Wanasayansi Wagundua Mfumo Mpya wa Kinga ya Mwili

Wanasayansi Wagundua Mfumo Mpya wa Kinga ya Mwili

Man hii ni bible sio porojo zako, nakupa concept ukatufute wewe.Kwamba unataka niumize kichwa kwa ajili yako?(kumbuka bible haina porojo nlikuwa naweza kusema Judah ni mtoto wa tano na ikaisha lakini unajua price ya ku-mislead watu tena unapofanya quotation katika bible au hujui)
Unaumizaje kichwa kama habari unayoijua iko akilini mwako au moyoni mwako. Kuumiza kichwa maana yake utaanza kupekua commentaries, Bible dictionaries nk. Na ukifanya hivyo usiseme unajua, sema umejuzwa!
 
Tupo hapa kuishi milele.
Pole sana, anza kuhesabu siku zako zilizobaki za kuishi maana si nyingi.
Ayu 14:1 SUV
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
 
Nyie mnahangaika na hii dhana kibiblia wakati wayahudi wenyewe hawana hata muda na mifumo yenu ya Kiimani ya Kikristu; kwa Wayahudi Yesu ni fundi seremala tu
Kutoamini kwao hakuondoi ahadi ya Mungu kwao. Mungu alisema atawabariki. Period
 
Kwani Kiranga anasemaje
Mtu anayesema hakuna Mungu unatarajia atayajua mambo ya Israeli. Si ni kama wale wapumbavu, wana PhD lakini hazijasaidia kufuta ujinga. Eti wanasema dunia ilitokea tu kwa bahati. Si ajabu hata PhD zao walizipata kwa bahati
 
Mfumo mpya wa kinga ya mwili umegunduliwa. Upo katika sehemu ya mwili inayojulikana kwa kusaga protini. Mfumo huo una muundo wa siri unaoweza kutapika kemikali zinazoua bakteria.

Watafiti kutoka Israel wanasema ugunduzi huu utabadilisha uelewa wetu wa jinsi mwili unavyolindwa dhidi ya maambukizi. Utafiti huu unatoa nafasi mpya ya kutafuta dawa mpya za antibiotiki ili kukabiliana na tatizo linaloongezeka la wadudu ambao ni sugu kwa dawa zetu za sasa.

Mfumo huu upo katika proteasome – eneo dogo ambalo lipo katika kila seli ya mwili. Kazi yake kuu ni kukata protini kongwe na kuzifanya vipande vidogo ili ziweze kuchakatwa na kutengenezwa kuwa protini mpya.
Source: BBC News

Ugunduzi huu unazidi kuthibitisha unabii wa Danieli kuwa siku za mwisho maarifa yataongezeka.
"Lakini wewe, Danieli, yafunge maneno haya, ukatie muhuri kitabu hata wakati wa mwisho; wengi wataenda mbio huko na huko, na maarifa yataongezeka." (Danieli 12:4)

Israeli imebarikiwa katika maeneo mengi ya kiuchumi, kiteknolojia na kiafya kama Mungu alivyoahidi:
"Nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; Nami nitawabariki wakubarikio, na yeye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa."( Mwanzo 12:2-3).
View attachment 3265867
Unaileta taarifa kwa vitisho sana mkuu😄😄
 
Unaumizaje kichwa kama habari unayoijua iko akilini mwako au moyoni mwako. Kuumiza kichwa maana yake utaanza kupekua commentaries, Bible dictionaries nk. Na ukifanya hivyo usiseme unajua, sema umejuzwa!
Sio kesi, swali la msingi ni kwamba ulitaka ku-mislead watu ndio hoja kuu.Bado unamsimamo wako wa Israel ni taifa la wayahudi pekee sio?

Hata hii modern Israel sio ya wayahudi pekee ni heterogeneous population(nasio kwamba wayahudi ndio wenye birthright katika hii modern Israel)

Mungu alimbariki Jacob na uzao wake na kapewa jina Israel(na ndio mwanzo kwenye bible kutaja watoto wa Jacob kama wana wa Israel).Swali la msingi, Jacob kazaa wayahudi pekee au watoto wa Jacob wote ni wayahudi?(Kwamba watoto wa Joseph,Benjamin,Levi(ambao walikuwa ma-priest),Simeon na kuendelea wote ni wayahudi?)

Weka madesa yako vizuri basi kabla ya kufanya presentation tofauti utawapa watu kazi ya kuwaza kama zimo kichwani au signal mbovu.
 
Back
Top Bottom