Wanasema Hayati Magufuli Alikuwa Anakubalika sana: Kwanini basi aliiba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu 2020?

Alomsnich Maalim Seif ni nani? Mbona nae alikufa? Kila roho itaonja mauti na huyu mama yako / m/kiti wa muda wote ataonja tu siku na muda wowote.

Alomsnich Maalim Seif ni nani? Mbona nae alikufa? Kila roho itaonja mauti na huyu mama yako / m/kiti wa muda wote ataonja tu siku na muda wowote.
Inawezekana aliyemsnich Maalif seif hakujua kama naye ipo siku watamsnich,kama alivyotaka kumsnich Tundu lissu
 
Inawezekana aliyemsnich Maalif seif hakujua kama naye ipo siku watamsnich,kama alivyotaka kumsnich Tundu lissu
Mnasnitchiana wenyewe kwa wenyewe na kusingizia watawala ili kutafuta huruma kwa wananchi.
 
Samia ndiye ametengeneza maskini zaidi, ndio maana unaona panya lodi wamerudi kwa Kasi sana mjini, Sasahivi kuna mahali ikifika saa 2 usiku haiwezekani kukatiza peke yako unakabwa uporaji umeanza upya, wakati wa Magufuri hayo mambo yalisahaulika, sababu Magufuri aliruhusu kila Mtu atafute riziki yake anavyoona inafaa ilimradi asivunje sheria za mchi, mambo ya dili dili yalikwisha,kila mtu alifanya kazi, Sasahivi alivyoingia Yezabali mambo yote kayavuruga machinga/Mama lishe wote wametimliwa hata ambapo hakukuwa na umuimu wowote Wakati hao watu walikuwa na family zinawategemea.
 
Even evil men like Adolph Hitler wrote history

Haujaelewa maana ya huo msemo, maana yake ni kwamba anayeshinda vita ndiye anayeamua jinsi ya kumuelezea aliyemshinda, kwa maana nyingine Magufuli hayupo kujitetea hivyo walioshinda ambao bado wako hai na wamepora power watamsema na kumsingizia chochote wanachotaka kwa maana hayupo kujitetea.

Hivyo ni kama wewe unavyofanya sasa hivi kumsingizia na kumlaumu Magufuli kwa kila jambo lkn watu siyo wajinga wanaona yanayoendelea na wanaweza kulinganisha na kuujua ukweli, got it ?
 
Nenda kasone Sheria ya Uchaguzi na Katiba ya JMT unionyeshe Ibara au kifungu kinachoruhusu kumshtaki aliyetangazwa kuwa ni mshindi wa Uchaguzi wa Rais. Siyo mnaandika tu kufurahisha baraza hapa. Magufuli alipewa ushindi na NEC ikishirikiana na TISS na Police.
 
Anayetaka ushahidi wa wizi wa kura za Uchaguzi wa 2020 anaweza kuwa ni Member wa Sukuma Gang, Mtanzania anayeishi nje na hayuko connected na habari za Nchi yetu, mtoto mdogo under 18, mgonjwa aliyekuwa kwenye critical condition na kichaa.

Chagua kundi lako voicer
 
Hakuwa anakubalika na alikuwa mwoga mno wa demokrasia.
 
Na sio Tanzania tu, bali ni Africa nzima na baadhi ya nchi zingine za nje ya Africa. Swala la wapinzani na baadhi ya watawala kulalamika kuibiwa kura ni la kawaida. Mfano wa nchi hizo ni Belarus, Venezuela, Donald Trump USA nk.
 
Usituchoshe mzee,

Ukweli unao hapohapo ulipo, Pita mtaani kwako uliza watu angalau 300 tu ( bibi+babu 150, Vijana ke+me 150)

Waulize kati ya marehemu na hao alioshindanishwa nao wanamkubali nani.

Majibu kaa nayo usihangaike kutuletea kwasababu yanajulikana
 
Labda wananchi wa Chato,hao raia walisombelewa na malori.Hatujasahau
 
Hili swali Lina majibu kabisa napigia tu magari wazee wa legacy wajiuwe.
 
Ccm huwa wanapenda sana kulazimisha mambo na kufanya mazingara.
Watanzania pia kwa asili wanapenda kusisimuliwa na amsha amsha.Mihadhara ya CCM ilikusanya wasanii na shamra shamra kibao lazima jobless, na wanaopenda unyonge wajae kwenda kudanganywa.
 
Zile ni propaganda tu
 
Kama unabisha mtafute sa100 muulize kuhusu chanjo yake ya covid nini kilimkuta hadi sasa kaufyata ...atusikii tena nyokonyoko za kovidi
 
Wizi ulikuwa hivi.
Siku moja kabla ya uchaguzi pale ccm kinondoni walichukuliwa vijana kutoka mitaani wakafungiwa ndani na kurlekezwa wapige kura yaani kutiki karatasi kwa mgombea wa ccm . Waliahidiwa 5000 lakini hawajapewa mpaka leo. Haya mambo yalifanyika nchi nzima hata kule kasulu kwenye jumba la maendeleo.
Siku ya kupiga kura.
Vituo vilifunguliwa saa 9 usiku. Kura zilizopigwa ziliingizwa kwenye masanduku . Mchana kuna watu walipewa kura waliingia nazo na kutumbukiza. Ma Ded na DSOs walihakikisha wasimamizi wa uchaguzi wanakuwa wale watumishi wa umma ma pro ccm wasiojielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…