eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Bandari za Tanganyika tu zilipouzwa ulifurahi?wangepindua nchi ungefurahi?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bandari za Tanganyika tu zilipouzwa ulifurahi?wangepindua nchi ungefurahi?
Hebu tuambie yanaendeshwaje hayo makosa ya uhaini!Hao wanasheria mambumbumbu wataangukia pua kama wenzao. Hawajui makosa ya uhaini yanavoendeshwa?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
hizi akili mtu mweusi unazitoa wapi mbona kama kichwani kumejaa kamasi mtu anapinduaje nchi tena mtu mmoja hana hata support ya kijeshi.Au unafikir kupindua nchi ni sawa na kugeuza upande wa kitanda chako ..? piga chafya nyingi utoe kamasi huenda ukapata akili kidogo …wangepindua nchi ungefurahi?
Wanaopindua nchi huwa wanasema hadharani? Nyie semeni tu kuwa mmeamua kuwakomoa watu walioamua kuwastua watanzania kuhusu kuuzwa kwa mali zao. Hivyo sasa hivi mnaleta tafsiri Potofu ili kunyamazisha watu kuhoji huo wizi.wangepindua nchi ungefurahi?
Sawa akili ndogo ni mzigoNenda kawatetee Polisi.
Muhimu sana hiiSafi sana, natamani wakati wa maswali ya dodoso waulizwe Swali kwamba ni sahihi kukaa na mtuhumiwa zaidi ya masaa 24?, Na je ni sahihi kumnyima mtuhumiwa haki ya kuonana na ndugu zake/wakili wake?
yaani ni aibu.Tumerudi kuchukiana upya
Mtashindwa mapema sana mchana , mmemwingiza mama chaka ili 2025 muweke watu wenu , maana atakuwa kishalikoga topeMahakamani watapelekwa tu wala hamna shida mjiandae tu kuangalia familia zao.
"Watch hundred resolution"Watchmia, watchmia, watchmia!!! Give us a break!!! It has been too much!! Saaonedouble0!!!!
Seat ya Mbele mavi? Comment za waimba taarabu hizSeat ya mbele, A1
hao wapumbavu hawana kazi ya maana,Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Jopo la Wanasheria limekwishatinga kwenye viunga vya Mahakama, kwa ajili ya kufungua kesi ya kulazimisha Serikali ya Tanzania kuwafikisha Mahakamani, Mwabukusi, Mdude na Dkt. Slaa ili wakajibu Uhaini wao.
Sheria za Tanzania zinaelekeza kwamba Mtuhumiwa anapaswa kufikishwa Mahakamani si zaidi ya Masaa 24 baada ya kukamatwa.
Bado hatujajua kama Watuhumiwa hao wanateswa, wameumizwa ama wameuawa, hii ni kwa sababu haturuhusiwi kuwaona.
Usiondoke JF.
we ndio mzigo kwa huo upumbavu wako, una msaada gani we kimaCCM ni mzigo kwa taifa letu....
uchunguzi haujakamilika usiwafundishe polisi kazi yao-wanaonewa kwa sababu Sheria hairuhusu kukaa na mtuhumiwa zaidi ya masaa 24 ikizidi hapo aidha ampeleke mahakamani au ampe dhamana kama kosa Lina dhamana.
subiri mahakama ifanye kazi yake we kengeKuifungukia Kesi Serikali mahakamani kiuraratibu kabisa na yenyewe ikaja na ikajibu hoja ni uhaini! Unajua maana ya uhaini au na wewe fuvu liko tupu!
Unaweza kuimbia JF uhaini ulifanyika wapi na Kwa mchakato upi? Na nani sasa anashikilia madaraka ya nchi baada ya uhaini huo kufanyika? Mkiambiwa ninyi ndio mnaitangaza nchi vibaya huko duniani mnaanza kushika bunduki? Ujinga mtaacha lini
rudi shule we zuzu, we kwanza huwezi hata kusoma ule mkataba unafuata tu mkumbo km nyumbu. mburula tu weweMkataba huu wa Kimangungo unasema, Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari, inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi. Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai, Tena kwa Mali zake? Ujinga huu wa CCM ifie mbali.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tanganyika nchi ya mamako? kahamie huko Tanganyika we ngedere nchi yetu inaitwa TanzaniaBandari za Tanganyika tu zilipouzwa ulifurahi?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
we mbona kichwani kumejaa mavi, au hata husikii harufu?hizi akili mtu mweusi unazitoa wapi mbona kama kichwani kumejaa kamasi mtu anapinduaje nchi tena mtu mmoja hana hata support ya kijeshi.Au unafikir kupindua nchi ni sawa na kugeuza upande wa kitanda chako ..? piga chafya nyingi utoe kamasi huenda ukapata akili kidogo …
Sesan haujakamilika usiwafundishe p-olisi kazi yaoy