Wanasayansi Wagundua Mfumo Mpya wa Kinga ya Mwili

Unaumizaje kichwa kama habari unayoijua iko akilini mwako au moyoni mwako. Kuumiza kichwa maana yake utaanza kupekua commentaries, Bible dictionaries nk. Na ukifanya hivyo usiseme unajua, sema umejuzwa!
 
Tupo hapa kuishi milele.
Pole sana, anza kuhesabu siku zako zilizobaki za kuishi maana si nyingi.
Ayu 14:1 SUV
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
 
Nyie mnahangaika na hii dhana kibiblia wakati wayahudi wenyewe hawana hata muda na mifumo yenu ya Kiimani ya Kikristu; kwa Wayahudi Yesu ni fundi seremala tu
Kutoamini kwao hakuondoi ahadi ya Mungu kwao. Mungu alisema atawabariki. Period
 
Kwani Kiranga anasemaje
Mtu anayesema hakuna Mungu unatarajia atayajua mambo ya Israeli. Si ni kama wale wapumbavu, wana PhD lakini hazijasaidia kufuta ujinga. Eti wanasema dunia ilitokea tu kwa bahati. Si ajabu hata PhD zao walizipata kwa bahati
 
Unaileta taarifa kwa vitisho sana mkuu😄😄
 
Unaumizaje kichwa kama habari unayoijua iko akilini mwako au moyoni mwako. Kuumiza kichwa maana yake utaanza kupekua commentaries, Bible dictionaries nk. Na ukifanya hivyo usiseme unajua, sema umejuzwa!
Sio kesi, swali la msingi ni kwamba ulitaka ku-mislead watu ndio hoja kuu.Bado unamsimamo wako wa Israel ni taifa la wayahudi pekee sio?

Hata hii modern Israel sio ya wayahudi pekee ni heterogeneous population(nasio kwamba wayahudi ndio wenye birthright katika hii modern Israel)

Mungu alimbariki Jacob na uzao wake na kapewa jina Israel(na ndio mwanzo kwenye bible kutaja watoto wa Jacob kama wana wa Israel).Swali la msingi, Jacob kazaa wayahudi pekee au watoto wa Jacob wote ni wayahudi?(Kwamba watoto wa Joseph,Benjamin,Levi(ambao walikuwa ma-priest),Simeon na kuendelea wote ni wayahudi?)

Weka madesa yako vizuri basi kabla ya kufanya presentation tofauti utawapa watu kazi ya kuwaza kama zimo kichwani au signal mbovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…