Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe!!!Nimeshindaaaaa kwa Jina la Yesu, ameeen
Hehehe!!!Duh, leo watu wamekuvunja mbavu!
Jidananye. Ndo maana mnaibiwa kila siku kwa uzwazwa wenu. Ushiiiiiindweeee tena saaana tu.Nimeshindaaaaa kwa Jina la Yesu, ameeen
Dah kweli we bado sana,Wayahudi ni sehemu ndogo tu ya taifa la Israel kama lilivyoelezwa kwenye bible.Wayahudi(Jews) chimbuko lao ni mtoto wa Jacob anayeitwa Judah(Huyu ndio kama baba wa wayahudi,ambao tunapata watawala wote kwa ahadi ya Mungu kuanzia King David,King Solomon mpaka unapata Jesus ambaye kasemwa kama uzao wa David kwa sababu alikuwa mfalme katika ahadi za mwenyezi Mungu kwa king David kwamba kiti chake cha ufalme hakitakosa mrithi)Wewe na Father of All naomba niwajibu kwa pamoja. Waisraeli wa sasa ni mchanganyiko wa Wayahudi kutoka sehemu mbalimbali za dunia, lakini asili yao inahusiana moja kwa moja na Wayahudi wa kale wa Mashariki ya Kati. Ngoja nikupe ufafanuzi wa kihistoria:
1. Asili ya Wayahudi
- Kihistoria, Wayahudi wanatoka katika eneo la Kanaan (sasa Israel na Palestina), wakiwa sehemu ya jamii za Kisemiti kama Waarabu na Waashuri.
- Taifa la Israeli lilianzishwa na makabila ya Kiyahudi tangu nyakati za Biblia.
- Wayahudi walihamishwa na tawala tofauti kama vile Waashuri (722 KK), Wababeli (586 KK), Warumi (70 BK), na wengine, lakini waliendelea kudumisha utambulisho wao wa Kiyahudi.
2. Kuenea kwa Wayahudi Duniani (Diaspora)
- Baada ya kuanguka kwa Yerusalemu mwaka 70 BK na 135 BK, Wayahudi wengi walienea hadi Afrika ya Kaskazini, Ulaya, na Asia.
- Huko Ulaya, walikuwepo kwa karne nyingi, na baadhi yao walichanganyika na jamii za huko, lakini walihifadhi utambulisho wao wa Kiyahudi.
3. Uundwaji wa Taifa la Israel (1948)
- Taifa la Israel lilianzishwa mwaka 1948 kama taifa la Wayahudi, baada ya maelfu ya miaka ya uhamisho.
- Wayahudi waliorejea Israel walitoka sehemu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na Ulaya (Ashkenazi), Afrika Kaskazini (Sephardi), Mashariki ya Kati (Mizrahi), na hata Ethiopia (Beta Israel).
- Hii inamaanisha kwamba ingawa baadhi ya Waisraeli wa sasa wanatokea Ulaya, wao bado ni Wayahudi wa kihistoria walio na mizizi Mashariki ya Kati.
Kwahiyo madai ya Father of All kwamba Waisraeli wa sasa ni Wazungu waliotawala Mashariki ya Kati ni upotoshaji.
NonsenseNebukadneza na Babeli (Yeremia 25:12-14, Danieli 4)
Nebukadneza aliiteka Yerusalemu na kuliharibu hekalu la Mungu, lakini baadaye Mungu alimwadhibu kwa kumfanya atembee kama mnyama kwa miaka saba!
Hata wanaoibariki na kuishabikia kwa sababu ya uzwazwa wa imani walilaaniwa kabla hata ya kuzaliwa ndiyo maana nyinyi na makobazi mmelaaniwa kiasi cha kutotambua kuwa ni ndugu mnaouchukiana na kutakiana mabaya kwa sababu ya imani za kigeni. Mashetani wakubwa.Wanailaani Israel wanazidi kulaaniwa, huoni kobazi wanavyotwangana wenyewe
Vipi kuhusu Kongo,sudani kusini n.k?Wanailaani Israel wanazidi kulaaniwa, huoni kobazi wanavyotwangana wenyewe
Hilo jina lako bado hujalibadili tu? Father of All ni Mungu. Acha kugusa utukufu wa MunguJidananye. Ndo maana mnaibiwa kila siku kwa uzwazwa wenu. Ushiiiiiindweeee tena saaana tu.
It seems you are among those who dare to revile Israel. If so, you are engaging in sheer nonsense—an exercise in futility that neither alters divine providence nor diminishes the immutable covenant bestowed upon Israel. Scripture itself declares, 'I will bless those who bless you, and whoever curses you I will curse' (Genesis 12:3). I urge you to tread carefully, lest you find yourself contending against the very decree of the Almighty.Nonsense
Nyie mnahangaika na hii dhana kibiblia wakati wayahudi wenyewe hawana hata muda na mifumo yenu ya Kiimani ya Kikristu; kwa Wayahudi Yesu ni fundi seremala tuJe, Ni Kweli Atakayeilaani Israeli Anaweza Kulaaniwa?
Man hii ni bible sio porojo zako, nakupa concept ukatufute wewe.Kwamba unataka niumize kichwa kwa ajili yako?(kumbuka bible haina porojo nlikuwa naweza kusema Judah ni mtoto wa tano na ikaisha lakini unajua price ya ku-mislead watu tena unapofanya quotation katika bible au hujui)Mtu anayejua anachokiongea anasema hivyo?