Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Makosa mengine yanahitaji kufinyana kidogo ili kuweza kuufikia mzizi wa tatizo. Haya mambo ya nchi nyie madogo hamuwezi kuyaelewa.Hebu tusaidie ya aendeshwaje mkuu au tuna sheria nyingine na katiba nyingine tofauti na hii tuliyoizoea?
Ili tunapojua tuwatahadharishe wasiangukie pua! Ila kuiaacha abstract namna hii unadhihirisha umaamuma wako, sababu huoneshi ujuvi wa Sheria ila unawakosoa wanasheria! Tuna kizazi Cha hovyo sana Tanzania Kwa sasa
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app