo Mpya WA kinga ya mwili". Maelezo mengi Ni kuhusu utukufu wa Israel.
 
Daah Siku nafikia akili za ki mateka kama hizi za mtoa mada naomba mniuwe tuu sitakuwa na faida katika hi dunia tena.

Hebu tumiaeni hata robo ya akili zenu nyie watu wa dini jamani ..
kuna muda unaweza dhani mtu hana Ubongo kichwani, Unaweza dhani mtu kichwa chake ni kama kifuniko cha mwili kwa namna dini zimewafanya mataira.
Kuvurugwa is Inevitable
 
SASA WALIOGUNDUA NI WANASAYANSI AU MAFARISAYO,HALAFU FANYA MPANGO UFUNGUE KANISA.
 
Jamani hili somo si kila siku nawapa hamjapata kuelewa hadi leo?Israel iliyotajwa kwenye biblia sio hii Israel mnayosema leo(Israel ya kisiasa).Acheni kuchanganya mambo(Biblia inataja uzao wa Jacob kama Isreal .Watoto 12 wa Jacob ndio maana halisi ya Israel.Unajua wapo wapi?unadhani ni hawa kina Netanyahu?sio kweli)
Wewe na Father of All naomba niwajibu kwa pamoja. Waisraeli wa sasa ni mchanganyiko wa Wayahudi kutoka sehemu mbalimbali za dunia, lakini asili yao inahusiana moja kwa moja na Wayahudi wa kale wa Mashariki ya Kati. Ngoja nikupe ufafanuzi wa kihistoria:

1. Asili ya Wayahudi

  • Kihistoria, Wayahudi wanatoka katika eneo la Kanaan (sasa Israel na Palestina), wakiwa sehemu ya jamii za Kisemiti kama Waarabu na Waashuri.
  • Taifa la Israeli lilianzishwa na makabila ya Kiyahudi tangu nyakati za Biblia.
  • Wayahudi walihamishwa na tawala tofauti kama vile Waashuri (722 KK), Wababeli (586 KK), Warumi (70 BK), na wengine, lakini waliendelea kudumisha utambulisho wao wa Kiyahudi.

2. Kuenea kwa Wayahudi Duniani (Diaspora)

  • Baada ya kuanguka kwa Yerusalemu mwaka 70 BK na 135 BK, Wayahudi wengi walienea hadi Afrika ya Kaskazini, Ulaya, na Asia.
  • Huko Ulaya, walikuwepo kwa karne nyingi, na baadhi yao walichanganyika na jamii za huko, lakini walihifadhi utambulisho wao wa Kiyahudi.

3. Uundwaji wa Taifa la Israel (1948)

  • Taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 kama taifa la Wayahudi, baada ya maelfu ya miaka ya uhamisho.
  • Wayahudi waliorejea Israel walitoka sehemu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na Ulaya (Ashkenazi), Afrika Kaskazini (Sephardi), Mashariki ya Kati (Mizrahi), na hata Ethiopia (Beta Israel).
  • Hii inamaanisha kwamba ingawa baadhi ya Waisraeli wa sasa wanatokea Ulaya, wao bado ni Wayahudi wa kihistoria walio na mizizi Mashariki ya Kati.

    Kwahiyo madai ya Father of All kwamba Waisraeli wa sasa ni Wazungu waliotawala Mashariki ya Kati ni upotoshaji.
 
Daah Siku nafikia akili za ki mateka kama hizi za mtoa mada naomba mniuwe tuu sitakuwa na faida katika hi dunia tena.

Hebu tumiaeni hata robo ya akili zenu nyie watu wa dini jamani ..
kuna muda unaweza dhani mtu hana Ubongo kichwani, Unaweza dhani mtu kichwa chake ni kama kifuniko cha mwili kwa namna dini zimewafanya mataira.
Pole sana TOHATO , naona Israeli unaichukia kama ukoma, lakini hamna namna. Mungu alishasema atawabariki, ni lazima wabarikiwe. Ila jihadhari, usiwalaani Israeli. Waliowalaani wanajuta.
 
Back
Top Bottom