Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Nina mtazamo tofauti kidogo ju ya hu ushauri wako kwa dogo. Akitaka kujua why mama aliondoka na kumuacha baba yao, atapata ukweli wa upande mmoja tu, is only mama ndio atasema sababu za yeye kuondoka, huenda akaongeza na chumvi nyingi sana ili baba aonekane mbaya na hatasema ni nini yeye alimkosea baba yake BUT baba hatakuja kusema why mkewe aliondoka, hata kama mama yake alifanya jambo baya sana na la aibu; baba hatasema, siri hiyo itabaki kifuani mwake hadi anakufa so nashauri, dogo wala asitafute kujua why wazazi wake walitengana, itamsababishia kumchukia mzazi mmoja. Aishi nao hivo hivo bila kujua why wao walitenganaWazazi wa hivi inabidi umtake akueleze sababu za yeye kukukimbia. Usipozielewa mteme mazima kwa sababu hakuna connection.
Huwezi ukawa unajua kila kitu punguza ujuaji.Nimekaa na Wazee.
Mtoto anamhitaji Mzazi
Mzee anahitaji Watoto kuona wakiwa wamefanikiwa.
Sasa Mzee anamiaka 60 atamhitaji vipi Mzazi mwenye Miaka 80 àmbaye umri wake WA kuishi Umeisha?
Labda kama unaongelea Hisia na maonî yako binafsi Sawa. Lakini Kwa Facts upo Mbali sana
huenda anamaisha magumu hata vocha ni kama amenunua gari chunguza kwanza zen ujitahidi kumsalimiaWakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.
Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.
Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.
Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.
Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi
Hata wajinga huzaa watoto.Mzazi ni mzazi tu hata akiwa na mapungufu yake ila ndio aliokuweka tumboni kwake miezi tisa lazima umpende kwa hali zote
Na hujui alivyoathirika kisaikolojia alivyopewa talaka na baba yako kwa hiyo mpende na mjali mama yako huyo ndio mungu wako wa duniani
Hakuna kama mama lo!
Daaaah asante
Pole sana mkuu iWakuu kwema.
Naombeni ushauri kwenye hili suala.
Mama yangu mzazi na ndugu wengine wanalalamika kwamba simjali mama yangu.
Kiukweli sio kwamba namchukia ila najisahau kumjulia hali.
Mama aliondoka nyumbani na watoto wa kike , akatuacha wakiume kama watatu pamoja na baba, wakati huo nilikuwa na miaka 8,
Nimeishi na baba peke yake hadi alipooa mwanamke mngine.
Mama wa kambo huyo ameishi kutunyanyasa sana hadi mzee alipomtimua nikiwa na miaka 17.
Nilipofika form 3 tukapata mawasiliano ya mama tukawa tunawasiliana naye ila yeye hakuwahi kututafuta , tukampotezea.
Sasa niko chuo nina miaka 24 , wanalalamika kwamba simjali mama yangu
Mama huwa naye analalamika japokuwa hajawahi kunipigia hata kunijiulia hali , ila nikimchek ni lawama.
Kiukweli sio kwamba simpendi ila namchukulia kawaida tu.
Sasa wakuu katika hali kama hii ushauri wenu ni upi
NaamWanasema mama ni mama
hapo mzazi hakuwakimbia WATOTO...ndoa ilivunjika... wazazi wakagawana WATOTO,..... mama hana kosa,...ni uelewa mdogo wa mtoto,.....vipi kama mama alipewa vitisho vizito na Baba yao?,.. ..Wazazi wa hivi inabidi umtake akueleze sababu za yeye kukukimbia. Usipozielewa mteme mazima kwa sababu hakuna connection.